James Mbowe: Tabia alizoonesha Lema sio tabia za Wachaga

James Mbowe: Tabia alizoonesha Lema sio tabia za Wachaga

Ung'ang'anizi wa Mbowe unaleta haya yote mpaka hoja ya ukabila inaingia, na hili goal lake linaloitwa James ndo halina akili kabisa
 
View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga

Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Kabisa Lema kaonesha tabia za kinafiq, majungu na kutothamini jasho jingi alonwaga Mbowe kuunda chama imara cha upinzani Tanzania. Hizi ni tabia za watu wa porini, watu wasiostaarabika.
 
Dogo anazidi kumuharibia babake ambaye tayari ana hali ngumu kisiasa!
 
Ndo maana hili li CHADEMA ni lango la wizi wa hela ya luzuku la wachagga
Luzuku ni Nini mkuu tufahamishe tujue mana naona ni msamiati mpya kwenye ulimwengu wa Siasa..
Anyway CAG aliyeteuliwa na Rais ambaye ni Mwenyekiti wa Ccm Sina kumbu kumbu kama Kuna wakati ametoa hati chafu ya ukaguzi Kwa CHADEMA kuhusu matumizi ya Ruzuku!
Ama ni labda wanaipata kinyume Cha utaratibu kutoka serikalinj! Na serikali hiyo imeshindwa kulibaini Hilo. Mana yake unatuambia serikali ya ccm ni dhaifu au?
 
Kabisa Lema kaonesha tabia za kinafiq, majungu na kutothamini jasho jingi alonwaga Mbowe kuunda chama imara cha upinzani Tanzania. Hizi ni tabia za watu wa porini, watu wasiostaarabika.
Wasio wachaga?
 
View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga

Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Familia ya HOVYO sana hii mmmh

Karine ya 21 tunatoa kauli vitu kama hivyo

Kwangu mimi NGOZI NYEUSI NI LAANA

Will never prosper

Vipaumbele vya black skin

Wizi
Rushwa
Ngono
Plombé
 
Kweli nimeamini Sugu, na Professor J wanaakili sana ndani ya chadema kuliko wengi niliokuwa nadhani wanaakili.

Yani njaa zinawafanya wanukata mkono unao walisha.
 
View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga

Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Mtu akisema ukweli siyo tabia za wachagga, ulitaka asiseme ukweli? Baba yako amekaa kwenye uenyekiti miaka 21, alianza vizuri sana, ila baada ya mama kumlainisha na pesa amesahau wajibu wake. Ni muda mzuri mwingine apewe kijiti aendeleze jitihada zake, tunamshukuru kwa aliyoyafanyia CHADEMA, ukikaa sana madarakani unakuwa mjinga, mifano ni mingi tu, angalia Mugabe, Nyerere, Kenyatta, Obiang Nguema, Omary Bongo, Kamuzu Banda, Houphet Boigny na wengineo walijisahau.
 
View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga

Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Aachen ujinga. Hii ni siasa na siasa ni hesabu.
Je kwani aliyosema ni ya uongo amwambie mwenye alifanya haya madudu hadi wengine kuondoka chamani kweli ni afya kwq chama?

Kama alipokea kidogo kitu kwa upande wa pili ndio mavuno!
 
Binafsi sio mkabila , nimekaa sana na wachaga sio wote ni wabinafsi lakin Wengi wao Wana Imani kwamba wao ni Bora kuliko makabila mengine tanzania kitu ambacho sio kizuri, unajua mtu akishakuwa na Imani ya kwamba yeye ni Bora kuliko wengine kinachofuata mnakijua , ubinafsi, uporaji, upendeleo, ukanda, na mengineyo mengi hizi ni baadhi ya tabia za wachaga simaanishi kwamba makabila mengine hizi tabia hawana Hapana ila ni Tabia Sugu kwa wachaga Wengi na mbaya zaidi CHADEMA kimeundwa na mfumo ambao ndani ngazi za juu mpaka chini kimejaa wachaga, kitu ambacho sio salama , hichi chama sio chama cha kuaminika hata kidogo Labda mfumo wa chama ubadirike waondokane na itikadi za kiukabila hilo tu
 
View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga

Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
nadhani ni ile tabia ya kupeleka mke ng'ambo halafu yeye kurudi kusota kijijini kwa na kuishi kwa fedheha sana kwa mikopo ya kausha damu na kubeti 🐒
 
Sijawahi kuona mtoto wa mwanasiasa aliye sehemu ya mfumo kandamizi akiwa na akili timamu ni kama wamelaaniwa hivi
 
Back
Top Bottom