isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
- #21
Karibu,Nashukuru sana.
Ahsante kwa muda wako.
Kwa msaada zaidi usisite kunatag kwenye masuala yahusuyo Jiografia, Mataifa, Burudani, Teknolojia na Digitali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu,Nashukuru sana.
Ahsante kwa muda wako.
Ok, asante mkuuUhusiano uliopo ni indirect! Chuo hiki wamiliki wake ni watu wenye yao asili ya Uhindini (India) na Arabuni hasa Oman.
Chuo hiki ndio chachu ya UNESCO kuitambua Sanzibar kama ulithi wa dunia kupitia jengo like la kale.
Shukran Boss Mungu Akupe Kila la kheri.....Kwa wale wenye uelewa na masuala ya teknolojia wataweza kutumia mtandao kuomba Balozi zilizopo Afrika ya Kusini, Morocco na Misri.
Kwa kutumia ushirika ubalozi wa Cuba, Colombia, Costa Rica na Brasil watakusaidia.
Asante mkuu kwa kuniombea yaliyokuwa mema, nami nakuombea mkuu.Shukran Boss Mungu Akupe Kilalakheri.....
Sent using My COVID-19
Sawa mkuu, nitazingatia.Safi sana kiongozi maana wengine ndio ulevi wetu usisahau kunitag
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, mkuu nitafanya hivyo.Safi Sana mkuu kwa jiografia .. zungumzia na nchi ya Paraguay na Nicaragua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika meli zote zinapita Panama Canal katika ghuba ya Panama na Mosquitos.Kuna documentary inaitwa mega structure hapa wanaonyesha mirada mikubwa ya ujenzi duniani.
Niliona mradi wa ujenzi wa Panama Canal, hapa walitengeneza mkondo bahari ili kupata shortcut ya kuingia na kutoka marekani kwa karibia meli zote ndani ya Pacific Ocean.
Technology iliyotumika kwenye ujenzi ni kubwa sana.
Hizo documentaries zipo YouTube pia kwa anaetaka kuzitazama.
Nimefuatilia naona US wanatumia 1 on 1 tactic. Tukupandishe kwanza then tunufaike au tunafaike then tukupandishe!Nchi zenye ushirika mkubwa na US zinakuaga zimechangamka kimaendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi, weka malengo na anza utekelezaji.Mm natamani siku moja nifike Afghanistani natamani sana...
121.
Safi, weka malengo na anza utekelezaji.
Hivi hata na suez canal nayo si ni man made ile ama ?!Hakika meli zote zinapita Panama Canal katika ghuba ya Panama na Mosquitos.
Panama Canal ilichongwa vyema na timu ya wahandisi kutoka jeshi la wanamaji la Marekani wakishirikiana na Panama.
Vizuri, nitajaribu kufanya virtual tour tuifahamu vizuri.Nata nitembee middle east yote nataka nijue kwann middle east wanateseka nacwakati wana utajiri wa mafuta wa kutupwa nchi nazotaka niende ni Syria,Badgad,iraq,iran,a Afghanistan yani Afghanistani natakani mno niebde nikatalii..
121.
Mungu akujaalie ufike mkuu nna imani kubwa sana kama utajaaliwa kufika huko kunakitu flani hv katika maisha yako utakiongezaNata nitembee middle east yote nataka nijue kwann middle east wanateseka nacwakati wana utajiri wa mafuta wa kutupwa nchi nazotaka niende ni Syria,Badgad,iraq,iran,a Afghanistan yani Afghanistani natakani mno niebde nikatalii..
121.
Ndiyo, Suez Canal ni man made ikiunganisha Mediterranean Sea to Indian Ocean.Hivi hata na suez canal nayo c ni man made ile ama ?!
Sent using My COVID-19