Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Haya mambo ya kidini yanahitaji elim tena elim ya dini kwelikweli. Hiyo qur'an na sunnah yenyewe inavyofundishwa na ushia ni tofauti na inavyofundishwa na wasunni. Vyovyote utavyosoma ni eidha iwe unasoma kishia au kisunni au kiahmadiyya au kiquraniyyun au vipi. Mtume hakuwa na dhehebu hii haina maana eti wewe hauna dhehebu. Mtume anasema tuswali kama yeye anavyosali je mtume aliswali vipi? Hapo utakuta wasunni wanayonamna yao na washia pia na madhehebu mengine pia na wote wanaclaim hivi ndivyo aliswali mtume, wewe unafuata ipia hapo? Utakuta hiyo namna yako uliyosomeshwa kwamba mtume aliswali hivi kwa wenzako wamefundishwa kinyume na wameambiwwa hivi ndivyo aliswali mtume.

Katika uislamu unlike christianity madhehebu yanatokana na eidha tofauti za kiitikadi au tafauti za kifiqihi. Tofauti za kiitikadi ndio hizi zinazoleta ushia, usunni uahmadiyya nk nk wkt tofauti za kifiqihi ni ndogo nazo zinagawanya hizi madhehebu kubwa pia. Mfano katika usunni kuna madhehebu nne zinazotokana na tofauti za kifiqihi.

Hapa inabidi elim kidogo ambayo mm sina kuweza kujua inakuwaje waislamu wa sasa wana madhehebu na hali ya kuwa mtume hakuwa nayo. Nafkiri kwa uchache wa uwezo wangu niishie hapa
sasa kuna haja gani ya kufuata dini ambayo ina jipinga pinga kiasi hicho khaaa "!!! Aisee mimi nililelewa kwenye mazingira", ya kiislam but tangu nione hizo contradiction niliamua kujiweka mbali nahuo upuuzi"" dini ni mbinu za watawala wa janja" wanaoitumia " kwaajili yakujipatia wepesi wakutawala watu "..nasio vinginevyo
 
Jambo hili halipo wala halitakuja kuwepo. Saudia ni jina jipya halikuwepo kabla na mipaka inajulikana kijiografia na utukufu wa miji inajulikana tangu na tangu.

Mashia wana hila asikwambie mtu.

Kwetu sisi utukufu hauletwi kwa kura za veto wala vikao vya watu kadhaa wala kwa tume au jopo la watu wa chache,utukufu wa jambo,mtu,kitu au miji kwa maana ya mahali ni kwa ufunuo kutoka kwa Allah aliyejuu na mtume wake amani ya Allah imfikie.

Bro wa kuidhuru saudia kwa hakika hakuna na hatoweza hata wakuifitini.

Nakuuliza swali,hivi ushawahi kusikia saudia kumepiganwa vita ?

Hii ziada nakupa huwezi kuujua ukweli wa mambo kupitia vyombo vya habari hasa haya mataifa wala kupitia makala za wana habari. Kwa sababu kuna ukweli huwa unataka muda kuujua,yaani kutenga muda na kusoma hasa.
saudia wametoka rushiwa mabomu na yemen jana tu mkuu" au wewe hulijui hilo"?? wasipigwe vita wao kinanani sasa ""??..=
 
Kwani Google inasehemu wanapoandika yenyewe si inaniletea machapisho yote kuhusu nachotaka!.. Mfano mimi nikiuliza kuhusu Uislamu wa Shia na Sunni ikanipa maelezo yote toka origin halafu na wewe ukaja ukasema una maandiko tofauti nikakuuliza umeyapata wapi ukasema mtandaoni si itabidi tuanze kuverify sites ulizotembelea kwa kulinganisha na zangu!.
Tuanzie hapa Wewe ulipopata majibu google ukatafuta wapi hiyo 'kweli'?.. Sababu Shia vs Sunni kihistoria ni Tawi moja lililokataa kukubaliana kuhusu mambo fulani kama ilivyo Roman Catholic vs Orthodox Church!..
Halafu wewe ni nani kukataa Irani sio Islam State wakati Internationally inatambulika hivyo!?.. Sometimes mambo yenu ya migogoro ya kidini muibakize mkikutana misikitini, mkija huku nje mpiganie kitu kimoja.
hahaaa "
 
Kwani Google inasehemu wanapoandika yenyewe si inaniletea machapisho yote kuhusu nachotaka!.. Mfano mimi nikiuliza kuhusu Uislamu wa Shia na Sunni ikanipa maelezo yote toka origin halafu na wewe ukaja ukasema una maandiko tofauti nikakuuliza umeyapata wapi ukasema mtandaoni si itabidi tuanze kuverify sites ulizotembelea kwa kulinganisha na zangu!.
Tuanzie hapa Wewe ulipopata majibu google ukatafuta wapi hiyo 'kweli'?.. Sababu Shia vs Sunni kihistoria ni Tawi moja lililokataa kukubaliana kuhusu mambo fulani kama ilivyo Roman Catholic vs Orthodox Church!..
Halafu wewe ni nani kukataa Irani sio Islam State wakati Internationally inatambulika hivyo!?.. Sometimes mambo yenu ya migogoro ya kidini muibakize mkikutana misikitini, mkija huku nje mpiganie kitu kimoja.
Bro nilichokisema nina kimaanisha,google ni changanyikeni mno,humo humo kuna ya kweli,ya uongo na yale ukiyaona kama ya kweli vile.

