Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina maadui wengi miongoni mwa Wananchi wake

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina maadui wengi miongoni mwa Wananchi wake

Jukwaa la msuguano wa akili na mawazo mbadala kwa kutoa sulushi kwa faida ya wote;

Kwa sasa Tanzania ina maadui wengi sana kutoka miongoni mwa Wananchi wake na viongozi wa kisiasa.

Maadui wa kimkakati ni watatu kama wanarivyorithishwa kila awamu ya uongozi ni Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Wanaojitokeza kila baada ya awamu ya uongozi wanatofautiana kwa kulingana na changamoto zinazojitokeza kukabiliana na mahitaji ya kazi, mazingira rafiki ya biashara, ufisadi na rushwa, ukosefu wa haki, uzembe kazini, uzalishaji hafifu, uhujumu uchumi kwa kuficha bidhaa zinazohitajika na washika dau, upendeleo, ubaguzi, dharau za baadhi ya viongozi dhidi ya watu wa chini kwa mambo ya msingi wanayodai kutotendewa ipasavyo hatimaye maadui wafuatao hutokea ili kukuza tatizo ili adui wa nje apate mwaya kupenya ndani kwa sura ya kusaidia kuondoa tatizo huku wakijilipa isivyo halali kwa msaada wa kibinadamu:

1. Watanzania waliotoka vijijini kabisa ama wakiwa wamepata elimu ya kutosha ama hapana lakini ndio wanaotoa taarifa za siri kwa watu wa nje ya nchi ambao walikuwa na maslahi ya sio na vikwazo

2. Baadhi ya wasomi ndio wanaotumika kuvujisha mipango na mikakati ya kitaifa kuhusu uchimi kwa lengo la kuhujumu juhudi hizo kwa kisingizio cha ukiukwaji wa haki za binadamu

3. Baadhi ya wanasiasa wenye mawazo mbadala wanapokwama kutimiza malengo yao wanaamua kushirikiana na watu wa nje wenye malengo ya kuanzisha mgogoro na serikali kutokana na kukwama shughuli zao za uzalishaji

4. Utandawazi lengo lake ni kusaidia kuchochea ukuaji wa uchumi, lakini wasomi wenye malengo rahisi kwa kutumia njia za mkato kufanikisha uongozi wa kisiasa wanaona wanacheleweshwa hivyo huamua kuuza taarifa na nyaraka maalumu za siri kwa maadui wa nchi ndio maana mnasikia kila leo kesi zinafunguliwa kwa madai ya kusababishiwa hasara kwa kukatishiwa mikataba au kurejelewa mazungumzo kwa maslahi ya nchi;

5. Baadhi ya michango ya mawazo kwa watumiaji wa mitandao sio ya kujenga ila ni kubomoa kwa nia ya kumkomoa mtu wanayedhani ndio kikwazo kwao kufikia malengo ya kupata uongozi wa kisiasa katika nchi

6. Baadhi ya wafanyabiashara waliokuwa wamezoea kujipatia faida kubwa isiyoathiri gharama za matumizi ya kiutawala na uendeshaji hawalipi kodistahiki kwa mfumo wa elektroniki ipasavyo (thamani halisi kwa kulingana na mteja alivyolipa haiingizwi kwenye risiti ya malipo, kufich bidhaa kwa nia ya kupandisha bei, kuuza bidha bila utaratibu halali kwa kuwapa machinga wenye kitambulisho kilicholipiwa gharama za utengenezaji kisha baada ya mauzo machinga analipwa kamisheni kidogo kwa kufanikisha uuzaji huo usio halali, kuwa na migomo baridi ujengaji na ufufuaji wa viwanda vilivyobinafisishwa kwao miaka kadhaa iliyopita;

7. Baadhi ya wasafirishaji

8. Baadhi ya watumishi wa umma na serikali

Kama Matanzania anajiunga na adui kumkwamisha Mtanzania asifanikiwe kwa wivu, chuki na inda kwamba kkwa kuwa wao sio viongozi wa kufanikisha lengo hilo wanaona ni bora kumkomoa kiongozi huyo bila kufikiri anayekwamishwa ni mwananchi wa kawaida kumudu maisha yake kwa gharama nafuu ili kuonesha nguvu zao za ushawishi za kukubalika katika jamii

Nini kifanyike?

