Jamii mbili za viumbe wenye akili ulimwenguni

Jamii mbili za viumbe wenye akili ulimwenguni

2 Timotheo 4:2-4
[2]lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
[3]Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti;
[4]nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.
 
JAMII 2 ZA VIUMBE WENYE AKILI ULIMWENGUNI-Wazazi wa kale wa ulimwengu mzima.
Mungu ni Roho. Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Akaumba mazingira yote yanayohitajika ili kuhifadhi uhai. Akaumba viumbe wote wanaohitajika ili kuleta uwiano wa kimazingira. Baada ya hapo, Mungu aliumba viumbe wenye akili wa aina mbili tofauti. Viumbe hao wenye akili wa aina mbili walikuwa ni HUMANOIDS, yaani viumbe wenye akili wenye umbo la binadamu, na aina ya pili ni REPTOIDS, yaani viumbe wenye akili wenye umbo la mijusi. Hao ndio Wazazi wa kale ulimwenguni pote . Kuumbwa kwa viumbe hai wenye akili ktk maumbo mawili tofauti ni kufuatia sheria inayotawala ulimwengu ya jozi (principle of pair). Kanuni hii huleta uwiano au Ukamilifu kwa kuweka vitu viwili kinyume. Ni kama ambavyo kuna kushoto na kulia, mashariki na magharibi, kusini na Kaskazini, nyuma na mbele, joto na baridi, nk.

Hizi jamii mbili za viumbe wenye akili walizidi kuenea ulimwenguni baada ya ujuzi wao kuongezeka na kuvumbua sayari mpya zenye kubeba uhai na wengine wao kuhamia katika sayari hizo. Sayari zingine zilionesha kuwa na tofauti ndogo ndogo za hali ya hewa, kama vile joto kuongezeka au baridi kuwa kali au kupungua kidogo. Hali hii ilisababisha viumbe hawa wa kale kuvumbua ujuzi wa cloning, ambao ni uwezo wa kubadili baadhi ya mifumo ya utendaji nje au ndani ya kiumbe hai ili kiweze kuwiana vizuri zaidi na mazingira mapya. Hali hii ya kurekebisha Jamii zao za Asili katika mifumo yenye uwiano na mazingira ya sayari mpya na kisha kuuhamishia uhai huo huko inajulikana kama Life seeding, yaani kupanda uhai huo huo ktk sayari mpya. Matokeo ya ujuzi huu ni kusambaa na kuenea kwa uhai ulimwenguni pote. Jamii hizo mbili zilisambaa ulimwenguni pote kwa mtindo huo,huku wakisambaa pia na uhai mwingine wote uliokuwamo katika sayari zao za awali. Kwa hiyo ulimwengu mzima ukajazwa na jamii hizo za aina mbili. Jamii ya Reptoids wakawa wengi kama vile, Ciakarians, Alpha draconians, Sirians,Sirius, Anunaki, Zeta Reticulians nk. Jamii za Humanoids nazo zikiwa ni kama, Andromedans, Antarians, Lyrans, Pleiades, Alpha Centaurians, Sagittarius, Vegans, Cassiopians, Cygnus Alphans Arcturians , na Terrans yaani binadamu . Ni ndani ya mfululizo huu alimozaliwa binadamu.
Hawa wenye umbo la mijusi wamepotelea wapi??
 
wakuu musibishane sana haya anayoyaongelea mimi nimeona kwenye movies nyingi za kizungu ni kama catoons vile zipo movies nyingi zinaongelea haya ila uhalisia hakuna kitu kama hicho anachosema ni kama kufurahisha barza tu
 
wakuu musibishane sana haya anayoyaongelea mimi nimeona kwenye movies nyingi za kizungu ni kama catoons vile zipo movies nyingi zinaongelea haya ila uhalisia hakuna kitu kama hicho anachosema ni kama kufurahisha barza tu
mkuu ulishawahi kuona movie imeigiza kitu kisichokuwepo? Jua kama waliigiza ina maana kipo kwenye jamii, sasa mbona mwishoni unasema kua hamna kitu kama hicho?
 
