Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ung'ang'anizi wa Mbowe unaleta haya yote mpaka hoja ya ukabila inaingia, na hili goal lake linaloitwa James ndo halina akili kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema ukweliKaandika kitu cha ajabu sana!
Hajui kwamba hii kauli italeta athari hasi kwa wachagga wenzie wote?
Kabisa Lema kaonesha tabia za kinafiq, majungu na kutothamini jasho jingi alonwaga Mbowe kuunda chama imara cha upinzani Tanzania. Hizi ni tabia za watu wa porini, watu wasiostaarabika.View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Luzuku ni Nini mkuu tufahamishe tujue mana naona ni msamiati mpya kwenye ulimwengu wa Siasa..Ndo maana hili li CHADEMA ni lango la wizi wa hela ya luzuku la wachagga
Hivi mpaka sasa hajaona taa nyekundu? Au ameamua kushupaza shingo??Shida kubwa ya mbowe ni ukigeugeu, Hilo limemgharimu, atatoka kwa aibu sana
niliwaambia kiwa hiki chama ni cha kikabilaView attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Familia ya HOVYO sana hii mmmhView attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Mtu akisema ukweli siyo tabia za wachagga, ulitaka asiseme ukweli? Baba yako amekaa kwenye uenyekiti miaka 21, alianza vizuri sana, ila baada ya mama kumlainisha na pesa amesahau wajibu wake. Ni muda mzuri mwingine apewe kijiti aendeleze jitihada zake, tunamshukuru kwa aliyoyafanyia CHADEMA, ukikaa sana madarakani unakuwa mjinga, mifano ni mingi tu, angalia Mugabe, Nyerere, Kenyatta, Obiang Nguema, Omary Bongo, Kamuzu Banda, Houphet Boigny na wengineo walijisahau.View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Aachen ujinga. Hii ni siasa na siasa ni hesabu.View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Sasa Mbowe alitaka kunyenyekewa aendelee kuozea madarakani?View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
nadhani ni ile tabia ya kupeleka mke ng'ambo halafu yeye kurudi kusota kijijini kwa na kuishi kwa fedheha sana kwa mikopo ya kausha damu na kubeti 🐒View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Ukiwa mwànachadema lazima uwe na tabia za wachaga! Basi sawa,View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga
Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.