Kuna mahitaji kadhaa yanatakiwa yawepo ili mtu, kikundi au nchi ishinde vita inapasaswa angalau yafuatayo yaambatane na mpango huo
1. Uongozi bora, imara na usio yumbayumba kwa maslahi ya nchi
2. Nguvu elndelevu za kiuchumi kufanikisha ghrama za uendeshaji wa vita (rasirilimali watu na vifaa)
3. Nia, hamasa, sababu, uwezo na utashi wa wananchi kuunga mkono vita hiyo kwa gharama za nguvu zao na rasirimali za nchi
4. Eneo la kijiografia la nchi husika
5. Uungwaji mkono na marafiki wa nje ya nchi kiuchumi, kijamii, kwa taarifa za ulinzi na usalama
6. Uwezo na teknolojia ya vifaa na rasirimali watu ya jeshi kukabiliana na maadui kwenye medani za kivita, kidiplomasia na kiusalama
7. Kudhibiti mamluki na wasaliti miongoni mwa jamii na watumishi
8. Kufanya kazi kwa bidii kwa uzalishaji wa bidhaa, huduma na maarifa ili kujitegemea katika nyanja zote za kiuchumi, usalama, jamii nk

NB: Tanzania kwa sasa imo vitani dhidi ya maadui wa ndani na nje ya nasaba ya Wananchi

i) Adui wa ndani-asiyependa kitu kizuri chenye maendeleo ya jumla na binafsi kifanyike chini ya kiongozi asiyempenda au kuwa na itikadi ya pamoja naye

ii) Adui wa nje-washirika waasi kwenye shighuli za pamoja za kiuchumi baada ya kutofautiana maslahi ambapo upande mmoja unatuhumu kuhujumiwa na mwingine ukidai kunyang'nywa shughuli au huduma yenye maslahi binafsi ndipo mgogoro unapozuka huku kila upande ukidai haki zaidi ya mtindo wa win-lose badala ya win-win situation

KARIBUNI kwa mawazo mchanyato na yenye ujenzi
Maadui wa Watanzania ni Zitto Kabwe Raia wa Burundi, na Tundu Lissu raia wa Ubeligiji na kenya na Amsterdam raia wa Uholanzi sisi Watanzania tunaendelea na kuchapa kazi kuelekea uchumi wa juu zaidi Duniani
 
Jukwaa la msuguano wa akili na mawazo mbadala kwa kutoa sulushi kwa faida ya wote;

Kwa sasa Tanzania ina maadui wengi sana kutoka miongoni mwa Wananchi wake na viongozi wa kisiasa.

Maadui wa kimkakati ni watatu kama wanarivyorithishwa kila awamu ya uongozi ni Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Wanaojitokeza kila baada ya awamu ya uongozi wanatofautiana kwa kulingana na changamoto zinazojitokeza kukabiliana na mahitaji ya kazi, mazingira rafiki ya biashara, ufisadi na rushwa, ukosefu wa haki, uzembe kazini, uzalishaji hafifu, uhujumu uchumi kwa kuficha bidhaa zinazohitajika na washika dau, upendeleo, ubaguzi, dharau za baadhi ya viongozi dhidi ya watu wa chini kwa mambo ya msingi wanayodai kutotendewa ipasavyo hatimaye maadui wafuatao hutokea ili kukuza tatizo ili adui wa nje apate mwaya kupenya ndani kwa sura ya kusaidia kuondoa tatizo huku wakijilipa isivyo halali kwa msaada wa kibinadamu:

1. Watanzania waliotoka vijijini kabisa ama wakiwa wamepata elimu ya kutosha ama hapana lakini ndio wanaotoa taarifa za siri kwa watu wa nje ya nchi ambao walikuwa na maslahi ya sio na vikwazo

2. Baadhi ya wasomi ndio wanaotumika kuvujisha mipango na mikakati ya kitaifa kuhusu uchimi kwa lengo la kuhujumu juhudi hizo kwa kisingizio cha ukiukwaji wa haki za binadamu

3. Baadhi ya wanasiasa wenye mawazo mbadala wanapokwama kutimiza malengo yao wanaamua kushirikiana na watu wa nje wenye malengo ya kuanzisha mgogoro na serikali kutokana na kukwama shughuli zao za uzalishaji

4. Utandawazi lengo lake ni kusaidia kuchochea ukuaji wa uchumi, lakini wasomi wenye malengo rahisi kwa kutumia njia za mkato kufanikisha uongozi wa kisiasa wanaona wanacheleweshwa hivyo huamua kuuza taarifa na nyaraka maalumu za siri kwa maadui wa nchi ndio maana mnasikia kila leo kesi zinafunguliwa kwa madai ya kusababishiwa hasara kwa kukatishiwa mikataba au kurejelewa mazungumzo kwa maslahi ya nchi;

