avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Uchaguzi hii mtajuta. Ngoja mmchague ruto muone kilele za madharau au makamu wa raisi awe martha karua muone sura yake halisi.Kwa mfano kwenye kampeni za Uchaguzi wa Tanzania wa 2020 , mabango ya barabarani yaliyoruhusiwa kubandikwa hata maeneo yasiyoruhusiwa , yalikuwa yale ya Mgombea Urais wa CCM tu.
Waliojaribu kubandika mabango ya Mgombea wa Chadema walikiona cha moto na zipo taarifa kwamba wako wengine wamepotea hadi leo hawajulikani walipo .
LAKINI KWA KENYA HALI NI TOFAUTI SANA , kila mgombea wa Urais ana haki sawa kabisa .
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya
View attachment 2277006