Kwa Muislam yeyote kuwakosea watu ambao M/Mungu mwenyewe amewabashiria pepo hali ya huwa wako hapa duniani ni sawa na kufru.Me navyojua waislam huwa hawachelewi kuzika kusinge kuwa na ugumu kumzika kwanza mtume halafu waje waendelee na kikao cha madaraka hawa wakina umar na mwenzie abubakr walikuwa na agenda yao na kama mtume angekufa zama hizi ingebid kifo chake kichunguzwe pengine hata hawa jamaa walihusika
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba unipe softcopy ya msaafu wa Fatima. Inaonekana utakuwa na mambo mengi sana huo“Na kwetu pia tunao Msahafu wa Fatima Alayha Salaam, wanaujuwaje wao msahafu wa Fatima?”
Nikamuuliza:
“Ni kitu gani hiki kinachoitwa msahafu wa Fatima?”
Akasema:
“Msahafu, ndani yake mna mfano wa Qur-aan yenu hii mara tatu! WAllaahi hamna ndani yake yaliyomo ndani ya Qur-aan yenu hii hata herufi moja”.
Nimekwambia lete Nukuu moja tu kutoka katika hivyo vitabu unavyoita vya Mashia kuwa " ukimkiri ALLAH " wewe sio Muislamu ? Badala yake unaanza kurukarukaAcha kupoteza muda. Tumalize la kwanza na ujibu lile swali kisha tuendelee,yaani mimi na vitabu nakupa,vitabu vinavyoelezea maana ya Shahada,kwahiyo hilo litafata baada ya wewe kutuonyesha ya kuwa Mashia wanakiri shahada,wapi umeona hilo.
Tena kitabu kimoja kinaitwa "Ma'an Laa ilaha ila Llah" kwahiyo usihofu juu ya hilo.
Umedai ni rahisi baada ya kutafuta na kuleta hiyo nukuu unaanza tena kuuliza maswali , mimi nimeshakujibu Mashia ni waislamu kwanza kwasababu wamemkiri ALLAH na mtume wake , hizo blah blah zako mimi nakushangaaHapa hukwepi swali,nionyeshe wapi Mashia wanakiri hilo.
Acha porojo. Usipoteze muda.
Unampangia mtume mda na wakati wa kuongea ? hii ni ajabu ahahahaha mtume anaposema sasa wewe nani wakumpangia , wewe na Omari wote akili zenu sawa ahahah, kweli kabisa mtume anasema anataka kuandika kitu ambacho wakikiona hawatopotea kamwe halafu Omari anapinga wewe unaona sawa tu !! Wewe kweli hamnazo nakwambiaHuna jipya endelea kusema hivyo hivyo, wakati angeweza kuongea hata kwa mdomo.then acha kuaminisha umma kuwa mtume alikuwa anataka kuandika kuwa Ali ndio khalifa wa waislam.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Unaona sawa kabisa Abubakar kuacha mambo ya msiba wa mtume na kuwa busy na uongozi ? hivi nyie hamna akili , vip haki za wale waliokuwa kwenye msiba juu ya kuchagua kiongozi zimezingatiwa vip ? Yaan mtume ata kuzikwa bado watu huku wanatifuana kugombea madaraka inashangaza sanaKwani mtu anatakiwa kuzikwa na watu wangapi? Au hao waliokuwepo kwenye kumzika hawakutosha?
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
U don't construct words, words are inherently there...u construct sentences.HAAAAAAAAAAAAAAAAAAA u understand english BETTER than me yet you cant construct a single word in english
Hamnazo ni wewe unaekataa watu ambao wamebashiriwa pepo na Allah hali ya kuwa wapo hapa duniani kama vile wewe ndio mgawaji wa pepo.Unampangia mtume mda na wakati wa kuongea ? hii ni ajabu ahahahaha mtume anaposema sasa wewe nani wakumpangia , wewe na Omari wote akili zenu sawa ahahah, kweli kabisa mtume anasema anataka kuandika kitu ambacho wakikiona hawatopotea kamwe halafu Omari anapinga wewe unaona sawa tu !! Wewe kweli hamnazo nakwambia
Kumbe wewe akili zako ni sawa na kina Muawiyya na Marwan. Kwahiyo ulikiwa unataka Sayyidna Umar, Abi Bakr na Uthman wasiende kwenye kikao ili kaka zako kina Muawiyya wajinyakulie[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Unaona sawa kabisa Abubakar kuacha mambo ya msiba wa mtume na kuwa busy na uongozi ? hivi nyie hamna akili , vip haki za wale waliokuwa kwenye msiba juu ya kuchagua kiongozi zimezingatiwa vip ? Yaan mtume ata kuzikwa bado watu huku wanatifuana kugombea madaraka inashangaza sana
Ukibashiriwa pepo ndio ufanye ujinga ? yaani mtu anakataa kumtii mtume halafu unasema kaandaliwa pepo!!!Hamnazo ni wewe unaekataa watu ambao wamebashiriwa pepo na Allah hali ya kuwa wapo hapa duniani kama vile wewe ndio mgawaji wa pepo.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Madaraka yamekuwa maembe unanyakua tu , Muawiya kwa hoja gani angechukua madaraka ? acha kuficha tamaa za kina Abubakari kwa Muawiya ahahaahhahaha , unashindwa kumzika mtume kisa Muawiya are you serious?Kumbe wewe akili zako ni sawa na kina Muawiyya na Marwan. Kwahiyo ulikiwa unataka Sayyidna Umar, Abi Bakr na Uthman wasiende kwenye kikao ili kaka zako kina Muawiyya wajinyakulie[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Shia wanaamini kuna Imam wao anaitwa Mahdi ambaye alipotea pangoni miaka zaidi ya 1000 na ushee kuwa ndio atakuja nayo pamoja na kufanya hukumu za kweli kabla ya kiama.Mkuu naomba unipe softcopy ya msaafu wa Fatima. Inaonekana utakuwa na mambo mengi sana huo
Elimu inatafutwa hata maana ya kubashiriwa huijui, maskini weee!Ukibashiriwa pepo ndio ufanye ujinga ? yaani mtu anakataa kumtii mtume halafu unasema kaandaliwa pepo!!!