5. Baadhi ya michango ya mawazo kwa watumiaji wa mitandao sio ya kujenga ila ni kubomoa kwa nia ya kumkomoa mtu wanayedhani ndio kikwazo kwao kufikia malengo ya kupata uongozi wa kisiasa katika nchi

6. Baadhi ya wafanyabiashara waliokuwa wamezoea kujipatia faida kubwa isiyoathiri gharama za matumizi ya kiutawala na uendeshaji hawalipi kodistahiki kwa mfumo wa elektroniki ipasavyo (thamani halisi kwa kulingana na mteja alivyolipa haiingizwi kwenye risiti ya malipo, kufich bidhaa kwa nia ya kupandisha bei, kuuza bidha bila utaratibu halali kwa kuwapa machinga wenye kitambulisho kilicholipiwa gharama za utengenezaji kisha baada ya mauzo machinga analipwa kamisheni kidogo kwa kufanikisha uuzaji huo usio halali, kuwa na migomo baridi ujengaji na ufufuaji wa viwanda vilivyobinafisishwa kwao miaka kadhaa iliyopita;

7. Baadhi ya wasafirishaji

8. Baadhi ya watumishi wa umma na serikali

Kama Matanzania anajiunga na adui kumkwamisha Mtanzania asifanikiwe kwa wivu, chuki na inda kwamba kkwa kuwa wao sio viongozi wa kufanikisha lengo hilo wanaona ni bora kumkomoa kiongozi huyo bila kufikiri anayekwamishwa ni mwananchi wa kawaida kumudu maisha yake kwa gharama nafuu ili kuonesha nguvu zao za ushawishi za kukubalika katika jamii

Nini kifanyike?

Kuna mahitaji kadhaa yanatakiwa yawepo ili mtu, kikundi au nchi ishinde vita inapasaswa angalau yafuatayo yaambatane na mpango huo
1. Uongozi bora, imara na usio yumbayumba kwa maslahi ya nchi
2. Nguvu elndelevu za kiuchumi kufanikisha ghrama za uendeshaji wa vita (rasirilimali watu na vifaa)
3. Nia, hamasa, sababu, uwezo na utashi wa wananchi kuunga mkono vita hiyo kwa gharama za nguvu zao na rasirimali za nchi
4. Eneo la kijiografia la nchi husika
5. Uungwaji mkono na marafiki wa nje ya nchi kiuchumi, kijamii, kwa taarifa za ulinzi na usalama
6. Uwezo na teknolojia ya vifaa na rasirimali watu ya jeshi kukabiliana na maadui kwenye medani za kivita, kidiplomasia na kiusalama
7. Kudhibiti mamluki na wasaliti miongoni mwa jamii na watumishi
8. Kufanya kazi kwa bidii kwa uzalishaji wa bidhaa, huduma na maarifa ili kujitegemea katika nyanja zote za kiuchumi, usalama, jamii nk

NB: Tanzania kwa sasa imo vitani dhidi ya maadui wa ndani na nje ya nasaba ya Wananchi

i) Adui wa ndani-asiyependa kitu kizuri chenye maendeleo ya jumla na binafsi kifanyike chini ya kiongozi asiyempenda au kuwa na itikadi ya pamoja naye

ii) Adui wa nje-washirika waasi kwenye shighuli za pamoja za kiuchumi baada ya kutofautiana maslahi ambapo upande mmoja unatuhumu kuhujumiwa na mwingine ukidai kunyang'nywa shughuli au huduma yenye maslahi binafsi ndipo mgogoro unapozuka huku kila upande ukidai haki zaidi ya mtindo wa win-lose badala ya win-win situation

KARIBUNI kwa mawazo mchanyato na yenye ujenzi
Prof Rwaitama ni moja ya vibaraka wa mabeberu
 
