Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Yale yale babu taja references kwa usahihi wake acha mboyoyo ata QURAN imewekwa SURA na AYA , au unafikir wameweka kwa ujinga ? ata hili tukufundishe
Nasubiri ushahidi unao onyesha ya kuwa Mashia wana mkiri Allah na mtume wake.
 
Yaani mtume atake kalamu na karatasi kuandika final wish halafu Omary na genge lake wakatae unaniambia sina hoja ahahahahaha Omary anamfundisha mtume kipi cha kufanya , OMAR ni mtu asie na adabu ata kidogo kwa mtume

Huna hoja sababu Allah akitaka jambo lake liwe linakuwa na hakuna wakuzuia, na kauki hii mashia huwa mnamtia dosari Allah na mtume wake.

Nasubiri ushahidi wa maswali nikiyo kuukiza.
 
Nasubiri ushahidi unao onyesha ya kuwa Mashia wana mkiri Allah na mtume wake.
Umeishiwa hoja nimekwambia njoo hapa mtaani kwangu uwaone halafu uwakatae tena sio mashia ahahahaha
 
Huna hoja sababu Allah akitaka jambo lake liwe linakuwa na hakuna wakuzuia, na kauki hii mashia huwa mnamtia dosari Allah na mtume wake.

Nasubiri ushahidi wa maswali nikiyo kuukiza.
Hoja nzito lazima ukimbie kimbie mtu anamfundisha mtume cha kufanya , yaani mtume yuko katika maradhi anataka kuandika final wish halafu OMAR yeye ndio awe wa kumfunza mtume !!ahahahaha yaani mpaka mtume anaamua KUWAFUKUZA nje bado tu akili yako imegoma kuamini tabia mbaya ya Omar na genge lake pole sana
 
Umeishiwa hoja nimekwambia njoo hapa mtaani kwangu uwaone halafu uwakatae tena sio mashia ahahahaha
Nilikwambia Mashia tuna ishi nao, na mimi niko nao mtaani, kwahiyo hakuna ushahidi wa mtindo huo kijana ndio maana natska uthibitishe hilo.

Ungeniuliza mimi swali hili lingekuwa limeisha kitambo sana.

Nasubiri ushahidi, swali rahisi kama hili linakushinda hayo magumu itakuwaje ? Ndio maana huwa unakimbia maswali.
 
Huishi na mashia wewe umezoea kuwasemea uongo njoo hapa mtaani nikuonyeshe watu wanavyomtaja Allah na mtume wake Mohammad hadharani bila kificho , huo uwongo wako kadanganye Masuni wenzako, Mungu wa Mashia ni Allah na mtume ni Mohammad ili limekwisha
 
Ndio maana nikasema hivi kwa hoja za kiakili tu hili jambo unalo lidai wewe halipo, hapo bado sijaja kuichambua hadithi kukuonyesha uongo wenu Mashia ulipo.

Kazi yangu unaijua, nikija kumaliza na maliza kweli.

Hivi kweli Mashia akili zenu sijui mnaziweka wapi, mtume ambae aliambiwa na Allah lau angeficha katika yale aliyoshushiwa angevunjwa shingo yake, leo uje useme swahaba wake alimzuia kufikisha ujumbe ? Huwa nacheka sana ninapo soma hoja yenu hii ambayo ni mufilisi.

Mtume muda ule alikuwa amesha fikisha kila kitu. Halafu tukiwsuliza jalia kwamba hilo tukio lingekuwa la kweli kama mnavyolizungumza nyi, je mlijuaje kama mtume alitaka kuzugumzia jambo la utawala na kuacha kuwaita maswahaba na kuwaweka pamoja na kuwatangazia hili ?


Yaani Mashia vilaza kama walivyo makafiri Wang ne Wakristo na Mayahudi.
 
Lete hadithi hiyo hapa kama ubavu huo unao ahahahaha, aibu tupu mtume anataka kuandika final wish ili Umma wa Kislamu USIPOTEE, halafu anatokea OMAR analeta ujuaji wa kumshinda mtume !!! ahahahah halafu unasema hoja ya kiakili tena kuonyesha mtume kukasirishwa na tabia ile akawatimua NJE halafu unasema utaleta hadithi wewe thubutu yako
 

Swali hujajibu na najua huna jibu, thibitisha kama ule ndio ulikuwa ujumbe wa mwisho,kwanini hujibu maswali kijana?
 
Wewe Ni mutu bha kongo au bha Tanzania
 
Swali hujajibu na najua huna jibu, thibitisha kama ule ndio ulikuwa ujumbe wa mwisho,kwanini hujibu maswali kijana?
acha kuruka ruka lete hadithi hapa tuone OMAR akimfundisha mtume cha kufanya. Badala ya mtume kuwafundisha cha.kufanya , thubutu kuleta hadithi hiyo aibu itarudi kwako
 
Ubashiri unaweza ukatimia au usitimie , kama huyu anaebashiriwa atakuwa katika hali tofauti na ile iliyomfanya abashiriwe mwanzo, Omari kawa jeuri anakataa final wish ya mtume huu ni UASI yaani amemuasi mtume kisha akamuasi ALLAH
Kukaa kimya ni jibu tosha ila naona bado unataka, kwani alibashiriwa na nani? Kisha niambie ni kipi ambacho alikibashiri mtume Muhammad (S.A.W.W) kikawa hakijatimia.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Taqiyyah haikawahi kumuacha mtu salam, kusujudu juu udongo wa Karbala pia.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Huyu lazima ni salafist.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukaa kimya ni jibu tosha ila naona bado unataka, kwani alibashiriwa na nani? Kisha niambie ni kipi ambacho alikibashiri mtume Muhammad (S.A.W.W) kikawa hakijatimia.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Nimeshakujibu kuwa ubashiri wa peponi na motoni inategemea nyakati , ata Ibilisi alikuwa Mwema akawekwa kundi moja na malaika lakini alipoasi akawa muovu , ata OMAR hivyo hivyo mtume alipokuwa mzima alikuwa pamoja nae lakini alipoanza kuumwa maradhi ya umauti ndio akaanza kumbishia na kuleta jeuri, na maandiko yako wazi mwenye kumpinga mtume huyo ni MUOVU , hivyo automatically OMAR kwa kukujifanya yeye ndio mualimu wa mtume huo ni UOVU, huelewi nini wewe !!!
 
Unachekesha sana, hivyo Ibilisi nae alibashiriwa pepo eeh! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Alikaa kabisa peponi au ujui alimdanganya Adamu na hawa akiwa wapi ? au unafikir kwanini hakuwa malaika lakini alichanganywa na malaika !! hivi unafikir tunabahatisha hapa
 
Alikaa kabisa peponi au ujui alimdanganya Adamu na hawa akiwa wapi ? au unafikir kwanini hakuwa malaika lakini alichanganywa na malaika !! hivi unafikir tunabahatisha hapa
Nilichokuuliza sicho ulichojibu, narudia tena, alibashiriwa pepo?

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…