Jamii hii hujifanya wanavijihasira na msimamo ila ni dhaifu legelege na wanamaamuzi yao ya kukupuka ila pia ndio magwiji wa kutafuta kuonewa huruma

Jamii hii hujifanya wanavijihasira na msimamo ila ni dhaifu legelege na wanamaamuzi yao ya kukupuka ila pia ndio magwiji wa kutafuta kuonewa huruma

Andie

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
712
Reaction score
1,642
Samahani kusema ila truth be said hawa jamaa hawana akili hata punje, imagine watu wanategemea maji, umeme, mafuta, chakula kutoka Israel na wako kwenye mazungumzo ya amani ila yanakurupuka na kurusha vijibaruti vyao dhidi ya hao hao Israel.

And yes "vijibaruti" hivi ukilinganisha makombora ya Israel ambayo ni some of the best in the world dhidi ya hawa wanamgambo wasio hata na viatu na usafiri wao ni Toyota pick up si ni vijibaruti ?!

Sasa wameanza kuonjeshwa dawa tayari wameanza kulalama kila kona, unajiuliza wakati wanarusha vibarati vyao walikua wanawaza nini ?! Alafu walivyo wanafiki hakuna ndugu zao waliojitokeza kuwasaidia utawasikia kinafiki ooh "muslim brotherhood" wote kimyaaa na wengine wamewafungia kabisa mipaka hawataka wakimbizi. Ubrotherhood gani wa bipumbavu namna hiyo. Wakimbizi wao wanakimbilia kwa "makafiri"
 
sio hawana umoja tu pia hawana akili hata punje, imagine watu wanategemea maji, umeme, mafuta, chakula kutoka Israel na wako kwenye mazungumzo ya amani ila yanakurupuka na kurusha vijibaruti vyao dhidi ya hao hao Israel.

And yes "vijibaruti" hivi ukilinganisha makombora ya Israel dhidi ya hawa wanamgambo wasio hata na viatu na usafiri wao ni Toyota pick up si ni vijibaruti.

Sasa wameanza kuonjeshwa dawa tayari wameanza kulalama kila kona, unajiuliza wakati wanarusha vibaratu vyao walikua wanawaza nini ?! Alafu walivyo wanafiki hakuna ndugu zao waliojitokeza kuwasaidia wote kimyaaa na wengine wamewafungia kabisa mipaka hawataka wakimbizi.
Acha urofa hao wavamizi walikuja kupora Ardhi ya Wapalestina
 
Wale jamaa ni ndugu kabisa.
Hivyo damu ni nzito.
Migogoro yao ndo imevunja rekod japo hawawezi iandika kwenye kitabu Cha GINNES.
Ila kiukweli wale jamaa ndo daraja Kati Wazungu na Waarabu.
KARNE na KARNE
 
Wanatokea mkoa gani hapa Tanzania kwani??
 
Hivi, muAfrica,unaeshabikia Israel au Palestina,inakuwaje wengine wanakula pilipili unawashwa wewe!
Yaani,ni wajuvi wa mambo,kiasi kwamba mna suruhisho la migogoro ya watu? Mara ardhi ya mitume,sijui vitu gani,huu upumbavu mliojazwa,mnaumia vichwa,ya kwenu mmeyamaliza mpaka muingilie ya wengine?
 
Hivi wapalestina ndio wafilisti? Nataka kuunganisha dot
 
Israel walikuwepo wakatawanyika na kisha kurudi kwao, je wakoloni waliwahi kuishi Africa kabla ya Kinjekitile
Inje ya biblia huo ushahifi unaupata wapu. Mythology inafanywa kuwa fact.
Mtanzania eti anaijua zaidi historia ya Islael kuluko mwarabu!!!
 
Pale middle east hapatakuwa na amani mpaka Kristo Aje.
 
Back
Top Bottom