Jamhuri Morogoro: Mtibwa vs Simba hakuna mbabe

Jamhuri Morogoro: Mtibwa vs Simba hakuna mbabe

Kulikuwa na pre season?
Ulisikiliza interview yake ya juzi?
Mkuu simba imeanza maandilizi mapema na mechi za kirafiki,hata mpira wa leo sio ule wao wa kutuliza na kuleta presha za ushambulizi,walikuwa wanafanya pasi ndefu ,bocco alitakiwa atokee sub siyo kumaliza mchezo ,kagere kucheza mda mfupi anacost team ,mabeki bado hawako organized na sijui kwanini kawaacha wachezaji kama kina bwalya, wawa na Mugalu
 
Ukiwa ni mwendelezo wa vpl msimu wa 2020_2021
Simba anawakabili wanalamba lamba sukari toka turiani
Je morson atafunga?
Bocco atawaacha mtibwaa?
Maufundi ya bwalya mguuni?

Usikosee
Update zitakuwa zinakuji
Simba starting XI
Manula
Kapombe
Tshabalala
Onyango
Kennedy
Mkude
Mzamiru
Chama
Morrison
Bocco
Kondeboy


Mtibwa starting XI
Nasikia mmezindua Sare hukooo a.k.a madela
 
Mkuu simba imeanza maandilizi mapema na mechi za kirafiki,hata mpira wa leo sio ule wao wa kutuliza na kuleta presha za ushambulizi,walikuwa wanafanya pasi ndefu ,bocco alitakiwa atokee sub siyo kumaliza mchezo ,kagere kucheza mda mfupi anacost team ,mabeki bado hawako organized na sijui kwanini kawaacha wachezaji kama kina bwalya, wawa na Mugalu
Mkuu unajua tunamlaumu kocha bila sababu...
Kuhusu mabeki...
Last season mabeki walikuwa Wawa na Kennedy, wawa kachelewa kuja na unajua,( katoka kuoa, najua utasema mbona miquison na yeye kachelewa we mwenyewe umemuona bado hajawa form).

Kuhusu pasi ndefu mkuu uwanja hausapoti kuweka mpira chini.

Kuhusu Kagere, we mwenyewe umeona kwa dakika20s walizocheza pamoja nani ana impact....

Kuhusu mugalu na bwalya, bado mkuu ndo kwanza mechi ya pili tusubiri tuone hizi mechi za kwanza ugenini zina tension.....sio rahisi kumpa mtu ambaye haijui ligi.
 
Back
Top Bottom