Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Nani kakwambia shahada inatoka katika vitabu vya Mashia ? Quran ndio imemkiri Allah na Mtume wake sasa unataka shahada kutoka vitabu vya kishia huu ni ukichaa mkubwa , Shahada ni Allah na mtume wake iwe shia iwe wahabi iwe nani usipende kupikia watu maneno

Nacheka sana,hiki kina kirefu,pili nakukumbusha tu ukiona kuna sehemu yoyote nimekujibu "Poa" ujue nimekupuuza sababu nikiendelea kujadiliana na wewe lazima utaaibika.

Nakukumbusha tu,hapa unatakiwa uthibitishe Ushia kwamba ni Uislamu,sababu Mashia wapo na tunaishi nao waulize wao wana itikadi gani na kweli ni waislamu.

Maana hata makadiani wana dai wao ni waislamu,mashia kadhalika,hii ni kama kisa cha Laila,kila mtu anadai Laila ni mchumba wake lakini tukimuuliza Laila anakana.

Kijana,nilitaka nikupuuze ukadhani naogopa,nilitaka kukuacha sababu hujui lolote. Sasa nataka unionyeshe Uislamu wa Mashia toka kwenye vitabu,kabla sijakuwekea vitabu vyao nikuonyeshe wanajipambanua vipi.


Qur'aan haijataja jina Ushia wala Usuni na kila kitu kina asili yake na lazima turudi kwa wenye hizo nisba.

Nataka unionyeshe hiyo shahada katika vitabu na mashia wanasemaje ? Si umejinadi una ushahidi kijana ? Nataka unionyeshe wapi mshia anashuhudia kwa shahada hiyo ?

Nipo ..
 
Jadili hoja ya msingi ...hiyo ni typing error katika uandishi hayo ni makosa ya kawaida

Mbona hata mungu wenu anaumba watu ambayo ni walemavu ..na binaadamu sana msaidia kwa kuwafanyia operation watu hao ili waweze kuwa kama binaadamu wengine...

Inamaana hata huyo mungu wenu huwa anavuta bangi!??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona hivyo ujue ameishiwa anatapatapa tayari
 
Naam niliwahi kusikia hilo ...inavyoonekana hao kina abubakar na omary walikuwa ni waroho wa madaraka as you know by that time ....dini yao ili kuwa ndio inatawala kiserikali kabisa ..so hapo kuna masuala ya kodi toka kwa wananchi na natural resources kibao zinazo patikana katika taifa husika...

Kimantiki Ally alipaswa kupewa heshima kubwa sana lakini inaonekana kuna figisu zilifanyika ili kumtoa katika reli kwa sababu ally alikuwa ni mdogo wake na mtume mtoto wa baba yake mdogo (if I'm not mistaken) pia alimuoa binti wa mtume pia masimulizi yanasema kwamba mtume alikuwa akimtaja ally Mara kwa Mara kuwa nimtu ambaye ana elimu kubwa kuliko hata wenzake ".......so inakuwaje Mtu ambaye aliyekuwa na sifa zote hizo akawekwa nyuma kabisa kama mkia katika dini na hata heshima yake hapewi vile inavyo stahiki kama ambavyo tunavyoona kwa omary na abubakar
Shia wana imamu wao 12 ukianzia kwa Ali ambao bila shaka ndio wao wanaamini alikuwa na vigezo vyote kuwa kiongozi wa waislamu ukilinganisha na hawa wengine , ndio maana hawa maswahaba kama Abubakari na Omari wanaonekana walimpora Ali madaraka , ugomvi na mkubwa mda ni mchache silaha kubwa ya wafuasi wa abubakar na Omari ambao ni Masuni ni kujaribu kuwatia Shia kashfa ya ukafiri ili wapate kuwatenga , ila Shia wako imara kama chuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nacheka sana,hiki kina kirefu,pili nakukumbusha tu ukiona kuna sehemu yoyote nimekujibu "Poa" ujue nimekupuuza sababu nikiendelea kujadiliana na wewe lazima utaaibika.

Nakukumbusha tu,hapa unatakiwa uthibitishe Ushia kwamba ni Uislamu,sababu Mashia wapo na tunaishi nao waulize wao wana itikadi gani na kweli ni waislamu.

Maana hata makadiani wana dai wao ni waislamu,mashia kadhalika,hii ni kama kisa cha Laila,kila mtu anadai Laila ni mchumba wake lakini tukimuuliza Laila anakana.

