Jamhuri ya Watu wa Kenya yaendelea kuwa Taa ya Demokrasia kwa majirani zake ikiwemo Tanzania

Jamhuri ya Watu wa Kenya yaendelea kuwa Taa ya Demokrasia kwa majirani zake ikiwemo Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa mfano kwenye kampeni za Uchaguzi wa Tanzania wa 2020 , mabango ya barabarani yaliyoruhusiwa kubandikwa hata maeneo yasiyoruhusiwa , yalikuwa yale ya Mgombea Urais wa CCM tu.

Waliojaribu kubandika mabango ya Mgombea wa Chadema walikiona cha moto na zipo taarifa kwamba wako wengine wamepotea hadi leo hawajulikani walipo .

LAKINI KWA KENYA HALI NI TOFAUTI SANA , kila mgombea wa Urais ana haki sawa kabisa .

Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya

FB_IMG_1656239170862.jpg
 
Hv Kenya si ilishapataga Vita kwenye kipindi cha uchaguzi,

Demokrasia itasaidia nn , kumtoa mwanachi kwenye umaskini zaidi ya makelele tu

Russia na China hazina iyo demokrasia Ila kiuchumi ziko vizuri
Una uhakika na hayo ya Russia na China ?
 
Hv Kenya si ilishapataga Vita kwenye kipindi cha uchaguzi,

Demokrasia itasaidia nn , kumtoa mwanachi kwenye umaskini zaidi ya makelele tu

Russia na China hazina iyo demokrasia Ila kiuchumi ziko vizuri

Ni nchi ngapi zenye uchumi mzuri zenye siasa za aina ya Russia na China, ukilinganisha na zenye demokrasia makini?
 
Kwa mfano kwenye kampeni za Uchaguzi wa Tanzania wa 2020 , mabango ya barabarani yaliyoruhusiwa kubandikwa hata maeneo yasiyoruhusiwa , yalikuwa yale ya Mgombea Urais wa ccm tu...
Aliyeharibu Uchaguzi wa 2020 ni Magufuli na tayari alikwishapata anachostahili. Mungu hakumuacha na amani kwa siku zote 114 kuanzia Oktoba 25, 2020 hadi Machi 17, 2021.

Siku zote alikuwa mtu wa kujikuna ngozi, kuishi kwenye mashine ya kupumulia, kutembea na catheter mkononi, kuropoka ovyo na kutukana. Na mwishowe maiti yake ikatembezwa barabarani mikoa 5 huku ikinuka
 
Back
Top Bottom