Bro wangapi wanachukua mambo ya uongo kupitia google na wakayaamini ?

Kuangalia wapi unachukua habari ni msingi katika kuhakiki habari.

Sasa bro utajua ukweli kama huna nyenzo za kuujua ukweli au kukufikisha katika kuujua ukweli ?

Kaka husemwa hivi " Ukiijua haki basi utawajua kina nani wenye haki". Kabla ya kufikia huko,kwanza inabidi uwajue wakina nani wanakupa habari.

Ukifatilia fitna za mwanzoni na machafuko tele zilianzia katika upokeaji wa habari bila kujua wapi zimetoka na upi ukweli wake.

Kaka aya yako ya mwisho imeonyesha ni jinsi gani huna mizani ya kuhukumu mambo,eti kwa kujiamini kabisa unasema mbona kimataifa inatambulika hivyo,huu ni utoto,mambo ya kielimu hayatolewi kwa makubaliano ya kimataifa au kwa kuegemea umataifa,elimu ni ukweli kama ulivyo wal si ukweli kama wauonavyo watu.

Nakukumbusha kitu moja kwetu sisi dini ndio maisha,dini ndio kila kitu huwezi kutenganisha dini na mienendo ya kimaisha.

Uliposema mimi ni nani ninakataa Irani sio dola ya kiislamu,umeonyesha udhaifu mkubwa sana ulionao juu ya kadhia hii. Bali umeonyesha udhaifu mkubwa wa kuuliza maswali,ulitakiwa uulize hivi " Uislamu unasemaje juu ya taifa la Irani au wanazuoni wakubwa waliokuzidi elimu wanasemaje juu ya taifa la Irani ?"
 
saudia wametoka rushiwa mabomu na yemen jana tu mkuu" au wewe hulijui hilo"?? wasipigwe vita wao kinanani sasa ""??..=
Hahahaha,sina taarifa bro,niambie hayo makambora yamerushwa wapi kuelekea wapi ?
 
Pia Usiwaamini sana Wairan ni Mandumilakuwili sana... haswa kwenye Biashara
 
Bro nilichokisema nina kimaanisha,google ni changanyikeni mno,humo humo kuna ya kweli,ya uongo na yale ukiyaona kama ya kweli vile.

Bro wangapi wanachukua mambo ya uongo kupitia google na wakayaamini ?

Kuangalia wapi unachukua habari ni msingi katika kuhakiki habari.

Sasa bro utajua ukweli kama huna nyenzo za kuujua ukweli au kukufikisha katika kuujua ukweli ?

Kaka husemwa hivi " Ukiijua haki basi utawajua kina nani wenye haki". Kabla ya kufikia huko,kwanza inabidi uwajue wakina nani wanakupa habari.

Ukifatilia fitna za mwanzoni na machafuko tele zilianzia katika upokeaji wa habari bila kujua wapi zimetoka na upi ukweli wake.

Kaka aya yako ya mwisho imeonyesha ni jinsi gani huna mizani ya kuhukumu mambo,eti kwa kujiamini kabisa unasema mbona kimataifa inatambulika hivyo,huu ni utoto,mambo ya kielimu hayatolewi kwa makubaliano ya kimataifa au kwa kuegemea umataifa,elimu ni ukweli kama ulivyo wal si ukweli kama wauonavyo watu.

Nakukumbusha kitu moja kwetu sisi dini ndio maisha,dini ndio kila kitu huwezi kutenganisha dini na mienendo ya kimaisha.

Uliposema mimi ni nani ninakataa Irani sio dola ya kiislamu,umeonyesha udhaifu mkubwa sana ulionao juu ya kadhia hii. Bali umeonyesha udhaifu mkubwa wa kuuliza maswali,ulitakiwa uulize hivi " Uislamu unasemaje juu ya taifa la Irani au wanazuoni wakubwa waliokuzidi elimu wanasemaje juu ya taifa la Irani ?"
  • Wanazuoni wakubwa kama nani wanaoikataa Iran!?.
  • Shia na Uislam vinatofautiana vipi na Sunni na Uislam?.
  • Mambo gani ya elimu yasiyo amulika/kubalika kimataifa!?.
  • Nipe vyanzo vya 'elimu' yako vinavyoikataa Irani kama jamhuri ya kiislamu na vinavyoukataa Ushia kama ni branch ya Islam.

