dump
JF-Expert Member
- Mar 23, 2020
- 642
- 958
Mkuu hii salamu inafikirisha sana.Mkuu hii salamu Haina msingi wa kuitegemea.
Huyo Jamhuri hafahamiki ni nani.
Kwanini Rais anahofia kusalimia wananchi Kwa kuzitambua dini zao au tamaduni zao??
Kama anaona soni kusema Asalam Aleykum au Bwana Yesu Asifiwe basi aseme tu Habarini za saa hizi ma bibi na mabwana.
Huyo Jamhuri ndio nani??