Jamhuri ya Watu wa Kenya yaendelea kuwa Taa ya Demokrasia kwa majirani zake ikiwemo Tanzania

Jamhuri ya Watu wa Kenya yaendelea kuwa Taa ya Demokrasia kwa majirani zake ikiwemo Tanzania

Kwa mfano kwenye kampeni za Uchaguzi wa Tanzania wa 2020 , mabango ya barabarani yaliyoruhusiwa kubandikwa hata maeneo yasiyoruhusiwa , yalikuwa yale ya Mgombea Urais wa CCM tu.

Waliojaribu kubandika mabango ya Mgombea wa Chadema walikiona cha moto na zipo taarifa kwamba wako wengine wamepotea hadi leo hawajulikani walipo .

LAKINI KWA KENYA HALI NI TOFAUTI SANA , kila mgombea wa Urais ana haki sawa kabisa .

Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya

View attachment 2277006
Kwahiyo Demokrasia kwenu maana yake inaishia katika uchaguzi tu, vipi kuhusu kabila tatu pekee kuwa na haki ya kuongoza nchi?, vipi kuhusu 75% ya ajira serikalini kuchukuliwa na kabilaba mbili pekee, vipi kuhusu ardhi kumilikiwa na familia za wanasiasa?. UN inasema Tanzania imeipita Kenya ktk Demokrasia, wewe na UN nani zaidi?
Tony254

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Akili za matopeni ndani ndani.

Hao uliowataja wananchi wake wana furaha gani?

Furaha haitokani na vitu ulivyo navyo bali uhuru wa kujiamulia.
Uhuru gani wa kujiamulia upo Kenya?, Kama ubaguzi wa ajira serikalini unawatenga wakenya walio wengi?, Mbona tume iliyoundwa kuchunguza dhuluma katika kumiliki ardhi ilishauri kurudisha ardhi yote walijimilikisha wanasiasa kurudishwa serikalini ili igawiwe kwa wananchi lakini imeshindikana, huo uhuru wa kujiamulia ni upi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Aliyeharibu Uchaguzi wa 2020 ni Magufuli na tayari alikwishapata anachostahili. Mungu hakumuacha na amani kwa siku zote 114 kuanzia Oktoba 25, 2020 hadi Machi 17, 2021.

Siku zote alikuwa mtu wa kujikuna ngozi, kuishi kwenye mashine ya kupumulia, kutembea na catheter mkononi, kuropoka ovyo na kutukana. Na mwishowe maiti yake ikatembezwa barabarani mikoa 5 huku ikinuka
[emoji817] magufooli alikua shetani aki ya nani
 
Kwahiyo kusikokuwa na demokrasia kila mwananchi ananufaika? Wakenya wana furaha kuliko waRUSSIA. Hapa usichanganye maendeleo na furaha.
Je unaweza kuwa Jobless , alafu ukawa na furaha?
Russia ajira nje nje kwa wazaliwa
 
Ni nchi ngapi zenye uchumi mzuri zenye siasa za aina ya Russia na China, ukilinganisha na zenye demokrasia makini?

Gadaffi alikuwa Dikteta Ila nchi ikawa Ina maendeleo.
Vyama vya upinzani wanaotaka demokrasia kwa mgongo mabeberu walipoweza kuipata hio demokrasia hakuna maendeleo tena huko Libya
 
Kwa mfano kwenye kampeni za Uchaguzi wa Tanzania wa 2020 , mabango ya barabarani yaliyoruhusiwa kubandikwa hata maeneo yasiyoruhusiwa , yalikuwa yale ya Mgombea Urais wa CCM tu.

Waliojaribu kubandika mabango ya Mgombea wa Chadema walikiona cha moto na zipo taarifa kwamba wako wengine wamepotea hadi leo hawajulikani walipo .

LAKINI KWA KENYA HALI NI TOFAUTI SANA , kila mgombea wa Urais ana haki sawa kabisa .

Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya

View attachment 2277006
Siyo kweli hata kenya kuna kaupendeleo kwa wagombea hawa wawili tu. Hata vijiwe vya kubashiri mshindi (kama akina redet) wanawataja hawa wawili tu, wagombea wengine kama profesa bangi (wajackoyah) hawatajwi.
 
wakenya waliaamka na wakashuhudia umwagaji wa damu kweny kutafuta haki.

Ipo Siku watanzania watachokaaa ,na ndo itakuwa mwisho wa CCM



Wewe Acha ujinga, ilikuwa ukabila sio kutafta hdaki.
 
Gadaffi alikuwa Dikteta Ila nchi ikawa Ina maendeleo.
Vyama vya upinzani wanaotaka demokrasia kwa mgongo mabeberu walipoweza kuipata hio demokrasia hakuna maendeleo tena huko Libya

Ni hivi kama udictator/kukosa demokrasia kunaleta maendeleo, basi Afrika ilipaswa kuwa bara lenye maendeleo makubwa zaidi, kwani huku udictator ndio umetalaki. Labda uweke kwa ushahidi kuwa nchi ikiongozwa kidictator automatically inakuwa na maendeleo. Msitake kuhalalisha siasa chafu kwa kisingizio cha maendeleo. Ni maendeleo gani yako hapa, wakati bado watu hata elimu ya kunawa mikono wakitoka chooni ni tatizo?
 