Kijana,nilitaka nikupuuze ukadhani naogopa,nilitaka kukuacha sababu hujui lolote. Sasa nataka unionyeshe Uislamu wa Mashia toka kwenye vitabu,kabla sijakuwekea vitabu vyao nikuonyeshe wanajipambanua vipi.


Qur'aan haijataja jina Ushia wala Usuni na kila kitu kina asili yake na lazima turudi kwa wenye hizo nisba.

Nataka unionyeshe hiyo shahada katika vitabu na mashia wanasemaje ? Si umejinadi una ushahidi kijana ? Nataka unionyeshe wapi mshia anashuhudia kwa shahada hiyo ?

Nipo ..
Nimekujibu na narudia tena kukujibu shahada ni maelekezo ya Allah na mtume wake , QURAN na HADITHI ziko wazi juu ya Shahada sasa wewe unapolazimisha kuwa kuna Shahada za Mashia unaoneka huna akili , Mashia shahada ni kumkiri ALLAH na mtume wake wewe kama unajua kuna shahada nyingine zaidi ya hii ilete maana uelewi unafosi 3 iwe 9
 
Naam niliwahi kusikia hilo ...inavyoonekana hao kina abubakar na omary walikuwa ni waroho wa madaraka as you know by that time ....dini yao ili kuwa ndio inatawala kiserikali kabisa ..so hapo kuna masuala ya kodi toka kwa wananchi na natural resources kibao zinazo patikana katika taifa husika...

Kimantiki Ally alipaswa kupewa heshima kubwa sana lakini inaonekana kuna figisu zilifanyika ili kumtoa katika reli kwa sababu ally alikuwa ni mdogo wake na mtume mtoto wa baba yake mdogo (if I'm not mistaken) pia alimuoa binti wa mtume pia masimulizi yanasema kwamba mtume alikuwa akimtaja ally Mara kwa Mara kuwa nimtu ambaye ana elimu kubwa kuliko hata wenzake ".......so inakuwaje Mtu ambaye aliyekuwa na sifa zote hizo akawekwa nyuma kabisa kama mkia katika dini na hata heshima yake hapewi vile inavyo stahiki kama ambavyo tunavyoona kwa omary na abubakar

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndipo mashia wakawa wakali hili jambo hawakubaliani nalo , Ali alikuwa mpwa wa mtume na vile vile alikuwa mkwe wa mtume alimuolea mtume binti yake na wakapata watoto , halafu ajawai kufanya ibada za kishirikina kama hao wakina Abubakari kiukweli alikuwa na sifa nyingi kuliko hao wengine
 
Ujui kitu kabisa hapa unaongea na mtu asiebahatisha , rudi wewe ukasome Abubakari alipigana vita na wakina nani kwa mda usiopungua mwaka mzima , kamsome Omari kwanini aliuliwa na nani alimuua, vip kuhusu Othman aliuliwa kama kuku, mwisho kajifunze kwanini Ali alihamishi makao yake makuu kutoka Mecca kwenda IRAQ, vile vile kajifunze kwanini Aisha alistaafu kujihusisha na mambo ya utawala baada ya kichapo kilichopata jeshi alilotuma kulipa kisasi cha Othman ,ukishafahamu utajua jambo muhimu, ukishindwa kujua kitu niulize nikupe elimu mbadala achana na mambo ya kukariri
Hadi wakati nabii Muhammad (S.A.W) anafariki aliacha vitu viwili kama muongozo wa Waislam, vitu hivyo ni Quran na Sunna. Waislam Sunni asili ya jina Sunni ni kutokana na kufuata Sunna za mtume, Ambapo ref ya kwanza kwao ni Quran na ya pili ni Sunna. Ukiipata maana ya Shia utajua kuwa wako wazi kuwa wanafuata (follower) wa Ali (R.A) Shia maana yake ni wafuasi wa,: Hata hivyo shia wao wana Quran na Hadith zenye tafsiri zao tofauti na hadithi pamoja na Quran yenyewe.
Vile vile kwa mtazamo mwengine angalia wanavyoiadhimisha siku ya Ashura, ukiangalia kwa jicho jingine Uislam hauruhusu kuomboleza wala kujiumiza kwa ajili ya kifo cha mwingine vile vile iweje vifo vya wajukuu wa mtume wao ndio viwaume zaidi kuliko kifo cha mtume mwenyewe!!

