Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Ngapi ngapi Shadeeya?😜😜Hii msg iende kwa Troisième Ceil mana naye anachungulia tu saa hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngapi ngapi Shadeeya?😜😜Hii msg iende kwa Troisième Ceil mana naye anachungulia tu saa hii.
Hatuna kocha ,wachezaji wanadro na kushinda kwa uwezo wao si ujuzi wa kochamapungufu ya Simba ni kuwa waliiga mchezo wa Mtibwa tangu awali,
walipaswa kucheza game yao.
Ila Leo Simba wameboa sana wale watoto wa Mtibwa walikuwa wanawafanya wanavyotaka mara wawavishe vikoi mara taulo. Kama Triple C ndio kavishwa vitaulo vingi.Yanga mnapenda sana sare
😂😂😂 Kwani juzi Yanga na prisons ilikuwa ngapi ngapi Mtani?Ngapi ngapi Shadeeya?😜😜
hakuna kocha pale kila mtu alikua anacheza anavyojua yeye.Hatuna kocha ,wachezaji wanadro na kushinda kwa uwezo wao si ujuzi wa kocha
Kocha ndo anaigharimu timuhakuna kocha pale kila mtu alikua anacheza anavyojua yeye.
Boja Boja duh haya mafua haya 😀😜😷😂😂😂 Kwani juzi Yanga na prisons ilikuwa ngapi ngapi Mtani?
Goli la Bocco lipo tu.
Mtibwa ya msimu uliopita na hii ya mwaka huu bado ni urojo tu. Morson na Konde boy watateleza tu kwenye mashamba ya miwa.
Boja Boja duh haya mafua haya 😀😜😷
Hahahaa Shadeeya unanizingua sawa bwana👊
Hahaha. 🤝Hahahaa Shadeeya unanizingua sawa bwana👊
FT 1-1
So far point 4 za viwanja vya ugenini si mbaya
Naona yanga mnashangilia saree