Wakenya wako mbali sana watanzania tutasubiri sana when it comes to democracy. Ukiangalia mwenendo wa kampeni na siasa zao Kwa sasa ni class ya juu....watu wako huru kueleza hisia zao na kuchagua wanae mtaka. Kwa Tanzania uko huru kuongea lakini ukimaliza kuongea utajuta Kwa Nini uliongea. Bravo Kenya
 
Kwa mfano kwenye kampeni za Uchaguzi wa Tanzania wa 2020 , mabango ya barabarani yaliyoruhusiwa kubandikwa hata maeneo yasiyoruhusiwa , yalikuwa yale ya Mgombea Urais wa CCM tu.

Waliojaribu kubandika mabango ya Mgombea wa Chadema walikiona cha moto na zipo taarifa kwamba wako wengine wamepotea hadi leo hawajulikani walipo .

LAKINI KWA KENYA HALI NI TOFAUTI SANA , kila mgombea wa Urais ana haki sawa kabisa .

Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya

View attachment 2277006
Haki ipi wewe kila matokeo ya kitoka utasikia vilio kura zimeibiwa, wewe una sahau haraka uchaguzi uliopita huyu Odinda aliapishwa kuwa rais wa watu akijitangazia ushindi, huku Kenyatta akiwa rais wa dola akitangazwa na tume ya uchaguzi , acha uvivu wewe
 
Hv Kenya si ilishapataga Vita kwenye kipindi cha uchaguzi,

Demokrasia itasaidia nn , kumtoa mwanachi kwenye umaskini zaidi ya makelele tu

Russia na China hazina iyo demokrasia Ila kiuchumi ziko vizuri
Acheni generalization nchi zenye Demokrasia zinazidi kiuchumi nchi Zinazo perform vibaya kwenye Demokrasia.

Faida ya Demokrasia ni checks and balances.... Yaani uwajibikaji na uhuru wa vyombo Ili vifanye kazi Yao bila influence ya mtu mmoja.

Unaweza wasifia Russia au China ila akitokea kiongozi wa hovyo ndio nchi inapukutika sababu hakutakua na namna ya kumlimit!! Ona yanayowakuta North Korea!
 
Tanzania kuifikia demokrasia ya Kenya bado Sana. Sisi mpaka Sasa hivi ni kosa la jinai kufanya mikutano ya siasa. Imepigwa marufuku huu mwaka wa saba. Unategemea

Kwa mfano kwenye kampeni za Uchaguzi wa Tanzania wa 2020 , mabango ya barabarani yaliyoruhusiwa kubandikwa hata maeneo yasiyoruhusiwa , yalikuwa yale ya Mgombea Urais wa CCM tu.

Waliojaribu kubandika mabango ya Mgombea wa Chadema walikiona cha moto na zipo taarifa kwamba wako wengine wamepotea hadi leo hawajulikani walipo .

LAKINI KWA KENYA HALI NI TOFAUTI SANA , kila mgombea wa Urais ana haki sawa kabisa .

Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya

View attachment 2277006
 
Hv Kenya si ilishapataga Vita kwenye kipindi cha uchaguzi,

Demokrasia itasaidia nn , kumtoa mwanachi kwenye umaskini zaidi ya makelele tu

Russia na China hazina iyo demokrasia Ila kiuchumi ziko vizuri

Acha kukaririshwa vibaya na CCM ya Tozo na mikopo. Tanzania haijawahi kupigana Vita vya Uganda?. Na Vita ile ikatuletea umaskini?.

Hivi kwa hiyo miaka Saba waliopiga marufuku mikutano ya siasa wamesaidia kitu gani, Hali ya Maisha ni ngumu kuliko Jana.
 
wakenya waliaamka na wakashuhudia umwagaji wa damu kweny kutafuta haki.

Ipo Siku watanzania watachokaaa ,na ndo itakuwa mwisho wa CCM

Yani CCM inakera basi tu. Na hivi Maisha magumu huku uraiani halafu wabunge wamejaa wa CCM kazi kujikomba kwa serikali na sio kuisimamia serikali.
 
Kenyan wanafuraha kuliko Russian?

Mwananchi ali Demokrasia.
Demokrasia inawanufaisha wanasiasa wachache tu

Umefika urusi? Tuulize sisi. Urusi ni jela isiyokuwa na mageti. Kila kitu ni censored.
 
Kenyan wanafuraha kuliko Russian?

Mwananchi ali Demokrasia.
Demokrasia inawanufaisha wanasiasa wachache tu

Tanzania ilijitoa kwenye demokrasia kwa kuvunja mikutano ya siasa na kuiba uchaguzi. Ni kipi tumekipata Cha maana zaidi ya Tozo na ugumu wa maisha.?.
 
Back
Top Bottom