Jamhuri ya Nicaragua | República de Nicaragua

Jamhuri ya Nicaragua | República de Nicaragua

Mkuu asante kwa kunikumbuka,makala yako ni nzuri inatufanya tusafiri kifikra na kujua maeneo tofauti na maisha yao

Nina swali,Ni kwanini ukiwa Nicaragua unaona nyota nyingi kuliko sehemu nyingine yoyote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani,

Kwa mimi niliyeshuhudia na kuamini dunia ni flat basi nitasema Nicaragua ni sehemu ambayo nyota nyingi za dunia zimejikusanya.

Kwa kutumia nadharia ya wanaanga hasa NASA na ESA basi wenyewe wanakuambia Nicaragua ni katikati ya Northern Hemisphere na Southern Hemisphere ndio sababu.
 
Sina cheti na kibali cha kufanya hiyo kazi maeneo hayo...Ntajitahidi nivipate...Napenda kurusha drones na nikipata chance ya kufanya hivyo maeneo hayo,that would surely be incredible!!!
Unaweza kurusha tufanye project Kama affiliates?
 
Asante kwa maelezo ila kwanini unasema na umeshuhudia na kuamini dunia ni flat,na sio duara/oval kama wengi tulivyoaminishwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo wa kila siku wa dunia unadhihirisha dunia ni flat, sababu ya pili sayansi ya NASA na Galileo inatambulika kama nadharia (Nadharia hii ni lazima kuifanyia hesabu.

Kama ni nidharia basi zote mbili zifundishwe kila mmoja achague upande wake.
 
Mnajaza servers za JF kwa mambo ambayo mtu anaweza kuyapata google.

Na mnatumia nguvu nyingi kutangaza nchi za wenzenu wakati yenu hamuijui na wao hawana hata muda wa kusoma yenu. Smdh
 
Mfumo wa kila siku wa dunia unadhihirisha dunia ni flat, sababu ya pili sayansi ya NASA na Galileo inatambulika kama nadharia (Nadharia hii ni lazima kuifanyia hesabu.

Kama ni nidharia basi zote mbili zifundishwe kila mmoja achague upande wake.
Aisee,najua hii ni mada ndefu ila kwa kifupi labda utusaidie wewe ulithibitishaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnajaza servers za JF kwa mambo ambayo mtu anaweza kuyapata google.

Na mnatumia nguvu nyingi kutangaza nchi za wenzenu wakati yenu hamuijui na wao hawana hata muda wa kusoma yenu. Smdh
Mkuu samahani kama nimekukwaza.

Nia ya thread hizi ni watumiaji waliowengi wa KiSwahili waweze kunufaika, machapisho ndio yanapatikana Google lakini kwa lugha za mataifa mengine hasa Kiingereza, Kihispaniora, Kijerumani na Kifaransa.

Ni asilimia 7 tu ya waTanzania wanaoweza kuelewa Kiingereza hivyo hao ndio walengwa wakubwa.
 
Ziwa Nicaragua ni ziwa pekee lenye maji safi na tulivu (Fresh water lake) kuwa na papa ndani yake.


Shukran sana Mkuu sanaa ila papa anaishi ziwani pia ?!

Sent using My COVID-19
 
Aisee [emoji1] Wasichana/Mabinti/Warembo wanapatikana na Amerika ya Latin ndio nyumbani kwao. All in all kila sehemu duniani inao warembo [emoji85]
Kila sehem ina warembo ila wale walatino wale aseee [emoji4][emoji4][emoji4]

Sent using My COVID-19
 
Ndio maajabu ya Ziwa Nicaragua hayo, ndio Ziwa pekee (Soft Water Lake) kuwa na papa.
Aaah hapa nmekupata na hao papa wenyewe walizaliwa humo humo ama walipandikizwa tu ?!

Naje kuna namamba humo ndanimwe pia ama ?!

Sent using My COVID-19
 
Aisee,najua hii ni mada ndefu ila kwa kifupi labda utusaidie wewe ulithibitishaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Machweo na Mawio ya jua kutokuwa na ukanda mmoja. Mwezi kuwa wenye kuakisi mwanga. Majira (Kanda kadhaa kutokupokea majira ya kanda nyingine).

Mawingu (Firmament), Ardhi (Soil), Uwezo wa macho katika kuona jua linalopatikana K's of Kilometers 🙈 na mengineyo mengi.
 
Aaah hapa nmekupata na hao papa wenyewe walizaliwa humo humo ama walipandikizwa tu ?!

Naje kuna namamba humo ndanimwe pia ama ?!

Sent using My COVID-19
Yes Nicaragua wenyewe pamoja na UNESCO wanathibitisha hilo kuwa ni papa asilia.

Ndio hata mamba wanapatikana, nadhani sababu inaweza kuwa Ziwa Nicaragua kupakana na bahari ya Pacific.

Kwa fikra zangu nahisi kuna kuhama kwa viumbe hivi. 😃
 
Back
Top Bottom