Mkuu,

HAKI haipatikani kwenye siasa ni mpaka patokee mgogoro ndipo utoaji wa haki unatafutwa kutoka kwa chombo ambacho sio sehemu ya mgogoro husika. Kuimba haki kwenye jukwaa la kisiasa ni kujidanya tu. Ili madai ya haki yatolwe ni sharti pawepo mgogoro, mwathirika wa mgogoro na msababishaji wa mgogoro kisha chombo kisicho sehemu ya mgogoro kinapewa kazi

i) Haki kwa tafsiri ya kamusi ya Kiswahili ni 'jambo ambalo mtu anastahiki au kitu anachostahili kuwa nacho.'
ii) Haki kwa tafsiri ya kisheria ni 'kile mtu anachostahili kuwa nacho au kile anachoruhusiwa kufanya, au kile anachostahili kupokea kutoka kwa wengine kwa mujibu wa sheria’'
iii) Sheria ndio inatoa haki au kutambua haki za watu. Hivyo ili ujue haki yako ni ipi lazima uijue sheria inayotoa haki hiyo kisha unachukua hatua ya kulalamika kwenye chombo kinachokubalika kisheria ili tatizo litatuliwe na wewe kupata kile ambacho unastahili kupata;
iv) Ili uthibitishe uhalali wa haki yako unapaswa pia kwa pamoja kuthibitisha utekelezaji wa wajibu wako kuhakikisha kile unachostahili unakipata kama inavyopaswa na kwa wakati
Angalao basi hata vyombo husika vingekuwa na uhuru wa kuitoa katika mazingira yote kwa mujibu wa kanuni na sheria zetu.Bila ya uwepo wa siasa ndani yake.
 
Mimi ni mmoja wa maadui wakubwa wa utawala huu dhalimu
 
Jukwaa la msuguano wa akili na mawazo mbadala kwa kutoa sulushi kwa faida ya wote;

Kwa sasa Tanzania ina maadui wengi sana kutoka miongoni mwa Wananchi wake na viongozi wa kisiasa.

Maadui wa kimkakati ni watatu kama wanarivyorithishwa kila awamu ya uongozi ni Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Wanaojitokeza kila baada ya awamu ya uongozi wanatofautiana kwa kulingana na changamoto zinazojitokeza kukabiliana na mahitaji ya kazi, mazingira rafiki ya biashara, ufisadi na rushwa, ukosefu wa haki, uzembe kazini, uzalishaji hafifu, uhujumu uchumi kwa kuficha bidhaa zinazohitajika na washika dau, upendeleo, ubaguzi, dharau za baadhi ya viongozi dhidi ya watu wa chini kwa mambo ya msingi wanayodai kutotendewa ipasavyo hatimaye maadui wafuatao hutokea ili kukuza tatizo ili adui wa nje apate mwaya kupenya ndani kwa sura ya kusaidia kuondoa tatizo huku wakijilipa isivyo halali kwa msaada wa kibinadamu:

1. Watanzania waliotoka vijijini kabisa ama wakiwa wamepata elimu ya kutosha ama hapana lakini ndio wanaotoa taarifa za siri kwa watu wa nje ya nchi ambao walikuwa na maslahi ya sio na vikwazo

2. Baadhi ya wasomi ndio wanaotumika kuvujisha mipango na mikakati ya kitaifa kuhusu uchimi kwa lengo la kuhujumu juhudi hizo kwa kisingizio cha ukiukwaji wa haki za binadamu

3. Baadhi ya wanasiasa wenye mawazo mbadala wanapokwama kutimiza malengo yao wanaamua kushirikiana na watu wa nje wenye malengo ya kuanzisha mgogoro na serikali kutokana na kukwama shughuli zao za uzalishaji

4. Utandawazi lengo lake ni kusaidia kuchochea ukuaji wa uchumi, lakini wasomi wenye malengo rahisi kwa kutumia njia za mkato kufanikisha uongozi wa kisiasa wanaona wanacheleweshwa hivyo huamua kuuza taarifa na nyaraka maalumu za siri kwa maadui wa nchi ndio maana mnasikia kila leo kesi zinafunguliwa kwa madai ya kusababishiwa hasara kwa kukatishiwa mikataba au kurejelewa mazungumzo kwa maslahi ya nchi;

5. Baadhi ya michango ya mawazo kwa watumiaji wa mitandao sio ya kujenga ila ni kubomoa kwa nia ya kumkomoa mtu wanayedhani ndio kikwazo kwao kufikia malengo ya kupata uongozi wa kisiasa katika nchi

