Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Write your reply...chuki ya israel na iran haiko kidini,kumbuka iran kuna wayahudi na wana masinagogi yao tofauti na nchi zingine za kiislamu,chuki yao ni kwasababu israel alikuwa karibu na shah,mfalme wa iran aliepinduliwa na mapinduzi ya iran na pia suala la palestina