IMAAM ASH-SHAAFI'IY
Imam Ash-Shafi’iy alisema siku moja kuhusu Mashia, ‘Sijawahi kuona miongoni mwa makafiri watu wanaojulikana kwa kusema uongo kuliko Mashia.’ [Minhaaj as-Sunnah an-Nabawiyyah, 1/39] Wakati mwingine alisema, ‘Simulia elimu kutoka kwa yeyote yule utakayekutana naye isipokuwa Mashia, kwani wao hutunga Hadyith na kuzifanya sehemu ya Dini yao.’ [Minhaaj as-Sunnah an-Nabawiyyah, 1/38].

IMAAM MAALIK
Siku moja Imaam Maalik aliulizwa kuhusu wao (Mashia) akajibu, ‘Usiongee nao wala kupokea hadithi zao, kwani hapana shaka wao ni waongo.’ [Minhaaj as-Sunnah, 1/37] Ilitajwa katika darsa yake kuwa Mashia wanawatukana Maswahaba. Katika kujibu akataja Aayah: ‘‘Muhammad (صلى الله عليه وآله وسلم) ni Rasuli wa Allaah. Na wale walio pamoja naye ni wakali zaidi dhidi ya makafiri; wanahurumiana baina yao...

IMAAM IBN AL-MUBAARAK
Imaam Ibnul Mubaarak amesimuliwa akisema, ‘Dini hupatikana kwa Watu wa Hadiyth (Ahlul Hadiyth), falsafa na udhuru wa kijanjajanja unapatikana kwa watu wa rai (Ahlur Rai ) na uongo unapatikana kwa Mashia.’ [Al-Muntaqaa min Minhaaj al-I`tidaal, uk. 48].




Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Jadili hoja ya msingi ...hiyo ni typing error katika uandishi hayo ni makosa ya kawaida

Mbona hata mungu wenu anaumba watu ambao ni walemavu ..na binaadamu wana msaidia kwa kuwafanyia operation watu hao ili waweze kuwa kama binaadamu wengine...

Inamaana hata huyo mungu wenu huwa anavuta bangi!?? Careem

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani si nilikujibu post iloyofuata?
Sio kila unachokiona hapa kwenye jamii forum ukahisi ndio uhalisia wa muhusika.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Nimekujibu na narudia tena kukujibu shahada ni maelekezo ya Allah na mtume wake , QURAN na HADITHI ziko wazi juu ya Shahada sasa wewe unapolazimisha kuwa kuna Shahada za Mashia unaoneka huna akili , Mashia shahada ni kumkiri ALLAH na mtume wake wewe kama unajua kuna shahada nyingine zaidi ya hii ilete maana uelewi unafosi 3 iwe 9
Nacheka sana,mlango nimefunga si ulitaka kujadili hili jambo. Nakukumbusha tu ya kuwa hatuongelei Qur'aan wala Hadithi hapa,tunaongelea MASHIA na SHAHADA.

Sasa sababu Mashia wapo na wanazuoni wao wapo waulize wakwanbie,kila kitu kipo wazi kijana.

Hata wewe leo hii unaweza kudai jambo fulani,ila lazima tukuhoji utupe majibu.

Naona napoteza muda kujadiliana na mtu asie jua anachokiongelea. Mpaka unakufa huna uwezo wa kuonyesha Uislamu wa MASHIA.

Siku nyingine ukiona nimekupuuza ujue nimeshajua hujui chochote katika jambo husika.

Ukija uje na ushahidi toka kwenye vitabu vya Mashia vinavyokiri shahada.
 
Naam niliwahi kusikia hilo ...inavyoonekana hao kina abubakar na omary walikuwa ni waroho wa madaraka as you know by that time ....dini yao ili kuwa ndio inatawala kiserikali kabisa ..so hapo kuna masuala ya kodi toka kwa wananchi na natural resources kibao zinazo patikana katika taifa husika...

Kimantiki Ally alipaswa kupewa heshima kubwa sana lakini inaonekana kuna figisu zilifanyika ili kumtoa katika reli kwa sababu ally alikuwa ni mdogo wake na mtume mtoto wa baba yake mdogo (if I'm not mistaken) pia alimuoa binti wa mtume pia masimulizi yanasema kwamba mtume alikuwa akimtaja ally Mara kwa Mara kuwa nimtu ambaye ana elimu kubwa kuliko hata wenzake ".......so inakuwaje Mtu ambaye aliyekuwa na sifa zote hizo akawekwa nyuma kabisa kama mkia katika dini na hata heshima yake hapewi vile inavyo stahiki kama ambavyo tunavyoona kwa omary na abubakar

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi katika uislam kumeoneshwa kuwa Ali ndio awe khalifa? Uislam unaruhusu kiongozi kuchaguliwa kwa kupigiwa kura. Na ndivyo ilivyofanyika kwa Sayyidna Omar, Abi Bakr na Uthman (R.Anhuma).
Ali hao jamaa na wafuasi wa Ali kwa kuwa waliona makhalifa wanachaguliwa nje ya kabila la mtume yaani Kirayshi ndipo wakapelekea kifo cha Sayyidna Uthman maana waloijua wakimuua hakuna yeyote atakaepinga Ali kuwa khalifa.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Nacheka sana,mlango nimefunga si ulitaka kujadili hili jambo. Nakukumbusha tu ya kuwa hatuongelei Qur'aan wala Hadithi hapa,tunaongelea MASHIA na SHAHADA.

