Jamhuri, Morogoro: Mtibwa FC 0 -1 Simba SC, Ligi Kuu Soka Tanzania Bara

Jangwani mna roho ngumu sana, yaani picha iko waazi kabisa lakini hamtaki kukubali, haya subirini tuwaonyeshe kazi maana leo mmehamia Mtibwa Sukari
Hahaaaa. Picha ipi Ses, yaani Point 03 ndio tuamini kwamba mshakuwa mabingwa jamaani. Wakati ligi bado.

Ila sio siri leo niko Ntibwa kabisaaa mieeeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…