PS: Google ni search engine sio website usitake kuhisi unaijua sana kuliko wote!. Hakuna jambo utakalo ambulia kupitia kuiponda google while kila mtu anajua kuna 'pumba' na 'mchele' google same to what you preach here!.

Niaminishe unachokisema ni sahihi, i will APOLOGIZE ASAP!.
 
Wacha nikujibu maana mimi ni mtu nilieyetembea hao mataifa ya israel na syria na pia najua mengi kuhusu iran ila sijawi fika hapo- kwanza ndio kiongozi wa iran wa ndini ayatollah ana nguvu na mamulaka zaidi ya raisi wa taifa la iran,kama hata bunge likipitisa sheria asipoweka sahini signature huyu ayatollah kiongozi wa deni hio sheria haitakuwa sheria. kuhusu nini shinda ya israel na iran, hizi taifa 2 hazijawahi kupigani ila chuki ya wana iran kwa wayahudi israel ni ya kuwa wao iran ni waislamu na israel ni wayahudi na hivyo klla mara iran inapiga kelele death to israel, wanaita israel the small satan , na pia hao iran ndio wanapatia hela wale magaidi wako lebanon ambao wanaitwa HEZBOLLAH, na hao magaidi wanarusha makombora hadi israel kiongozi wao anaitwa NASHRAH. la 3 sababu iran ni adui wa isreal ndio israel haiwezi ruhusu iran iweke zana zake za kivita hapo syria, maana nia ya iran ni kuiangamiza wana israel, na ndio sababu kamwe isreal haitakubali kamwe iran iweke watu wake hapo syria, na israel tayari imeua wana iran wengi sana wanajeshi ambao walikuwa wako hapo syria.kumbuka taifa lenye uwezo mkubwa zaidi wa kijeshi duniani ni----ISRAEL. nafikiri nimekujibu ya kutosha, kaa hujatoseka uliza tu kila hujaelewa mkuu, baraka tele.

Wacha nitofautuane na wewe kidogo, ingawa sijawahi kutembea , ANC na Mandela pia waliwahi kuitwa magaidi, mkuu hawa wamagharibi wana vigezo vyao ili kikundi kiitwe cha kigaidi siku hizi , lazima kiwe cha mrengo fulani, hii hutofautiana miaka na upepo wa Dunia uvumavyo.

Iran ina chuki na siiasa za kizayuni ambazo ni siasa 80% ya Israel, hawana chuki na wayahudi kama Kabila au dini , kwa maana wao pia wanao raia wenye asili ya kiyahudi na wanafata uyahudi na hamna shida Kati yao na serikali.

Siasa za kizayuni hata Wayahudi wengine wengi tena wapo Marekani pia wanazipinga , wanaenda mbele zaidi hata kukataa kuwepo taifa la Israel.

Irán ni Jamhuri ya kiislamu, sasa Sisi tukisema sio au ndio , ni kazi bure , maana hilo ndio jina lao RASMI, kama ilivyo nchi yetu , Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Sasa mtu akikataa na kusema vyengine, rasmi ni jina hilo.

Nasoma kupitia mjadala.
 
Wanazuoni kama nani wanaoikataa Irani!?.
Shia na Uislam vinatofautiana vipi na Sunni na Uislam?.
Mambo gani ya elimu yasiyo amulika/kubalika kimataifa!?.
Nipe vyanzo vya 'elimu' yako vinavyoikataa Irani kama jamhuri ya kiislamu na vinavyoukataa Ushia kama ni branch ya Islam.

PS: Google ni search engine sio website usitake kuhisi unaijua sana kuliko wote!. Hakuna jambo utakalo ambulia kupitia kuiponda google while kila mtu anajua kuna 'pumba' na 'mchele' google same to what you preach here!.

Niaminishe unachokisema ni sahihi, i will APOLOGIZE ASAP!.
Sitaji majina kwa kulinda heshima zao. Wanazuoni wote wa kiislamu wanaikataa Irani sio taifa la kiislamu.

Bro unataka nikupe tofauti ya Ushia na Usuni,huu utoto ndio ambao huwa siutaki,sasa inakuwaje ung'ang'anie ya kuwa Irani ni taifa la kiislamu halafu usijue tofauti kati ya Shia na Sunni ? Hapa unatakiwa kunitaka radhi.

Hivi kwanini usingeanza katika hoja yako ya kwanza kuuliza ni ipi tofauti kati ya Shia na Sunni ?

Mambo ya kidini hayapimwi kwa itifaki ya kimataifa.

Qur'an,Sunna na kauli za waja wema.