6. Baadhi ya wafanyabiashara waliokuwa wamezoea kujipatia faida kubwa isiyoathiri gharama za matumizi ya kiutawala na uendeshaji hawalipi kodistahiki kwa mfumo wa elektroniki ipasavyo (thamani halisi kwa kulingana na mteja alivyolipa haiingizwi kwenye risiti ya malipo, kufich bidhaa kwa nia ya kupandisha bei, kuuza bidha bila utaratibu halali kwa kuwapa machinga wenye kitambulisho kilicholipiwa gharama za utengenezaji kisha baada ya mauzo machinga analipwa kamisheni kidogo kwa kufanikisha uuzaji huo usio halali, kuwa na migomo baridi ujengaji na ufufuaji wa viwanda vilivyobinafisishwa kwao miaka kadhaa iliyopita;

7. Baadhi ya wasafirishaji

8. Baadhi ya watumishi wa umma na serikali

Kama Matanzania anajiunga na adui kumkwamisha Mtanzania asifanikiwe kwa wivu, chuki na inda kwamba kkwa kuwa wao sio viongozi wa kufanikisha lengo hilo wanaona ni bora kumkomoa kiongozi huyo bila kufikiri anayekwamishwa ni mwananchi wa kawaida kumudu maisha yake kwa gharama nafuu ili kuonesha nguvu zao za ushawishi za kukubalika katika jamii

Nini kifanyike?

Kuna mahitaji kadhaa yanatakiwa yawepo ili mtu, kikundi au nchi ishinde vita inapasaswa angalau yafuatayo yaambatane na mpango huo
1. Uongozi bora, imara na usio yumbayumba kwa maslahi ya nchi
2. Nguvu elndelevu za kiuchumi kufanikisha ghrama za uendeshaji wa vita (rasirilimali watu na vifaa)
3. Nia, hamasa, sababu, uwezo na utashi wa wananchi kuunga mkono vita hiyo kwa gharama za nguvu zao na rasirimali za nchi
4. Eneo la kijiografia la nchi husika
5. Uungwaji mkono na marafiki wa nje ya nchi kiuchumi, kijamii, kwa taarifa za ulinzi na usalama
6. Uwezo na teknolojia ya vifaa na rasirimali watu ya jeshi kukabiliana na maadui kwenye medani za kivita, kidiplomasia na kiusalama
7. Kudhibiti mamluki na wasaliti miongoni mwa jamii na watumishi
8. Kufanya kazi kwa bidii kwa uzalishaji wa bidhaa, huduma na maarifa ili kujitegemea katika nyanja zote za kiuchumi, usalama, jamii nk

NB: Tanzania kwa sasa imo vitani dhidi ya maadui wa ndani na nje ya nasaba ya Wananchi

i) Adui wa ndani-asiyependa kitu kizuri chenye maendeleo ya jumla na binafsi kifanyike chini ya kiongozi asiyempenda au kuwa na itikadi ya pamoja naye

ii) Adui wa nje-washirika waasi kwenye shighuli za pamoja za kiuchumi baada ya kutofautiana maslahi ambapo upande mmoja unatuhumu kuhujumiwa na mwingine ukidai kunyang'nywa shughuli au huduma yenye maslahi binafsi ndipo mgogoro unapozuka huku kila upande ukidai haki zaidi ya mtindo wa win-lose badala ya win-win situation

KARIBUNI kwa mawazo mchanyato na yenye ujenzi
Maelezo marefu , pumba tupu kuhalalisha haramu ionekane halali , ukweli utabaki palepale , mmeua watu, mmepora ushindi , mmekiuka haki za binadamu , utawala bora na demokrasia , nyinyi ni wamwaga damu , mmekalia viti vyenye damu .
 
Jukwaa la msuguano wa akili na mawazo mbadala kwa kutoa sulushi kwa faida ya wote;

Kwa sasa Tanzania ina maadui wengi sana kutoka miongoni mwa Wananchi wake na viongozi wa kisiasa.

Maadui wa kimkakati ni watatu kama wanarivyorithishwa kila awamu ya uongozi ni Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Wanaojitokeza kila baada ya awamu ya uongozi wanatofautiana kwa kulingana na changamoto zinazojitokeza kukabiliana na mahitaji ya kazi, mazingira rafiki ya biashara, ufisadi na rushwa, ukosefu wa haki, uzembe kazini, uzalishaji hafifu, uhujumu uchumi kwa kuficha bidhaa zinazohitajika na washika dau, upendeleo, ubaguzi, dharau za baadhi ya viongozi dhidi ya watu wa chini kwa mambo ya msingi wanayodai kutotendewa ipasavyo hatimaye maadui wafuatao hutokea ili kukuza tatizo ili adui wa nje apate mwaya kupenya ndani kwa sura ya kusaidia kuondoa tatizo huku wakijilipa isivyo halali kwa msaada wa kibinadamu:

