Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina maadui wengi miongoni mwa Wananchi wake

Maadui wa Watanzania ni Zitto Kabwe Raia wa Burundi, na Tundu Lissu raia wa Ubeligiji na kenya na Amsterdam raia wa Uholanzi sisi Watanzania tunaendelea na kuchapa kazi kuelekea uchumi wa juu zaidi Duniani
 
Prof Rwaitama ni moja ya vibaraka wa mabeberu
 
Angalao basi hata vyombo husika vingekuwa na uhuru wa kuitoa katika mazingira yote kwa mujibu wa kanuni na sheria zetu.Bila ya uwepo wa siasa ndani yake.
 
Mimi ni mmoja wa maadui wakubwa wa utawala huu dhalimu
 
Maelezo marefu , pumba tupu kuhalalisha haramu ionekane halali , ukweli utabaki palepale , mmeua watu, mmepora ushindi , mmekiuka haki za binadamu , utawala bora na demokrasia , nyinyi ni wamwaga damu , mmekalia viti vyenye damu .
 
Kuadimika kwa saruji ni kiashiria cha vita dhidi ya mamlaka.
 
Adui mkuu wa Jamuhuri ya muungano waTanzania ni ccm na maccm.
 
mzee waliouliwa hawakuwa kwenye maandamano hayo maandamano hayakufanyika kabisa
 
Adui mkuu wa Jamuhuri ya muungano waTanzania ni ccm na maccm.
ni kuaanzisha kuwapiga vita tu hao ccm wasiuziwe kitu wala usinunuwe kitu kinachouzwa na ccm na uachane kushirikiana nao ikiwezekana
 
We kwa upuuzi huu utakuwa Ni kabudi
 
ni kuaanzisha kuwapiga vita tu hao ccm wasiuziwe kitu wala usinunuwe kitu kinachouzwa na ccm na uachane kushirikiana nao ikiwezekana
Kama kipi wanacho niuzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…