Bro hujaelewa ninacho kiongelea,sijasema google ni tovuti,nimesema google unakuta ya kweli na ya uongo,ulitakiwa ujue kwamba hayo ya kweli hayajiweki bali yanawekwa na watu,na kila mtu ana malengo yake wapo wenye malengo ya kuharibu na wenye malengo ya kujenga.


Hapa sipo ili nikuaminishe bali mimi nina kupa kile kilichokuwa bora,sasa ni hiari yako kuchukua au kuniachia mwenyewe.
 
JAMII FORUM INATAKA WATU WANAOJUA NA WANAOWEZA KUWAJUZA WENGINE SIO MIKWALA NA MAJIGAMBO HAMJUI HUMU KUNA MPAKA WATU WA DARASA LA SABA SASA HAO WATAPAJE TAARIFA ZA KINA BILA KUPATA MANGULI WA UFAFANUZI AACHE UBINAFSI.
Wakipata mda sio mbaya kiongozi
 
sasa kuna haja gani ya kufuata dini ambayo ina jipinga pinga kiasi hicho khaaa "!!! Aisee mimi nililelewa kwenye mazingira", ya kiislam but tangu nione hizo contradiction niliamua kujiweka mbali nahuo upuuzi"" dini ni mbinu za watawala wa janja" wanaoitumia " kwaajili yakujipatia wepesi wakutawala watu "..nasio vinginevyo
Unafkir kwa kuita imani ya wengine 'Upuuzi' ndio itakufanya wewe uwe na akili sana?
Mm nafkir haukuwa na haja ya kutumia lugha ya namna hiyo.
 
Wewe unaonaje utakuwa umekosea au umepatia ?

Nimemalizana na wewe.

Walio kuja kwa busara na kielimu nimesha wakirimu.
Nimepaona hapo 'ulipowakirimia' waliokuja kwa busara...nakupongeza kwa kirma. Hicho ndio ulipaswa kufanya tangu awali, na sio kupandwa jazba kama beberu la mbuzi pori wa mlimani.

Fahamu kuwa, si rahisi kwa sisi tusio waislamu kujua tofauti ya yenu, yaani mnapishania wapi na nani ana haki miliki ya uislamu wenyewe.

Kwenye utambulisho wake wa kimataifa kana nchi, Iran imejitambulisha kama Jamhuri ya Kiislam ya Iran na upo uwezekano wao Washia wanasema Wasuni sio waislamu na wakaja pia na sababu lukuki. Wewe umetuambia Washia ni Wayahudi, lkn huku nje Wayahudi na Washia hawaivi...kuna walakini sehemu
 
Nimepaona hapo 'ulipowakirimia' waliokuja kwa busara...nakupongeza kwa kirma. Hicho ndio ulipaswa kufanya tangu awali, na sio kupandwa jazba kama beberu la mbuzi pori wa mlimani.

Fahamu kuwa, si rahisi kwa sisi tusio waislamu kujua tofauti ya yenu, yaani mnapishania wapi na nani ana haki miliki ya uislamu wenyewe.

Kwenye utambulisho wake wa kimataifa kana nchi, Iran imejitambulisha kama Jamhuri ya Kiislam ya Iran na upo uwezekano wao Washia wanasema Wasuni sio waislamu na wakaja pia na sababu lukuki. Wewe umetuambia Washia ni Wayahudi, lkn huku nje Wayahudi na Washia hawaivi...kuna walakini sehemu
Mayahudi na Mashia kuna sanaa tu zinazoendelea. Fatilia kwa umakini utaliona hili ninalokuambia.

Kwanza kaa ukijua mataifa mengi ya kimagharibi huwa wanawatumia mashia kama farasi katika kuufitini uislamu na mfano wake.
 
Nimepaona hapo 'ulipowakirimia' waliokuja kwa busara...nakupongeza kwa kirma. Hicho ndio ulipaswa kufanya tangu awali, na sio kupandwa jazba kama beberu la mbuzi pori wa mlimani.

Fahamu kuwa, si rahisi kwa sisi tusio waislamu kujua tofauti ya yenu, yaani mnapishania wapi na nani ana haki miliki ya uislamu wenyewe.

Kwenye utambulisho wake wa kimataifa kana nchi, Iran imejitambulisha kama Jamhuri ya Kiislam ya Iran na upo uwezekano wao Washia wanasema Wasuni sio waislamu na wakaja pia na sababu lukuki. Wewe umetuambia Washia ni Wayahudi, lkn huku nje Wayahudi na Washia hawaivi...kuna walakini sehemu
Mashia huwa hawana hoja zaidi ya kulalama. Utawasikia nyinyi Mawahabi mnatumiwa na wamagharibi ukiwaambia wlete ushahidi wanapotea wanakokujua wao.
 
Back
Top Bottom