1. Watanzania waliotoka vijijini kabisa ama wakiwa wamepata elimu ya kutosha ama hapana lakini ndio wanaotoa taarifa za siri kwa watu wa nje ya nchi ambao walikuwa na maslahi ya sio na vikwazo

2. Baadhi ya wasomi ndio wanaotumika kuvujisha mipango na mikakati ya kitaifa kuhusu uchimi kwa lengo la kuhujumu juhudi hizo kwa kisingizio cha ukiukwaji wa haki za binadamu

3. Baadhi ya wanasiasa wenye mawazo mbadala wanapokwama kutimiza malengo yao wanaamua kushirikiana na watu wa nje wenye malengo ya kuanzisha mgogoro na serikali kutokana na kukwama shughuli zao za uzalishaji

4. Utandawazi lengo lake ni kusaidia kuchochea ukuaji wa uchumi, lakini wasomi wenye malengo rahisi kwa kutumia njia za mkato kufanikisha uongozi wa kisiasa wanaona wanacheleweshwa hivyo huamua kuuza taarifa na nyaraka maalumu za siri kwa maadui wa nchi ndio maana mnasikia kila leo kesi zinafunguliwa kwa madai ya kusababishiwa hasara kwa kukatishiwa mikataba au kurejelewa mazungumzo kwa maslahi ya nchi;

5. Baadhi ya michango ya mawazo kwa watumiaji wa mitandao sio ya kujenga ila ni kubomoa kwa nia ya kumkomoa mtu wanayedhani ndio kikwazo kwao kufikia malengo ya kupata uongozi wa kisiasa katika nchi

6. Baadhi ya wafanyabiashara waliokuwa wamezoea kujipatia faida kubwa isiyoathiri gharama za matumizi ya kiutawala na uendeshaji hawalipi kodistahiki kwa mfumo wa elektroniki ipasavyo (thamani halisi kwa kulingana na mteja alivyolipa haiingizwi kwenye risiti ya malipo, kufich bidhaa kwa nia ya kupandisha bei, kuuza bidha bila utaratibu halali kwa kuwapa machinga wenye kitambulisho kilicholipiwa gharama za utengenezaji kisha baada ya mauzo machinga analipwa kamisheni kidogo kwa kufanikisha uuzaji huo usio halali, kuwa na migomo baridi ujengaji na ufufuaji wa viwanda vilivyobinafisishwa kwao miaka kadhaa iliyopita;

7. Baadhi ya wasafirishaji

8. Baadhi ya watumishi wa umma na serikali

Kama Matanzania anajiunga na adui kumkwamisha Mtanzania asifanikiwe kwa wivu, chuki na inda kwamba kkwa kuwa wao sio viongozi wa kufanikisha lengo hilo wanaona ni bora kumkomoa kiongozi huyo bila kufikiri anayekwamishwa ni mwananchi wa kawaida kumudu maisha yake kwa gharama nafuu ili kuonesha nguvu zao za ushawishi za kukubalika katika jamii

Nini kifanyike?

Kuna mahitaji kadhaa yanatakiwa yawepo ili mtu, kikundi au nchi ishinde vita inapasaswa angalau yafuatayo yaambatane na mpango huo
1. Uongozi bora, imara na usio yumbayumba kwa maslahi ya nchi
2. Nguvu elndelevu za kiuchumi kufanikisha ghrama za uendeshaji wa vita (rasirilimali watu na vifaa)
3. Nia, hamasa, sababu, uwezo na utashi wa wananchi kuunga mkono vita hiyo kwa gharama za nguvu zao na rasirimali za nchi
4. Eneo la kijiografia la nchi husika
5. Uungwaji mkono na marafiki wa nje ya nchi kiuchumi, kijamii, kwa taarifa za ulinzi na usalama
6. Uwezo na teknolojia ya vifaa na rasirimali watu ya jeshi kukabiliana na maadui kwenye medani za kivita, kidiplomasia na kiusalama
7. Kudhibiti mamluki na wasaliti miongoni mwa jamii na watumishi
8. Kufanya kazi kwa bidii kwa uzalishaji wa bidhaa, huduma na maarifa ili kujitegemea katika nyanja zote za kiuchumi, usalama, jamii nk

