Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa
Tunaelekea mwisho wa mwaka ili tuingie mwaka mpya
Mimi hapa sijaja kupiga porojo lengo langu ni moja tu nauomba uongoz wa jf ubadilishe jina la jf kutoka juwa jf na kuwa tf
Yaan kutoka JAMII FORUMS IWE TANZANIA FORUM
Je ushawah kujiuliza kwanini watu weng hawaijui jf? ni kwasababu ya jina hili jina ni baya sana na halina hadh na halijaa kaa kimtandao unaotumiwa na washusha nondo za uhakika
Jamii forum unaokena kama mtandao wa wahun kulingan na jina limekaa kihun hun sana
Ni vigumu sana kwa mtu wa nje kuingia jamii forum kwa sababu ya jina
Lakin ni rahis sana kwa mtu wa nje kufuatilia TANZANIA FORUM, hata kama ni mtu anapita pita mtandaon ni rahis sana kufutilia jina linaloitwa Tanzania forum kuliko jamii forum
Uchawi ni akili yako mwenyewe hapa tumejiroga wenyewe ndo maana jamii forum haijulikan
Pitaa kitaan ulizia kama kuna watu wanatumia jamii forum? Hautawapata kwa sababu jina limekaa kisela sela sana yaan jina halija kaa kimtandao
Ni hayo tu jamii forum ibadilishwe jina ili uwe mtandao wa nchi nzima na watu wote waujue. Mtandao wetu unazidiwa umarufu na blog ya malunde na milard ayo
LONDON BABY
Tunaelekea mwisho wa mwaka ili tuingie mwaka mpya
Mimi hapa sijaja kupiga porojo lengo langu ni moja tu nauomba uongoz wa jf ubadilishe jina la jf kutoka juwa jf na kuwa tf
Yaan kutoka JAMII FORUMS IWE TANZANIA FORUM
Je ushawah kujiuliza kwanini watu weng hawaijui jf? ni kwasababu ya jina hili jina ni baya sana na halina hadh na halijaa kaa kimtandao unaotumiwa na washusha nondo za uhakika
Jamii forum unaokena kama mtandao wa wahun kulingan na jina limekaa kihun hun sana
Ni vigumu sana kwa mtu wa nje kuingia jamii forum kwa sababu ya jina
Lakin ni rahis sana kwa mtu wa nje kufuatilia TANZANIA FORUM, hata kama ni mtu anapita pita mtandaon ni rahis sana kufutilia jina linaloitwa Tanzania forum kuliko jamii forum
Uchawi ni akili yako mwenyewe hapa tumejiroga wenyewe ndo maana jamii forum haijulikan
Pitaa kitaan ulizia kama kuna watu wanatumia jamii forum? Hautawapata kwa sababu jina limekaa kisela sela sana yaan jina halija kaa kimtandao
Ni hayo tu jamii forum ibadilishwe jina ili uwe mtandao wa nchi nzima na watu wote waujue. Mtandao wetu unazidiwa umarufu na blog ya malunde na milard ayo
LONDON BABY