Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Ndiyo Pabaya, Wachawi WapoKuna Rais alituaminisha sio hela ya Serikali.
Soma vizuri, haidai serikali hizo hela.Mbona nyingi hivyo
Bora serikali Impatie tu Bandari ya Dar es salaam.Ajimilikishe yeye na familia yake
Yule ms..enge alikuwa anasema hadi tz si mali ya serikali ni mali ya mabeberu ,alikuwa takataka Ikulu, mm namuomba mungu na shetani mwaka 2025 asifikishe maana hadi sasa anaendelea kuiharibu nchi yetu na team yake ,Ajabu mtuhumiwa anasema hela ilikuwa yaserikali lakini Rais wa nchi alisema hela haikuwa ya serikali.
Yupo sahihi huyo mzee hii kesi yao ni kubwa aiwezi kuishwa kwa kutegemea msimu wa raisi mpumbaavu ,maana jamaa kaona bora iendelee hivyo maana akija kushika hii nchi raisi mzalendo asiyekuwa mpumbavu ujue hiyo kesi bado ipo hata kama watakuwa wamekufa itaangukia familia zao na mali zao kwahiyo kaona bora wamalize wenyewe kuliko kuwaletea familia matatizoHuyu mzee anatakiwa apumzike aache sifa za kijinga
mzalendo, RaisYupo sahihi huyo mzee hii kesi yao ni kubwa aiwezi kuishwa kwa kutegemea msimu wa raisi mpumbaavu ,maana jamaa kaona bora iendelee hivyo maana akija kushika hii nchi raisi mzarendo asiyekuwa mpumbavu ujue hiyo kesi bado ipo hata kama watakuwa wamekufa itaangukia familia zao na mali zao kwahiyo kaona bora wamalize wenyewe kuliko kuwaletea familia matatizo
Ajabu kuna watu humu ht kusoma hii habari wakaelewa hawajaisoma wamekurupuka ku comment mara Mwendazake kaitia hasara inchi, mara apewe bandari mara anaidai serikali...JF imekua na watu wa hovyo sana now days, ht km ni Uhuru wa mawazo huu hapana aisee...
and this is a reflection ya jinsi information warlfare ilivyo ngumu..mtu anaweza kufanya character assasination na mijitu ya hovyo yakarukia habari ki ushabiki shabiki bila ku verify habari husika
Kuna sehemu hujaelewa, mzee rugemalira anaisaidia serikali kulipwa pesa zake.Mwendazake ni mleta hasara tu kwa nchi.
- Alikamata meli ya kigeni,mwisho wa kesi nchi ikalipa wageni,
- Akahonga nyumba za serikali kwa washikaji na concubines,serikali ikala hasara,
- Ujenzi wa "mabharabhara" na ununuzi wa "vivukio" ukafanywa kimagumashi,serikali ikalipa na kula hasara,
- Kawasotesha "watu" bila hata hatia,wanaidai serikali.Italipa na kuleta hasara/mahasara.Yuleee,akajitorokea aibu!
hupendi kukumbushwa u-hopulesi wa mwendazake?Kuna sehemu hujaelewa, mzee rugemalira anaisaidia serikali kulipwa pesa zake.
Sio kwamba anaishitaki
Badala ya ubongo ,kichwa chako kimejaa kamasi za kondooMwendazake ni mleta hasara tu kwa nchi.
- Alikamata meli ya kigeni,mwisho wa kesi nchi ikalipa wageni,
- Akahonga nyumba za serikali kwa washikaji na concubines,serikali ikala hasara,
- Ujenzi wa "mabharabhara" na ununuzi wa "vivukio" ukafanywa kimagumashi,serikali ikalipa na kula hasara,
- Kawasotesha "watu" bila hata hatia,wanaidai serikali.Italipa na kuleta hasara/mahasara.Yuleee,akajitorokea aibu!
Kwani wewe ujui kiswahili ni lugha mbovu sana bado sasa Rais ndiyo kitu gani kwenye sarufi za kiswahili tatizo tunatabia ya kujiona wasomi kwa kushikamana na makosa ....lugha sahihi ni RAISI SIYO RAISmzalendo, Rais
Halafu,siyo lazima uwe unasoma nilichoandika.Pita kama vile umemuona baba yako anakojoa barabarani.Badala ya ubongo ,kichwa chako kimejaa kamasi za kondoo