NB: Tanzania kwa sasa imo vitani dhidi ya maadui wa ndani na nje ya nasaba ya Wananchi

i) Adui wa ndani-asiyependa kitu kizuri chenye maendeleo ya jumla na binafsi kifanyike chini ya kiongozi asiyempenda au kuwa na itikadi ya pamoja naye

ii) Adui wa nje-washirika waasi kwenye shighuli za pamoja za kiuchumi baada ya kutofautiana maslahi ambapo upande mmoja unatuhumu kuhujumiwa na mwingine ukidai kunyang'nywa shughuli au huduma yenye maslahi binafsi ndipo mgogoro unapozuka huku kila upande ukidai haki zaidi ya mtindo wa win-lose badala ya win-win situation

KARIBUNI kwa mawazo mchanyato na yenye ujenzi
Kuadimika kwa saruji ni kiashiria cha vita dhidi ya mamlaka.
 
Adui mkuu wa Jamuhuri ya muungano waTanzania ni ccm na maccm.
 
Adui mkubwa wa Taifa letu kwa sasa ni CCM, Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama.

Hawa wamemeng'enyua mpaka mizizi ya Taifa letu. Baadhi ya mambo makubwa maovu waliyoyafanya mpaka sasa:

1) Uongozi wa kibaguzi. CCM, Serikali yake na Rais/Mwenyekiti wake kutamka wazi kuwa maendeleo yatapelekwa mahali kwa kuangalia itikadi ya wananchi

2) Utekaji, uuaji na upotezaji wa raia au wanaohoji au kumkosoa Rais

3) Ubambikaji wa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha wanaoikosoa serikali

4) Ukanyagaji wa uhuru wa watu, haki zao na ukiukaji wa misingi ya demokrasia unaofanywa na CCM, Rais, Tume ya Uchaguzi na vyombo vya ulinzi na usalama

5) Ukiukaji wa wazi wa katiba na sheria unaofanywa na Rais, CCM, serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

6) Serikali badala ya kulinda raia, kujigeuza na kuwa genge la maharamia dhidi ya wanaopinga uonevu, mfano mauaji ya wananchi waliokuwa wanataka kuandamana kule Zanzibar

Kwa sasa tunashuhudia taasisi zilizostahili kulinda haki, uhuru na demokrasia, zikigeuzwa kuwa magenge dhidi ya haki za wananchi wanaotaka misingi ya utawala bora, demokrasia, uhuru na haki, ilindwe/kuheshimiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
mzee waliouliwa hawakuwa kwenye maandamano hayo maandamano hayakufanyika kabisa
 
Adui mkuu wa Jamuhuri ya muungano waTanzania ni ccm na maccm.
ni kuaanzisha kuwapiga vita tu hao ccm wasiuziwe kitu wala usinunuwe kitu kinachouzwa na ccm na uachane kushirikiana nao ikiwezekana
 
Jukwaa la msuguano wa akili na mawazo mbadala kwa kutoa sulushi kwa faida ya wote;

Kwa sasa Tanzania ina maadui wengi sana kutoka miongoni mwa Wananchi wake na viongozi wa kisiasa.

Maadui wa kimkakati ni watatu kama wanarivyorithishwa kila awamu ya uongozi ni Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Wanaojitokeza kila baada ya awamu ya uongozi wanatofautiana kwa kulingana na changamoto zinazojitokeza kukabiliana na mahitaji ya kazi, mazingira rafiki ya biashara, ufisadi na rushwa, ukosefu wa haki, uzembe kazini, uzalishaji hafifu, uhujumu uchumi kwa kuficha bidhaa zinazohitajika na washika dau, upendeleo, ubaguzi, dharau za baadhi ya viongozi dhidi ya watu wa chini kwa mambo ya msingi wanayodai kutotendewa ipasavyo hatimaye maadui wafuatao hutokea ili kukuza tatizo ili adui wa nje apate mwaya kupenya ndani kwa sura ya kusaidia kuondoa tatizo huku wakijilipa isivyo halali kwa msaada wa kibinadamu:

1. Watanzania waliotoka vijijini kabisa ama wakiwa wamepata elimu ya kutosha ama hapana lakini ndio wanaotoa taarifa za siri kwa watu wa nje ya nchi ambao walikuwa na maslahi ya sio na vikwazo

2. Baadhi ya wasomi ndio wanaotumika kuvujisha mipango na mikakati ya kitaifa kuhusu uchimi kwa lengo la kuhujumu juhudi hizo kwa kisingizio cha ukiukwaji wa haki za binadamu

3. Baadhi ya wanasiasa wenye mawazo mbadala wanapokwama kutimiza malengo yao wanaamua kushirikiana na watu wa nje wenye malengo ya kuanzisha mgogoro na serikali kutokana na kukwama shughuli zao za uzalishaji

