Jamhuri Morogoro: Mtibwa vs Simba hakuna mbabe

Jamhuri Morogoro: Mtibwa vs Simba hakuna mbabe

Inatia mashaka kutowaona wachezaji waliosajiliwa kwa mbwembwe nyiiingiiiii!
kagera haanzishwi ...tunategemea Chama na Boko tu upande wa striker ..!
Huu ndio wakati wa kujenga timu ...Novemba bado wiki tano tu!tuanze kukutana na wanaume!
Nina mashaka na mipango ya Kocha.
Huu ndio wakati wa kuwaajaribu BWALYA na Mwigulu!
 
Yaani Ribiti Imekazwa Kwa Konde Boy Na Chama...

Hatuoni WAKITEMBEA...
Hatuoni WAKIDAMBWIKA...😁😁
 
Yule dogo white wenu vipi[emoji848]?
Achana na mambo ya Yanga, hapa tunaizungumzia simba. Pia ujue umuhimu wa namba tisa.
Yanga tisa wao Sapong anacheza na analeta matokeo.
Azam tisa wao Prince Dube nadhani unaiona shughuri yake.
Huyu wetu wa Simba naona anazurula tu.
Da Silva naye mlikuwa mnasema hivihivi hadi ameondoka.
Namba tisa lazima ajitambulishe na kukinukisha mapema tu.
Tunamtaka Mugalu acheze tumwone kama ni namba tisa kweli.
 
Inatia mashaka kutowaona wachezaji waliosajiliwa kwa mbwembwe nyiiingiiiii!
kagera haanzishwi ...tunategemea Chama na Boko tu upande wa striker ..!
Huu ndio wakati wa kujenga timu ...Novemba bado wiki tano tu!tuanze kukutana na wanaume!
Nina mashaka na mipango ya Kocha.
Huu ndio wakati wa kuwaajaribu BWALYA na Mwigulu!
Hii mechi ya pili tangu ligi ianze tayari lawama inaanza wakati timu itashinda . Tunasahau kuna mechi 38 za ligi, za FA, na kimataifa

Subira yavuta heri
 
Back
Top Bottom