Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Niambie sub ya kiufundi ilitakiwa atoke nani aingie nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niambie sub ya kiufundi ilitakiwa atoke nani aingie nani?
Nani hana jitihada mazoezini?naunga mkono hoja mkuu anapanga kikosi kwa kukariri co kwa jitihada mazoezin hamna kitu pale
Ha ha ha ha eti maguluViongozi wetu ni wapuuzi mno. Tunamuacha Miachael Sarpong tunaenda kumchukua mchoma mkaa Magulu.
Nikiona Magulu anacheza sioni tofauti yake na Elias Maguli.
Hii SSC Elders Center unafikiri itafika wapi ndugu yangu!?Mlichonga sana Yanga kupata sare. Haya na leo chongeni sasa.
#Msisingizie ugenini.
Kulikuwa na pre season?Bado hajapata first eleven
Ova!!Over, Over, mikia, mikia, mikia, Over, mbona sikupati vizuri, unasema mumeshinda ngapii?
Nasikia aligoma kwenda kucheza NA wazee mule ndaniWangemuingiza Barbara akawafungie la pili. [emoji23][emoji23][emoji23]
UmepanicLuc hakukosea kuwaita Nyani ujue siyo kwa kiherehere hicho
Mkuu simba imeanza maandilizi mapema na mechi za kirafiki,hata mpira wa leo sio ule wao wa kutuliza na kuleta presha za ushambulizi,walikuwa wanafanya pasi ndefu ,bocco alitakiwa atokee sub siyo kumaliza mchezo ,kagere kucheza mda mfupi anacost team ,mabeki bado hawako organized na sijui kwanini kawaacha wachezaji kama kina bwalya, wawa na MugaluKulikuwa na pre season?
Ulisikiliza interview yake ya juzi?
Nina ndizi mbivu (mteremko) mfukoni.Utopolo uzi usiowahusu wameingia kabisa na pilipili
Biashara ya utumwa si juzi tu hapo yanga wameienzi kwa kumbeba juu juu yule mjuba?Kwasababu unaonekana unapenda sana historia, hebu tuzungumzie na historia ya biashara ya utumwa 😡
Nasikia mmezindua Sare hukooo a.k.a madelaUkiwa ni mwendelezo wa vpl msimu wa 2020_2021
Simba anawakabili wanalamba lamba sukari toka turiani
Je morson atafunga?
Bocco atawaacha mtibwaa?
Maufundi ya bwalya mguuni?
Usikosee
Update zitakuwa zinakuji
Simba starting XI
Manula
Kapombe
Tshabalala
Onyango
Kennedy
Mkude
Mzamiru
Chama
Morrison
Bocco
Kondeboy
Mtibwa starting XI
Mnapojiita mabingwa wa kihistoria huwa mnazungumzia nini halafu mnalalamika kocha kawatukanaKwasababu unaonekana unapenda sana historia, hebu tuzungumzie na historia ya biashara ya utumwa 😡
Mkuu unajua tunamlaumu kocha bila sababu...Mkuu simba imeanza maandilizi mapema na mechi za kirafiki,hata mpira wa leo sio ule wao wa kutuliza na kuleta presha za ushambulizi,walikuwa wanafanya pasi ndefu ,bocco alitakiwa atokee sub siyo kumaliza mchezo ,kagere kucheza mda mfupi anacost team ,mabeki bado hawako organized na sijui kwanini kawaacha wachezaji kama kina bwalya, wawa na Mugalu
Halafu wanajiita mabingwa wa kihistoria kweli Eymael hakukosea kuwatukanaBiashara ya utumwa si juzi tu hapo yanga wameienzi kwa kumbeba juu juu yule mjuba?
Kweli kabisa tulijaribu kujikumbusha mababu zetu waliishije na waarabu + wazungu enzi izo, kwani unateseka?Biashara ya utumwa si juzi tu hapo yanga wameienzi kwa kumbeba juu juu yule mjuba?
Lazima uwe na ndizi kwa ajili ya manyaniNina ndizi mbivu (mteremko) mfukoni.