Kuna contradiction ya sayansi, dini na imani za "aliens", for those reasons nimeshindwa kupata pts za kuchangia...
 
mkuu ulishawahi kuona movie imeigiza kitu kisichokuwepo? Jua kama waliigiza ina maana kipo kwenye jamii, sasa mbona mwishoni unasema kua hamna kitu kama hicho?
Ni binadamu gani alikuwepo zamani akaona Dinosaur au Dragons?? Lakin mbona leo wanaigiza kuhusu hao wanyama na milio yao??

Mimi naona sometime ni universal agreement tu kuwa kiumbe fulani tukipe shape fulani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JAMII 2 ZA VIUMBE WENYE AKILI ULIMWENGUNI-Wazazi wa kale wa ulimwengu mzima.
Mungu ni Roho. Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Akaumba mazingira yote yanayohitajika ili kuhifadhi uhai. Akaumba viumbe wote wanaohitajika ili kuleta uwiano wa kimazingira. Baada ya hapo, Mungu aliumba viumbe wenye akili wa aina mbili tofauti. Viumbe hao wenye akili wa aina mbili walikuwa ni HUMANOIDS, yaani viumbe wenye akili wenye umbo la binadamu, na aina ya pili ni REPTOIDS, yaani viumbe wenye akili wenye umbo la mijusi. Hao ndio Wazazi wa kale ulimwenguni pote . Kuumbwa kwa viumbe hai wenye akili ktk maumbo mawili tofauti ni kufuatia sheria inayotawala ulimwengu ya jozi (principle of pair). Kanuni hii huleta uwiano au Ukamilifu kwa kuweka vitu viwili kinyume. Ni kama ambavyo kuna kushoto na kulia, mashariki na magharibi, kusini na Kaskazini, nyuma na mbele, joto na baridi, nk.

Hizi jamii mbili za viumbe wenye akili walizidi kuenea ulimwenguni baada ya ujuzi wao kuongezeka na kuvumbua sayari mpya zenye kubeba uhai na wengine wao kuhamia katika sayari hizo. Sayari zingine zilionesha kuwa na tofauti ndogo ndogo za hali ya hewa, kama vile joto kuongezeka au baridi kuwa kali au kupungua kidogo. Hali hii ilisababisha viumbe hawa wa kale kuvumbua ujuzi wa cloning, ambao ni uwezo wa kubadili baadhi ya mifumo ya utendaji nje au ndani ya kiumbe hai ili kiweze kuwiana vizuri zaidi na mazingira mapya. Hali hii ya kurekebisha Jamii zao za Asili katika mifumo yenye uwiano na mazingira ya sayari mpya na kisha kuuhamishia uhai huo huko inajulikana kama Life seeding, yaani kupanda uhai huo huo ktk sayari mpya. Matokeo ya ujuzi huu ni kusambaa na kuenea kwa uhai ulimwenguni pote. Jamii hizo mbili zilisambaa ulimwenguni pote kwa mtindo huo,huku wakisambaa pia na uhai mwingine wote uliokuwamo katika sayari zao za awali. Kwa hiyo ulimwengu mzima ukajazwa na jamii hizo za aina mbili. Jamii ya Reptoids wakawa wengi kama vile, Ciakarians, Alpha draconians, Sirians,Sirius, Anunaki, Zeta Reticulians nk. Jamii za Humanoids nazo zikiwa ni kama, Andromedans, Antarians, Lyrans, Pleiades, Alpha Centaurians, Sagittarius, Vegans, Cassiopians, Cygnus Alphans Arcturians , na Terrans yaani binadamu . Ni ndani ya mfululizo huu alimozaliwa binadamu.
Kuhuhuii
 
