naunga mkono hoja mkuu anapanga kikosi kwa kukariri co kwa jitihada mazoezin hamna kitu paleTimu inacheza na kushinda kwa uwezo wa wachezaji na si uwezo wa kocha ,huyu kocha ni useless kabisa,wachezaji bora tulio nao ndo wanasaidia timu ila sio huyu kishingo
Kocha bado hawajapata Xl nzuri anazingua,kwanza huu mpira wa pasi ndefu kama yanga simba wametoa wapi,si style yetu ya mchezo
Ramli zimeanza, subiri watufunge ndio uongeeNyie hamtotoka nao sare bali watawafunga
Mtafungwa tuRamli zimeanza, subiri watufunge ndio uongee
Kama Mwamedi alivikwa kanga, wachezaji kuvikwa vikoi kuna shida gani?Ila Leo Simba wameboa sana wale watoto wa Mtibwa walikuwa wanawafanya wanavyotaka mara wawavishe vikoi mara taulo. Kama Triple C ndio kavishwa vitaulo vingi.
Ngoja tuwape muda mapema sana kulaumuIla Leo Simba wameboa sana wale watoto wa Mtibwa walikuwa wanawafanya wanavyotaka mara wawavishe vikoi mara taulo. Kama Triple C ndio kavishwa vitaulo vingi.
Tayari amejaaliaMola jalia Mnyama Simba apate point zote tatu.
#Simba Bingwa 2020/2021
Una hela ya kumpa Mungalu wewe? Walipeni kwanza hela wanazowadai watacheza tuHivi haws wachezaji wa Kigeni mbona hatuwaoni uwanjani?
Au Walisajiriwa ili wakae benchi, hao akina Mugalu.
Hapana pale kwa Mkapa wanatobolewaga tobo mbele ya Magu..Mmh. Hivyo nyie hamjawahi toa sare kwa Mkapa?
Hivi unafahamu senzo ana kadi ya simba na hajarudishaWangemuingiza Barbara akawafungie la pili. πππ
Bado sana, utopolo heri ya sisiTulia, tena wewe una kelele nyingi sana, sasa ni muda wa kuonyeshana makali
Kwani striker manake nini!?[emoji16][emoji16]Okwi alikuwa mara nyingi anacheza kama kiungo wa pembeni, sio kama striker, labda itokee Kagere au Bocco ameumia
Umeanza taarabu vidole juu ukiwa umevaa dela la njano na chupi ya kijaniKama Mwamedi alivikwa kanga, wachezaji kuvikwa vikoi kuna shida gani?
Kwanza wewe huelewi maana ya striker[emoji848]Tatizo lako unataka kulinganisha. Dube sio namba tisa, striker wa Azam ni Chirwa
Ulitaka kocha afanyaje?Hatuna kocha ,wachezaji wanadro na kushinda kwa uwezo wao si ujuzi wa kocha
Kocha ndo anaigharimu timu
Bado hajapata first elevenUlitaka kocha afanyaje?
We ulijua itashinda mechi zote? Bila draw?Kikosi kipana kilichosajiriwa kwa zaidi ya bilioni moja kinatoaje sare na timu ya ndondo cup?
Simba hii ya majigambo ya Mo na Manara ni takataka tupu.
Kwasababu unaonekana unapenda sana historia, hebu tuzungumzie na historia ya biashara ya utumwa π‘Mi nadhani tuongelee ile mechi ya 4-1 Tuichambue kiundani maana huu ndio muda sahihi wote mpo maana siku ile sikuona mshabiki wa yanga yeyote akiwa online