Jamii ipo hatarini, muziki wetu unatumaliza

Jamii ipo hatarini, muziki wetu unatumaliza

Hawa ndo wcb kwa sasa
Screenshot_20190304-053838.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wasanii wanaoimba hivyo ni watoto wa dawa (katka sauti ya Ģwajima)
 
Binafsi mimi huwa sisikilizi kabisa ma miziki ya kipuuzi kama haya.. hivi visanii havijaenda shule hata ya form two.. backgrounds zao wengi ni za kichokoraa.. unategemea wawe na ujumbe gani kwa jamii iliyonyooka? Haya ma uchafu yao wanalenga dunia yao ya kichokoraa.. si busara mtu timamu asiye chokoraa kukaa karibu na huu uchafu..

Ila nahisi kama watanzania wengi wana attitude za kichokoraa na ndio maana wasanii machokoraa wanapata promo
 
Tatizo wakina Nikki Mbishi wameshindwa kutengeneza hip hop itakayowafanya na watu wengine wawasikilize mfano wakina Mobb Deep Give it Up walifanikiwa, M.O.P Ante Up, Wu Tang Clan, DMX, Eminem ila bongo hip hop wanajitoa ufahamu
Hip hop asili yake ni mziki wa kigumu. Support zipo kwa raia sema mnabana. Kwa mtazamo wako ulipenda waimbe hiphop commercial au!
 
Hip hop asili yake ni mziki wa kigumu. Support zipo kwa raia sema mnabana. Kwa mtazamo wako ulipenda waimbe hiphop commercial au!
Mkuu mfano Got Urself ya Nas ile ni Hip Hop Commercial? Mimi napenda hip hop inayosikilizika au za wakina Jay Z, NAS, sio ngumu pure
 
Ukitazama Muziki wetu unapotupeleka kama jamii kimsingi ni kubaya sana.

Wasanii kama ni kutumika na ibilisi kuhalalisha ushoga basi ni kipindi hiki.

Tumeelekeza vidole vyetu kwa mashoga mitandaoni na mitaani lakini kwakweli kuna kundi kubwa LA watoto wadogo litatengenezwa kama mashoga kupitia hii miziki yetu in next fifteen years kama hii Hali isipobadilika.

Hipo hivi
Kipindi bongo fleva inaanza ilileta athari kubwa ya vijana kujitumbukiza kwenye matumizi ya bangi kutokana na pengine kusifiwa na wasanii kwenye nyimbo zao.

Sasa hivi
Kinachokuwa portrayed na wasaanii ni maumbile makubwa ya nyuma ya kike hata ya kiume kwa kusifia na hata kuthubutu kuyatungia mistari ya kudhalilisha Dada zetu.Imagine msanii anataka msambwanda kwa buku jero ..hii INA maana gani?

Nina wasiwasi Mkubwa kuwa hawa wasanii wanayafanya haya wanayoyaimba kabisa.

Basi watuachie watoto wetu wao wayafanye tu.

Maneno kuzibua mtaro yamekuwa kawaida sana kwenye nyimbo.Hakika hawa wasanii nimashetani kabisa

No kweli miwili ya hawa bongo fleva ni matusi tupu. Lakini siyo muziki tu, ziko filamu za porno zinaoneshwa huko mitaani. CD na flash za porno zinauzwa waziwazi mitaani. Tumekwisha!
 
Wacha waangamie tu maana video za hiphop si hamzi support mnataka kujenga vizazi vya wabana hips na kuvaa minyonyo kama ma Shawty! After 20 years nchi itakuwa na mashoga wengi mno kuliko tunavyofikiria.

Nyimbo za Nikki Mbishi, show zikipangwa hamuendi album hamnunui. Ila Tetema mnajazana ukumbini mpaka tiketi zinaisha eneo linakuwa out of capacity. Badilikeni nyie kwa kuzikataa nyimbo za hovyo.
Sawasawa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hampendi ngumu basi sikilizeni hata trap, kuna watu kama kina Moni Centrizone, OMG, Jay Mo, Gosby mbona nyimbo zipo kali tu. Ila kwakuwa masikio yenu yapo open kusikiliza mapenzi tu mda wote basi kumekuwa hamna balance. Media zinasupport mziki wa mapenzi zaidi na ndio wengi mnapenda kusikiliza basi msilalamike matusi yamezidi maana mahadhi ya hiphop hamyataki.
 
Shetani ameweka kambi kwenye entertainment industry
sio Music wala Movies wala majarida, mpira nk hakuna penye nafuu
 
Tatizo wakina Nikki Mbishi wameshindwa kutengeneza hip hop itakayowafanya na watu wengine wawasikilize mfano wakina Mobb Deep Give it Up walifanikiwa, M.O.P Ante Up, Wu Tang Clan, DMX, Eminem ila bongo hip hop wanajitoa ufahamu
unasema vp wameshindwa kutengeneza hit wakt za matusi ndo mnaziona hit..?
so na wenywe wanze kuimba matusi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilikuwa sizingatii maneno na lugha za nyimbo hizo siku nyingi ila juzi nikazingatia kidogo nyimbo kama mbili sijui hata walioimba ni kaona sio mapenzi bali ni PORNO.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaaaani Ni pornal ya kusikilza inayojenga video kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unasema vp wameshindwa kutengeneza hit wakt za matusi ndo mnaziona hit..?
so na wenywe wanze kuimba matusi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijasema wameshindwa tengebeza hit bali nimesema wameshindwa kuendana na kazi ya kutoa nyimbo nzuri zenye maudhui kama nilizozitaja kwa wana hip hop wa USA..Mobb Deep, Nas, Jay Z, M.O.P etc..soma vizuri utanielewa...
 
Kama hampendi ngumu basi sikilizeni hata trap, kuna watu kama kina Moni Centrizone, OMG, Jay Mo, Gosby mbona nyimbo zipo kali tu. Ila kwakuwa masikio yenu yapo open kusikiliza mapenzi tu mda wote basi kumekuwa hamna balance. Media zinasupport mziki wa mapenzi zaidi na ndio wengi mnapenda kusikiliza basi msilalamike matusi yamezidi maana mahadhi ya hiphop hamyataki.
Najishangaa siku hizi nimeshindwa kabisa kujua wasafi wanachoimba, mpaka nimejikuta automatically naanza kumshabikia nyanshisiki na kaligraph sijui nimepatia majina yao lakini naamini unawajua hawa wakenya

Hali imeanza hivi mdogo mdogo mashabiki wa tz wote tutahama na ndipo anguko kuu la bongo fleva litapowadia wasipobadilika basi kuinuka tena na heshima ya muziki iliyotengenezwa na marehemu Ruge(R I P) itapotea na itakuwa ni kazi ya kihuni kuliko ilivyokuwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom