Wewe uliyenicomment ukihisi sina akili kubwa ndiyo umeandika hoja ipi?Wewe unayejiona mwenye akili kubwa ndio umejiona umejibu hoja yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uliyenicomment ukihisi sina akili kubwa ndiyo umeandika hoja ipi?Wewe unayejiona mwenye akili kubwa ndio umejiona umejibu hoja yangu.
Ziwe za Wachaga zisiwe za Wachaga but this time MBOWE must go. We are not ready to raise another Mugabe in CDM.View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Hilo dogo ni lijinga mno, na yakiiba kura baba yake akapita lichama linawafia dadek atakuwa kama Lipumba na Mbatia.View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Ni chapombe kama baba yakeHuyu dogo anashida kubwa
😀😀😀😀😀Ni chapombe kama baba yake
Kwa hiyo chadema ni chama cha wachagaView attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Huenda historia imejirudia kiana lakini simaanishi U-Machame uko hivyo: Alichoandika dogo katika upeo wake ni pumba haswa na kwa hiyo pambaf sana yeye kwa kudhalilisha jamii kwa mtazamo wake wa hovyo. Nawapeni simulizi kidogo ambayo inahusiana zaidi na ile kitu inaitwa USALITI. Historia ya Uchagani inayo kumbukumbu ya usaliti alofanyiwa Paramount Chief na Chifu wa Machame kwa kumtumia aliyekua Mkwe wake na baadae aliepewa uwaziri wa Elimu Tanganyika ile --- kufanya usaliti dhidi ya SERA za Paramount Chief kwa himaya yake. Yes, ndo yeye aliokua na mtazamo tofauti kuhusu UHURU WA BENDERA. Usaliti ule ulipelekea anguko la utawala wa jadi enzi zile. Unyerere ukapeta. Baba yake dogo anatuhumiwa kwa hilo hilo, safari hii kwa jamii ya umma yenye uhitaji wa mabadiliko na ambayo kimtazamo ni opposite na waloshika dola. Usaliti!Tabia za wachaga zimeandikwa kwenye Kitabu gani nikasome?
Anhaa, au tabia za wizi na udokozi, maana..... wamachame kwa kukwapua ni noma.......
Shimboni shafooo!!! 🙌🙌🙌
MBOWEWachaga wenyewe wanajuana. Lkn nimefahamu kwamba hakuna mchaga muongo na mnafiki
Mbona James Mbowe kamkataa kuwa tabia ya kuwa honesty kama alivyofanya Lema siyo ya kichagaWachaga ni tofauti na watu wa pwani... Watu wa pwani ni waongo waongo na wanafiki. Nadhani kama sifa ni hiyo Lema hajawa mnafiki amesema alichoamini. Ni mchaga hasa