JAMII 2 ZA VIUMBE WENYE AKILI ULIMWENGUNI-Wazazi wa kale wa ulimwengu mzima.
Mungu ni Roho. Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Akaumba mazingira yote yanayohitajika ili kuhifadhi uhai. Akaumba viumbe wote wanaohitajika ili kuleta uwiano wa kimazingira. Baada ya hapo, Mungu aliumba viumbe wenye akili wa aina mbili tofauti. Viumbe hao wenye akili wa aina mbili walikuwa ni HUMANOIDS, yaani viumbe wenye akili wenye umbo la binadamu, na aina ya pili ni REPTOIDS, yaani viumbe wenye akili wenye umbo la mijusi. Hao ndio Wazazi wa kale ulimwenguni pote . Kuumbwa kwa viumbe hai wenye akili ktk maumbo mawili tofauti ni kufuatia sheria inayotawala ulimwengu ya jozi (principle of pair). Kanuni hii huleta uwiano au Ukamilifu kwa kuweka vitu viwili kinyume. Ni kama ambavyo kuna kushoto na kulia, mashariki na magharibi, kusini na Kaskazini, nyuma na mbele, joto na baridi, nk.

Hizi jamii mbili za viumbe wenye akili walizidi kuenea ulimwenguni baada ya ujuzi wao kuongezeka na kuvumbua sayari mpya zenye kubeba uhai na wengine wao kuhamia katika sayari hizo. Sayari zingine zilionesha kuwa na tofauti ndogo ndogo za hali ya hewa, kama vile joto kuongezeka au baridi kuwa kali au kupungua kidogo. Hali hii ilisababisha viumbe hawa wa kale kuvumbua ujuzi wa cloning, ambao ni uwezo wa kubadili baadhi ya mifumo ya utendaji nje au ndani ya kiumbe hai ili kiweze kuwiana vizuri zaidi na mazingira mapya. Hali hii ya kurekebisha Jamii zao za Asili katika mifumo yenye uwiano na mazingira ya sayari mpya na kisha kuuhamishia uhai huo huko inajulikana kama Life seeding, yaani kupanda uhai huo huo ktk sayari mpya. Matokeo ya ujuzi huu ni kusambaa na kuenea kwa uhai ulimwenguni pote. Jamii hizo mbili zilisambaa ulimwenguni pote kwa mtindo huo,huku wakisambaa pia na uhai mwingine wote uliokuwamo katika sayari zao za awali. Kwa hiyo ulimwengu mzima ukajazwa na jamii hizo za aina mbili. Jamii ya Reptoids wakawa wengi kama vile, Ciakarians, Alpha draconians, Sirians,Sirius, Anunaki, Zeta Reticulians nk. Jamii za Humanoids nazo zikiwa ni kama, Andromedans, Antarians, Lyrans, Pleiades, Alpha Centaurians, Sagittarius, Vegans, Cassiopians, Cygnus Alphans Arcturians , na Terrans yaani binadamu . Ni ndani ya mfululizo huu alimozaliwa binadamu.
Mi nashindwa kuelewa jambo moja! Je tunavyoomba huwa dua zetu zinapokelewa na nan?
Mfano mm miujiza ming huwa napokea endapo nitaomba kwa jna la yesu.
Mf nilijifungua mtoto ambaye nliambiwa ameshafariki, niliomba kwa sauti na kutoa nadhr kwa yesu kuwa akimpa uhai ntamlea ktk mising ya kumwabudu yey...hapo ghafla mtoto alianza kukohoa na akapata uhai,
Ni mengi tu yasiyowezekana kibinadamu yanawezekana kwang kupitia maombi
COZ NINA IMANI KALI SANA TOKA KUZALIWA KWANGU SIJAWAHI KANYAGA KWA MGANGA.
sasa kama hakuna mungu inakuaje dua zinapokelewa na kujibiwa ni nani yupo behind that?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom