Inatia mashaka kutowaona wachezaji waliosajiliwa kwa mbwembwe nyiiingiiiii!
kagera haanzishwi ...tunategemea Chama na Boko tu upande wa striker ..!
Huu ndio wakati wa kujenga timu ...Novemba bado wiki tano tu!tuanze kukutana na wanaume!
Nina mashaka na mipango ya Kocha.
Huu ndio wakati wa kuwaajaribu BWALYA na Mwigulu!
kagera haanzishwi ...tunategemea Chama na Boko tu upande wa striker ..!
Huu ndio wakati wa kujenga timu ...Novemba bado wiki tano tu!tuanze kukutana na wanaume!
Nina mashaka na mipango ya Kocha.
Huu ndio wakati wa kuwaajaribu BWALYA na Mwigulu!