Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,065
- 18,358
Alibadili kutoka wapi kwenda wapi mkuu?Yuko poa sema aliniudh alivyobadili dini shaur ya mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alibadili kutoka wapi kwenda wapi mkuu?Yuko poa sema aliniudh alivyobadili dini shaur ya mwanamke
WivuYuko poa sema aliniudh alivyobadili dini shaur ya mwanamke
Mkristu kua muislam ndo akaruhusiwa kufunga ndoaAlibadili kutoka wapi kwenda wapi mkuu?
Duuuu sikuwahi sikia hiliMkristu kua muislam ndo akaruhusiwa kufunga ndoa
Hehe kizee cha au vipi bana eeh..?!sema kile kijamaa kinaona pale ndio kimefika yaan kigoma mwisho wa reli nyodo nyingi kama kina hisa pale
Wewe wasemaWewe Ndo Turpa Turpa Nini hahahha
Habari zenu wadau wa jukwaa hili,natumai mko vyedi kabisa,,Clouds FM kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa ina vipindi 7 ukijumlisha na Night kali ya Dj Elly the big Dady vinakua 8 including(Power breakfast,Leo tena,XXL,Jahazi,Amprifier,Sports Xtra na Ala za roho ambayo ijumaa huwa ina'replacewa na So so Fresh)Kati ya vipindi vyote hivi 7 kama sio 8 Vitatu tu ndo vina segment ya Michezo ukitoa Sports Xtra yenyewe kuna Hili game pale Power breakfast inayofanywa na Prisca Kishamba au Shaffih Dauda,Pia Nje ya Chaki pale XXL inayofanywa na James Tupatupa au Nicasius Kotinyo,pia Michapo ya Michezo pale Jahazini ikisimamiwa na Edigar Kibwana,Yahya Njenge au Issa Maeda,,,James Tupatupa"Turupa the Wonder boy superformer"pale nje ya Chawise anawafunika sana wenzake kwenye Segments zao,Ni mbunifu sana hasa ku'link muziki na Michezo pia yuko vizuri sana kwenye kuunganisha Neno au Mstari wowote Aliousema msanii aliekuja kwenye interview na tukio la kimichezo lililotokea,Big time Chaliangu Turupa I real appreciate you're so Talented buddah.
@ChaliiYaKijengeJuu lakini nalala Chini.
Sio mhehe?Huyo muhaa tupa kule
Yuko poa sema aliniudh alivyobadili dini shaur ya mwanamke
sema kile kijamaa kinaona pale ndio kimefika yaan kigoma mwisho wa reli nyodo nyingi kama kina hisa pale
Hapo kwenye Amplifier hakuna kitu siku hizi tangu aingie huyo Meena Ally amemuharibu kabisa Millard kawa ZEZETA !Habari zenu wadau wa jukwaa
hili,natumai mko vyedi kabisa,,Clouds FM kuanzia
Jumatatu hadi Ijumaa ina vipindi 7 ukijumlisha na Night kali ya Dj Elly the big Dady vinakua 8 including(Power breakfast,Leo tena,XXL,Jahazi,Amprifier,Sports Xtra na Ala za roho ambayo ijumaa huwa ina'replacewa na So so Fresh)Kati ya vipindi vyote hivi 7 kama sio 8 Vitatu tu ndo vina segment ya Michezo ukitoa Sports Xtra yenyewe kuna Hili game pale Power breakfast inayofanywa na Prisca Kishamba au Shaffih Dauda,Pia Nje ya Chaki pale XXL inayofanywa na James Tupatupa au Nicasius Kotinyo,pia Michapo ya Michezo pale Jahazini ikisimamiwa na Edigar Kibwana,Yahya Njenge au Issa Maeda,,,James Tupatupa"Turupa the Wonder boy superformer"pale nje ya Chawise anawafunika sana wenzake kwenye Segments zao,Ni mbunifu sana hasa ku'link muziki na Michezo pia yuko vizuri sana kwenye kuunganisha Neno au Mstari wowote Aliousema msanii aliekuja kwenye interview na tukio la kimichezo lililotokea,Big time Chaliangu Turupa I real appreciate you're so Talented buddah.
@ChaliiYaKijengeJuu lakini nalala Chini.
Yap alaf ndo Program manager pale.HV shaffi bado yumo mle mjengoni ??