Hamna sare hapo subiri marefa wakapate chochote kitu....utashangaa tuta hili hapaaMtibwa Inaisumbua Sana Simba.....
Mtibwa IMEPANDISHA VIJANA WADOGO na inajijenga...
Mpaka dakika hii ya 35 MIKIA Bado Hawajapata BAO....
Hii Mechi Huenda Ikamalizika SARE..
Hamna sare hapo subiri marefa wakapate chochote kitu....utashangaa tuta hili hapaa
Ahaa, kumbe kipimo cha kuisumbua Simba ni kuinyima bao sio!Mtibwa Inaisumbua Sana Simba.....
Mpaka dakika hii ya 35 MIKIA Bado Hawajapata BAO....
Anasubiria mashindano ya uremboYule dogo white wenu vipiπ€?
Wanatakiwa wachezaji 11 tu uwanjaniMugalu hajawa fit?
Tulia dawa ikuingieSanaa...
MIKIA Wamebanwa...
Aliyewakuta wako form mkuu.. Inaitaji muda yeye kuingia kwa kikosiNataka nimwone huyo namba tisa Mugalu. Maana naona anazurula tu. Namba tisa wa kimataifa anaishia benchi..!
πππ Kwa yale mapaja yake Kama ya kuku, Ni halali tu asubiri mashindano ya urembo.Anasubiria mashindano ya urembo
Achana na mambo ya Yanga, hapa tunaizungumzia simba. Pia ujue umuhimu wa namba tisa.Yule dogo white wenu vipi[emoji848]?
Hii mechi ya pili tangu ligi ianze tayari lawama inaanza wakati timu itashinda . Tunasahau kuna mechi 38 za ligi, za FA, na kimataifaInatia mashaka kutowaona wachezaji waliosajiliwa kwa mbwembwe nyiiingiiiii!
kagera haanzishwi ...tunategemea Chama na Boko tu upande wa striker ..!
Huu ndio wakati wa kujenga timu ...Novemba bado wiki tano tu!tuanze kukutana na wanaume!
Nina mashaka na mipango ya Kocha.
Huu ndio wakati wa kuwaajaribu BWALYA na Mwigulu!