Ila bro nliomba angalau chanzo ninachoweza kupata hizo taarifa swali langu ukagoma. Ila vyanzo vyote ninavyovijua mimi vinaitaja Iran kama Jamhuri ya kiislamu. By the way najua pengine waweza kuwa unajua mengi kuhusu Iran na Uislam kwa ujumla, ila kama umekataa ku-share nasi pia uwe na amaniBro sizunguki,kuna wakati mwingine ukimpa muongozo mtu wa kuujua ukweli ndio jibu sahihi zaidi na ukimuelezea unakuwa unakosea japokuwa utampa jibu sahihi.
Yeye kama ameona Irani ni jamhuri ya kiislamu kwa mapokeo yake basi afatilie kwa kinyume chake,rahisi sana.
Afanye research kujitosheleza Kama Iran Ni taifa la kiislam ama la atumie njia gani Sasa, iwapo njia za kawaida (Google) na nyenginezo wanamwambia jamhuri ya kiislam, Ni muhimu ungemuelekeza njia hizo ulizotumia wewe,naye azifuate ili agundue Iran Ni taifa la washenz na si la kidini....Kama unavyotuaminisha....vinginevyo tutajua Ni porojo tu unaongea....Bro sizunguki,kuna wakati mwingine ukimpa muongozo mtu wa kuujua ukweli ndio jibu sahihi zaidi na ukimuelezea unakuwa unakosea japokuwa utampa jibu sahihi.
Yeye kama ameona Irani ni jamhuri ya kiislamu kwa mapokeo yake basi afatilie kwa kinyume chake,rahisi sana.
Fafanua kidogo mkuu Elungata. Kwa nini wawe maadui kwa kuwa tu Israel alikuwa karibu na mfalme wao.. Kwani huyo mfalme alikuwa na tatizo gani na wa-Iran wenyewe?Write your reply...chuki ya israel na iran haiko kidini,kumbuka iran kuna wayahudi na wana masinagogi yao tofauti na nchi zingine za kiislamu,chuki yao ni kwasababu israel alikuwa karibu na shah,mfalme wa iran aliepinduliwa na mapinduzi ya iran na pia suala la palestina
Bro kazi yangu nimeimaliza. Kama unaswali lingine niulize.Afanye research kujitosheleza Kama Iran Ni taifa la kiislam ama la atumie njia gani Sasa, iwapo njia za kawaida (Google) na nyenginezo wanamwambia jamhuri ya kiislam, Ni muhimu ungemuelekeza njia hizo ulizotumia wewe,naye azifuate ili agundue Iran Ni taifa la washenz na si la kidini....Kama unavyotuaminisha....vinginevyo tutajua Ni porojo tu unaongea....
Kuhusu hii JAMHURI YA KIISLAM?Hahaha! Tupe experience mkuu😀
Nimeingiwa na huruma ya kielimu kwa mbali. Nataka nikupe ishara ya kukusaidia,kwa mtindo huu.Ila bro nliomba angalau chanzo ninachoweza kupata hizo taarifa swali langu ukagoma. Ila vyanzo vyote ninavyovijua mimi vinaitaja Iran kama Jamhuri ya kiislamu. By the way najua pengine waweza kuwa unajua mengi kuhusu Iran na Uislam kwa ujumla, ila kama umekataa ku-share nasi pia uwe na amani
Hii JAMHURI YA KIISLAM YA IRAN Habari zake kubwa sana Sheikh, wewe jua tu Bw. Mkubwa Mgambo wa dunia "usa" halali vizuri kwa sababu ya hii JAMHURI!Naam
Nasisitiza: Jamuhuri ya Kiislamu ya Iran, imekuwa hivyo officially tangu mapinduzi yaliyoongozwa na Ayatollah Khomeini yaliyomuondoa Shah Reza Pahlavi.Afanye research kujitosheleza Kama Iran Ni taifa la kiislam ama la atumie njia gani Sasa, iwapo njia za kawaida (Google) na nyenginezo wanamwambia jamhuri ya kiislam, Ni muhimu ungemuelekeza njia hizo ulizotumia wewe,naye azifuate ili agundue Iran Ni taifa la washenz na si la kidini....Kama unavyotuaminisha....vinginevyo tutajua Ni porojo tu unaongea....