Ubashiri unakwenda kwa nyakati , wakati unafanya mema utabashiriwa mema , ukifanya uovu ubashiri unaondoka wenyewe unakuwa mtu wa motoni , OMAR kwa kitendo cha kumpinga mtume akiwa katika maumivu ya maradhi huu ni upingaji wa maandiko , maana kumpinga mtume ni kosa , Omar ni mkosaji inafikia mahali mpaka mtume anawafukuza watoke maana haijulikani nani mtume na nani wakusikilizwaElimu inatafutwa hata maana ya kubashiriwa huijui, maskini weee!
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Kwanini hujibu maswali niliyokuuliza na badala yake unarukia jambo jipya ? Hii tabia ya kutafuta pakutokea nilikukanya na naona unarudia tena, tumalize hilo kwanza au ukiri limekushinda kisha nikufundishe.Umedai ni rahisi baada ya kutafuta na kuleta hiyo nukuu unaanza tena kuuliza maswali , mimi nimeshakujibu Mashia ni waislamu kwanza kwasababu wamemkiri ALLAH na mtume wake , hizo blah blah zako mimi nakushangaa
Mkiambiwa msome hamtaki.Madaraka yamekuwa maembe unanyakua tu , Muawiya kwa hoja gani angechukua madaraka ? acha kuficha tamaa za kina Abubakari kwa Muawiya ahahaahhahaha , unashindwa kumzika mtume kisa Muawiya are you serious?
Pazito hapa lazima ulete mipashoMkiambiwa msome hamtaki.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Jibu swali nikupe faida.Umedai ni rahisi baada ya kutafuta na kuleta hiyo nukuu unaanza tena kuuliza maswali , mimi nimeshakujibu Mashia ni waislamu kwanza kwasababu wamemkiri ALLAH na mtume wake , hizo blah blah zako mimi nakushangaa
Wapi wanamkiri ALLAH na mtume ? Njoo mtaani nikuonyeshe Mashia wanavyomkiri ALLAH na Mtume , maana unataka mpaka uwaone wewe , Njoo kuna msikiti wanaswali hapa wanamtaja ALLAH na mtume wake kila siku au unataka nikurekodie ? Mashia ni waislamu hili huna ubavu wa kulipingaKwanini hujibu maswali niliyokuuliza na badala yake unarukia jambo jipya ? Hii tabia ya kutafuta pakutokea nilikukanya na naona unarudia tena, tumalize hilo kwanza au ukiri limekushinda kisha nikufundishe.
Usipotezee watu muda. Ukiwa na ushahidi nistue nije kuusoma. Nasema hivi silei ujinga.
Ndio nikauomba ushahidi utuonyeshe wapi wanamkiri Allah na mtume, hili swali leo inaenda siku nne na ziada,unakimbia. Jibu hili swali, na nimeshakutolea mifano kudai au kujiita hakumfanyi mtu kuwa muislamu. Nataka ushahidi.
Unanilazimisha mimi kuwa SHIA ? umesema mwenyewe ni rahisi nashangaa badala ya kuleta hiyo nukuu unaanza kunilaumu mimi pamoja na kujipa kazi ya kupiga ramli kujua mimi ni Shia ahahahaaahaJibu swali nikupe faida.
Nilichokiona kwako wewe ni SHIA, ila huwa kwa uzwa zwa wako na uzandiki unatumia Taqiyyah kuficha imani yako na kujidai wewe ni mkana mungu.
Hii dhana yangu kwako, inaitwa Dhana Ghaalib (Yaani dhana ya uhakika kabisa).
Taqiyyah,hakuna Kafiri nje ya Shia anaeweza kuwasema vibaya maswahaba kwa mtindo huu isipokuwa Makafiri Shia. Makafiri wengine wanautusi Uislamu kwa ujumla pamoja na kumsema vibaya mtume na mfano wake, ila si kwa mtindo huu, mtindo huu mnao Mashia.
Hili, ndio maana unalificha sababu msingi wa Taqiyyah katika Ushia ni nguzo.
Hili kwangu rahisi sana na nasema tena ni rahisi na ndio maana nilikutajia kitabu, kukuonyesha ya kuwa ukinipa ushahidi wa Mashia kukiri, na mimi nakupa faida.
Silei ujinga kijana, na huwa sikimbii maswali kama unavyofanya wewe.
Nipo ...