4. Utandawazi lengo lake ni kusaidia kuchochea ukuaji wa uchumi, lakini wasomi wenye malengo rahisi kwa kutumia njia za mkato kufanikisha uongozi wa kisiasa wanaona wanacheleweshwa hivyo huamua kuuza taarifa na nyaraka maalumu za siri kwa maadui wa nchi ndio maana mnasikia kila leo kesi zinafunguliwa kwa madai ya kusababishiwa hasara kwa kukatishiwa mikataba au kurejelewa mazungumzo kwa maslahi ya nchi;

5. Baadhi ya michango ya mawazo kwa watumiaji wa mitandao sio ya kujenga ila ni kubomoa kwa nia ya kumkomoa mtu wanayedhani ndio kikwazo kwao kufikia malengo ya kupata uongozi wa kisiasa katika nchi

6. Baadhi ya wafanyabiashara waliokuwa wamezoea kujipatia faida kubwa isiyoathiri gharama za matumizi ya kiutawala na uendeshaji hawalipi kodistahiki kwa mfumo wa elektroniki ipasavyo (thamani halisi kwa kulingana na mteja alivyolipa haiingizwi kwenye risiti ya malipo, kufich bidhaa kwa nia ya kupandisha bei, kuuza bidha bila utaratibu halali kwa kuwapa machinga wenye kitambulisho kilicholipiwa gharama za utengenezaji kisha baada ya mauzo machinga analipwa kamisheni kidogo kwa kufanikisha uuzaji huo usio halali, kuwa na migomo baridi ujengaji na ufufuaji wa viwanda vilivyobinafisishwa kwao miaka kadhaa iliyopita;

7. Baadhi ya wasafirishaji

8. Baadhi ya watumishi wa umma na serikali

Kama Matanzania anajiunga na adui kumkwamisha Mtanzania asifanikiwe kwa wivu, chuki na inda kwamba kkwa kuwa wao sio viongozi wa kufanikisha lengo hilo wanaona ni bora kumkomoa kiongozi huyo bila kufikiri anayekwamishwa ni mwananchi wa kawaida kumudu maisha yake kwa gharama nafuu ili kuonesha nguvu zao za ushawishi za kukubalika katika jamii

Nini kifanyike?

Kuna mahitaji kadhaa yanatakiwa yawepo ili mtu, kikundi au nchi ishinde vita inapasaswa angalau yafuatayo yaambatane na mpango huo
1. Uongozi bora, imara na usio yumbayumba kwa maslahi ya nchi
2. Nguvu elndelevu za kiuchumi kufanikisha ghrama za uendeshaji wa vita (rasirilimali watu na vifaa)
3. Nia, hamasa, sababu, uwezo na utashi wa wananchi kuunga mkono vita hiyo kwa gharama za nguvu zao na rasirimali za nchi
4. Eneo la kijiografia la nchi husika
5. Uungwaji mkono na marafiki wa nje ya nchi kiuchumi, kijamii, kwa taarifa za ulinzi na usalama
6. Uwezo na teknolojia ya vifaa na rasirimali watu ya jeshi kukabiliana na maadui kwenye medani za kivita, kidiplomasia na kiusalama
7. Kudhibiti mamluki na wasaliti miongoni mwa jamii na watumishi
8. Kufanya kazi kwa bidii kwa uzalishaji wa bidhaa, huduma na maarifa ili kujitegemea katika nyanja zote za kiuchumi, usalama, jamii nk

NB: Tanzania kwa sasa imo vitani dhidi ya maadui wa ndani na nje ya nasaba ya Wananchi

i) Adui wa ndani-asiyependa kitu kizuri chenye maendeleo ya jumla na binafsi kifanyike chini ya kiongozi asiyempenda au kuwa na itikadi ya pamoja naye

ii) Adui wa nje-washirika waasi kwenye shighuli za pamoja za kiuchumi baada ya kutofautiana maslahi ambapo upande mmoja unatuhumu kuhujumiwa na mwingine ukidai kunyang'nywa shughuli au huduma yenye maslahi binafsi ndipo mgogoro unapozuka huku kila upande ukidai haki zaidi ya mtindo wa win-lose badala ya win-win situation

KARIBUNI kwa mawazo mchanyato na yenye ujenzi
We kwa upuuzi huu utakuwa Ni kabudi
 
Back
Top Bottom