Sasa sababu Mashia wapo na wanazuoni wao wapo waulize wakwanbie,kila kitu kipo wazi kijana.

Hata wewe leo hii unaweza kudai jambo fulani,ila lazima tukuhoji utupe majibu.

Naona napoteza muda kujadiliana na mtu asie jua anachokiongelea. Mpaka unakufa huna uwezo wa kuonyesha Uislamu wa MASHIA.

Siku nyingine ukiona nimekupuuza ujue nimeshajua hujui chochote katika jambo husika.

Ukija uje na ushahidi toka kwenye vitabu vya Mashia vinavyokiri shahada.
Ushahidi autoe wapi basi, sana sana atakwambia umo kwenye Quran.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Ushahidi autoe wapi basi, sana sana atakwambia umo kwenye Quran.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD

Ndio kawaida ake,huwa unajidai anajua sana,ukimbana ndio huwa yuko hivi,sasa kuna muda huwa nampuuza lakini anaona kama amekimbiwa kumbe tumeona ni mjinga wa kutupwa.

Hana ushahidi hapo utakuta hajui hata historia ya Ushia bali hajui hata kitabu kimoja cha mashia.

Huwa nacheka sana.
 
Wapi katika uislam kumeoneshwa kuwa Ali ndio awe khalifa? Uislam unaruhusu kiongozi kuchaguliwa kwa kupigiwa kura. Na ndivyo ilivyofanyika kwa Sayyidna Omar, Abi Bakr na Uthman (R.Anhuma).
Ali hao jamaa na wafuasi wa Ali kwa kuwa waliona makhalifa wanachaguliwa nje ya kabila la mtume yaani Kirayshi ndipo wakapelekea kifo cha Sayyidna Uthman maana waloijua wakimuua hakuna yeyote atakaepinga Ali kuwa khalifa.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Kura sizina chakachuliwa tu .... Hata wapigaji na wasimamizi ni binaadamu kama Mimi na wewe wana tamaa zao za kibinaadamu pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi wakati nabii Muhammad (S.A.W) anafariki aliacha vitu viwili kama muongozo wa Waislam, vitu hivyo ni Quran na Sunna. Waislam Sunni asili ya jina Sunni ni kutokana na kufuata Sunna za mtume, Ambapo ref ya kwanza kwao ni Quran na ya pili ni Sunna. Ukiipata maana ya Shia utajua kuwa wako wazi kuwa wanafuata (follower) wa Ali (R.A) Shia maana yake ni wafuasi wa,: Hata hivyo shia wao wana Quran na Hadith zenye tafsiri zao tofauti na hadithi pamoja na Quran yenyewe.
Vile vile kwa mtazamo mwengine angalia wanavyoiadhimisha siku ya Ashura, ukiangalia kwa jicho jingine Uislam hauruhusu kuomboleza wala kujiumiza kwa ajili ya kifo cha mwingine vile vile iweje vifo vya wajukuu wa mtume wao ndio viwaume zaidi kuliko kifo cha mtume mwenyewe!!

IMAAM ASH-SHAAFI'IY
Imam Ash-Shafi’iy alisema siku moja kuhusu Mashia, ‘Sijawahi kuona miongoni mwa makafiri watu wanaojulikana kwa kusema uongo kuliko Mashia.’ [Minhaaj as-Sunnah an-Nabawiyyah, 1/39] Wakati mwingine alisema, ‘Simulia elimu kutoka kwa yeyote yule utakayekutana naye isipokuwa Mashia, kwani wao hutunga Hadyith na kuzifanya sehemu ya Dini yao.’ [Minhaaj as-Sunnah an-Nabawiyyah, 1/38].

