Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
Naona members wengi wanashangaa kama bile ni kitu cha ajabu au vita
Nani amebisha?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani amebisha?!
Nyani haoni kundule bwashee...... Wasamehe bure!Naona members wengi wanashangaa kama bile ni kitu cha ajabu au vita
Hayo yatakuwa yanawahusu Mwinyi, Kikwete na Lowasa .............!!Naomba ufipa mwambieni ukoo wa Mbowe wache ufalme!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mh.Freeman Mbowe anatetea na kiti chake cha Hai na kile cha Urais anamwachia nani jamani? Mbona mnataka kutuchanganya?James Mbowe, mtoto wa kaka wa mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya CHADEMA.
Freeman yeye alishatangaza kutetea kiti chake jimboni Hai mkoa huo huo wa Kilimanjaro.
Source: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Ongezea na MBOWE, LOWASSA,Mwinyi,Kikwete,bulembo
ila ukoo wa mwinyi na lowassa ni fresh?Naomba ufipa mwambieni ukoo wa Mbowe wache ufalme!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Zanzibar nayo ni mkoa wa familia ya mwinyi na karumeChama cha familia
usipende kuiga utakuja zamishiwa muwa ukoSasa mbona chadema mlikuwa mnapiga kelele sana kuhusu hili?
Mlipokuwa mkitapika huku kuhusu uraisi Zanzibar mmesahau!?Zanzibar nayo ni mkoa wa familia ya mwinyi na karume
Muwe mnaweka akiba ya maneno. Mlitapika sana Mwinyi alivyochukua fomu visiwaniKama vile hussein mwinyi, fred lowassa, bulembo mkewe na mwanae,riziwan na wengine wenhi huko fisiemu
Nenda na wewe kaweke ufalme lumumbaNaomba ufipa mwambieni ukoo wa Mbowe wache ufalme!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Freeman hagombei UraisiJames Mbowe, mtoto wa kaka wa mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya CHADEMA.
Freeman yeye alishatangaza kutetea kiti chake jimboni Hai mkoa huo huo wa Kilimanjaro.
Source: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Ona sasa unavyopanic! Ndio ccm huwa inaamua hata mkishinda inawatia dole la kati anatangazwa mwingine maisha yanaendelea, yote hii sababu mabichwa yenu yako empty akili zote mlishakabidhi kwa Mbowe!usipende kuiga utakuja zamishiwa muwa uko
Bwashee ukitaka kumwambia jirani yako ana uwanja mchafu hakikisha wewe wako ni msafiNenda na wewe kaweke ufalme lumumba