Ushia au Usuni yote ni Uislamu tu,usitoke nje ya mada. Je Iran ni Jamuhuri ya Kiislamu au la?Nimeingiwa na huruma ya kielimu kwa mbali. Nataka nikupe ishara ya kukusaidia,kwa mtindo huu.
Hivi ushawahi kusikia mataifa ya kiislamu yaituhumu au yakiwa dhidi ya Irani ?
Kama hujawahi kuisikia basi vyanzo vyako vitakuwa vina dosari sana.
Iko wazi taifa la Irani liko chini ya USHIA. Je unaujua USHIA ?
Ukinijibu maswali haya machache na rahisi sana. Kuna mwongozo nitakupa,lazima tuwe na tabia ya kuchakarika katika kuutafuta ukweli.
Wanasema shiha siyo waislamu ndio maana wanakataa hao kuwa jamhuriUshia au Usuni yote ni Uislamu tu,usitoke nje ya mada. Je Iran ni Jamuhuri ya Kiislamu au la?
mjamaaa kaingia na biti utadhani anajua kumbe chenga tuu.Ushia au Usuni yote ni Uislamu tu,usitoke nje ya mada. Je Iran ni Jamuhuri ya Kiislamu au la?
Nimeingiwa na huruma ya kielimu kwa mbali. Nataka nikupe ishara ya kukusaidia,kwa mtindo huu.
Hivi ushawahi kusikia mataifa ya kiislamu yaituhumu au yakiwa dhidi ya Irani ?
Kama hujawahi kuisikia basi vyanzo vyako vitakuwa vina dosari sana.
Iko wazi taifa la Irani liko chini ya USHIA. Je unaujua USHIA ?machac
-Ndiyo, mfano Saudia ana mgogoro na Iran hasa kwenye masuala ya YemenNimeingiwa na huruma ya kielimu kwa mbali. Nataka nikupe ishara ya kukusaidia,kwa mtindo huu.
Hivi ushawahi kusikia mataifa ya kiislamu yaituhumu au yakiwa dhidi ya Irani ?
Kama hujawahi kuisikia basi vyanzo vyako vitakuwa vina dosari sana.
Iko wazi taifa la Irani liko chini ya USHIA. Je unaujua USHIA ?
Ukinijibu maswali haya machache na rahisi sana. Kuna mwongozo nitakupa,lazima tuwe na tabia ya kuchakarika katika kuutafuta ukweli.
Hujui unachokiandika bro,tena hujui hasa. Huwezi kuongelea Irani bila kuuongelea USHIA bro.Ushia au Usuni yote ni Uislamu tu,usitoke nje ya mada. Je Iran ni Jamuhuri ya Kiislamu au la?
Wenyewe wanajiita Jamuhuri ya Kiislamu halafu wengine tukatae kwa sababu ya ubaguzi tu wa Usuni na Ushia,that's so crazy. Ni kama Catholics waseme Lutherans sio Wakristo,kazi ya ku judge aachiwe Mungu(for believers).Wanasema shiha siyo waislamu ndio maana wanakataa hao kuwa jamhuri
huruma wapi wewe?Nimeingiwa na huruma ya kielimu kwa mbali. Nataka nikupe ishara ya kukusaidia,kwa mtindo huu.
Hivi ushawahi kusikia mataifa ya kiislamu yaituhumu au yakiwa dhidi ya Irani ?
Kama hujawahi kuisikia basi vyanzo vyako vitakuwa vina dosari sana.
Iko wazi taifa la Irani liko chini ya USHIA. Je unaujua USHIA ?
Ukinijibu maswali haya machache na rahisi sana. Kuna mwongozo nitakupa,lazima tuwe na tabia ya kuchakarika katika kuutafuta ukweli.