IMAAM MAALIK
Siku moja Imaam Maalik aliulizwa kuhusu wao (Mashia) akajibu, ‘Usiongee nao wala kupokea hadithi zao, kwani hapana shaka wao ni waongo.’ [Minhaaj as-Sunnah, 1/37] Ilitajwa katika darsa yake kuwa Mashia wanawatukana Maswahaba. Katika kujibu akataja Aayah: ‘‘Muhammad (صلى الله عليه وآله وسلم) ni Rasuli wa Allaah. Na wale walio pamoja naye ni wakali zaidi dhidi ya makafiri; wanahurumiana baina yao...

IMAAM IBN AL-MUBAARAK
Imaam Ibnul Mubaarak amesimuliwa akisema, ‘Dini hupatikana kwa Watu wa Hadiyth (Ahlul Hadiyth), falsafa na udhuru wa kijanjajanja unapatikana kwa watu wa rai (Ahlur Rai ) na uongo unapatikana kwa Mashia.’ [Al-Muntaqaa min Minhaaj al-I`tidaal, uk. 48].




Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Hao wote ni wanazuoni wa kisuni unafikiri wataongea jema gani juu ya shia zaidi ya propaganda ?
 
Nacheka sana,mlango nimefunga si ulitaka kujadili hili jambo. Nakukumbusha tu ya kuwa hatuongelei Qur'aan wala Hadithi hapa,tunaongelea MASHIA na SHAHADA.

Sasa sababu Mashia wapo na wanazuoni wao wapo waulize wakwanbie,kila kitu kipo wazi kijana.

Hata wewe leo hii unaweza kudai jambo fulani,ila lazima tukuhoji utupe majibu.

Naona napoteza muda kujadiliana na mtu asie jua anachokiongelea. Mpaka unakufa huna uwezo wa kuonyesha Uislamu wa MASHIA.

Siku nyingine ukiona nimekupuuza ujue nimeshajua hujui chochote katika jambo husika.

Ukija uje na ushahidi toka kwenye vitabu vya Mashia vinavyokiri shahada.
Kama umekosa la kuandika ni vyema ukaficha ujinga wako , SHAHADA sio jambo la mtu kuamua ni jambo lillilopo katika QURAN na HADITHI , sasa unapolazimisha jambo uletewe shahada ya Mashia wakati Mashia wanamkiri Allah na Mohammad na ndio shahada yenyewe unachekesha sana, narudia hakuna shahada ya Mashia kuna shahada ya kumkiri Allah na mtume wake ambayo Mashia wanaifata na kuitukuza, nje ya hapo unaleta habari za kutungwa , nimekupa nafasi kama unafikir Mashia wanashahada nyinginew zaidi ya hii hao watakuwa mashia wako wewe kijana usipoelewa uelewi tena
 
Wapi katika uislam kumeoneshwa kuwa Ali ndio awe khalifa? Uislam unaruhusu kiongozi kuchaguliwa kwa kupigiwa kura. Na ndivyo ilivyofanyika kwa Sayyidna Omar, Abi Bakr na Uthman (R.Anhuma).
Ali hao jamaa na wafuasi wa Ali kwa kuwa waliona makhalifa wanachaguliwa nje ya kabila la mtume yaani Kirayshi ndipo wakapelekea kifo cha Sayyidna Uthman maana waloijua wakimuua hakuna yeyote atakaepinga Ali kuwa khalifa.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Kama ulikuwa ufahamu ata Omari aliuliwa , ata Ali nae aliuliwa unaona kuuliwa ni Hoja , Ali ata kwenye kupiga kura hakuwepo halafu unadai haki kutendeka ahahahahaha
 
Ndio kawaida ake,huwa unajidai anajua sana,ukimbana ndio huwa yuko hivi,sasa kuna muda huwa nampuuza lakini anaona kama amekimbiwa kumbe tumeona ni mjinga wa kutupwa.

Hana ushahidi hapo utakuta hajui hata historia ya Ushia bali hajui hata kitabu kimoja cha mashia.

Huwa nacheka sana.
Tulia dawa ikuingia , usilete tafasiri zako kuwa ndio UISLAMU kijana ,nimeshakwambia hakuna Shahada ya Mashia kuna shahada ya kumkiri Allah na mtume wake ambayo ndio Mashia kitu wanafanya unalazimisha tui liwe maziwa haya ndio madhara ya kukariri ujinga
 
Ushahidi autoe wapi basi, sana sana atakwambia umo kwenye Quran.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Unataka ushahidi wa kumkiri Allah ndani ya QURAN mbona umejaa , unataka mpaka nikuonyeshe wakati ata wewe unajua upo huko ni kupoteza muda , tuambie kura zilipopigwa Ali alikuwa wapi ?
 
Back
Top Bottom