James Mbowe: Tabia alizoonesha Lema sio tabia za Wachaga

James Mbowe: Tabia alizoonesha Lema sio tabia za Wachaga

Itakuwa kweli wachagga wanatabia flani hivi ambazo baadhi Yao huziona kama desturi yao, Nina boss wangu ni mchagga kashawahi kunimbia kazi zake hataki wachaga, sikutaka kumuuliza kwa Nini lkn nilitafakali sana isitoshe jamaa ni mtu mzima hiyo kauli hakuitoa Bure Bure. But wachaga wengi wao ni watu poa sana maana Mimi kwenye sekta niliyopo nafanya nao kazi sanaa

Sasa ukiona mpaka lema kamkataa mbowe basi jua Kuna mengi sana ya mbowe anayoyajua. Lema amekataa kufuata tabia za baadhi ya wachagga kama huyo James anavyolalamika
 
Itakuwa kweli wachagga wanatabia flani hivi ambazo baadhi Yao huziona kama desturi yao, Nina boss wangu ni mchagga kashawahi kunimbia kazi zake hataki wachaga, sikutaka kumuuliza kwa Nini lkn nilitafakali sana isitoshe jamaa ni mtu mzima hiyo kauli hakuitoa Bure Bure. But wachaga wengi wao ni watu poa sana maana Mimi kwenye sekta niliyopo nafanya nao kazi sanaa

Sasa ukiona mpaka lema kamkataa mbowe basi jua Kuna mengi sana ya mbowe anayoyajua. Lema amekataa kufuata tabia za baadhi ya wachagga kama huyo James anavyolalamika
Shida kubwa ya mbowe ni ukigeugeu, Hilo limemgharimu, atatoka kwa aibu sana
 
View attachment 3202818
Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga

Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Huyu anatakiwa apige kimya familia yao inatuhumiwa kujinufaisha kupitia Chama.


Walipiga pesa kutoka kwa EL, Wanapiga ruzuku, Wanapiga za C19 na bado hizi za sasa hivi pesa zinasambazwa na mjaluo.
 
Labda kwa kukataa fedha.
Manake sisi wachaga kwa kupenda pesa ndio wenyewe utafikiri tumezaliwa nazo
Kwa hilo hata mimi nampa hongera mamake sisi wachaga kwa pesa Mwenyezi Mungu atusamehe tu sisi wengine manake hata pesa za deals (illegal) tunapita nazo
 
Back
Top Bottom