James Mbatia: Tuna viongozi mapunguani hapa Tanzania

MSAJILI WA VYAMA ANAOGOPA KUFUTWA KAZI NA CCM
Your browser is not able to display this video.
 
Unalilia Katiba Mpya wakati unajua utakubali kutumika wakati wa uchaguzi ili kukibeba CC nao ni upunguani, kukaa meza moja na CCM huku wengine wako jela bila makosa nao ni upunguani vilevile.
 
Yeye mwenyewe hua Ni punguani aliyechangamka esp. pale anaposikia khs kupewa Jimbo.
 
Wengi wa viongozi ni mazezeta.
 
ukistaajabu ya mussa utayaona ya filauni.
 
Tatizo Ni sisi vigeugeu....Leo unasema Ni mapunguani ukipata gepu unaunga juhudi.
 
Hii Nchi ni Ngumu sana
 
huu ubaguzi huu hauvumiliki
Nchi rahisi sana kuitawala na kuiongoza, maana wanachi wake ni maiti. Hata uyakanyage kichwani ama uyakabe koo kwa goti yanagugumia tu moyoni. Wala hayachukui hatua yoyote.
 
Awe makini
 
Ukweli ni kwamba CCM wanajisahaurisha aliyekuja kuwaweka kwenye reli wakaachwa kuzomewa mitaani wakiwa na mashati yao ya kijani ni Magufuli! Na watu wengi walimchagua Magufuli sio CCM! Japo kuwa Maguguli alikuwa na mapungufu yake lakini ndo mtu pekee aliyekibeba chama! Kama ni Mama Samia kweli 2025 atagombea tuombe uzima! Nakwambia mama hauziki na CCM wajiandae kisaikolojia! Narudia tena CCM haikuwahi kuchaguliwa watu walichagua Magufuli mkitaka kujua hilo subiri 2025! Ila kwa vile mkijifungia chumbani na akina Shaka Hamdu shaka mnalishana matango pori haya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…