Jamii mbili za viumbe wenye akili ulimwenguni

Jamii mbili za viumbe wenye akili ulimwenguni

Kwaiyo zombies na Vampires wapo kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Vampire wapo zombies sijajua,hata tz vampire wapo sema wanatouti ya utamkwaji wake kama ulishawai skia MTU Fulani huwa afi anaanzisha uzao hapa watoto wakikua akizeeka kidg anajivua gamba na kuwa kijana anakimbia mji anaenda kuanzisha makao sehemu nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nakupongeza kwa mada fikirishi yenye lengo la kuziba ombwe la maswali mengi yanayohusu asili ya viumbe waitwao binadamu.Kitu chochote kipya kwa mara ya kwanza watu huanza kwa kubeza lakini kama watachukua muda kujifunza basi ujinga unaweza kuwatoka.
Katika moja ya mahojiano yake Stephen hawking aliyoyafanya kipindi cha uhai wake ali predict about our future.Alisema miongoni mwa vitu vitakavyohatarisha maisha hapo badae ni Nucler weapons,populations,invention of artificial intelligence (ai).Tena alikazia kabisa kwa kusema ugunduzi wa mashine ni hatari kwa maisha ya binadamu kwani hizo mashine badae zitaweza kujiendesha na kuzalisha wenzao hivyo kumtawala binadamu.
Najaribu kuunganisha dots katika thread yako kuna kitu nakipata


iPhone 7plus
 
Mi nashindwa kuelewa jambo moja! Je tunavyoomba huwa dua zetu zinapokelewa na nan?
Mfano mm miujiza ming huwa napokea endapo nitaomba kwa jna la yesu.
Mf nilijifungua mtoto ambaye nliambiwa ameshafariki, niliomba kwa sauti na kutoa nadhr kwa yesu kuwa akimpa uhai ntamlea ktk mising ya kumwabudu yey...hapo ghafla mtoto alianza kukohoa na akapata uhai,
Ni mengi tu yasiyowezekana kibinadamu yanawezekana kwang kupitia maombi
COZ NINA IMANI KALI SANA TOKA KUZALIWA KWANGU SIJAWAHI KANYAGA KWA MGANGA.
sasa kama hakuna mungu inakuaje dua zinapokelewa na kujibiwa ni nani yupo behind that?

Sent using Jamii Forums mobile app
Imani ndio kitu pekee kinachoweza kufanya hayo yote...wakati ww hujawahi kwenda kwa waganga,kuna watu wanaamini kuwa waganga wanaweza kuwasaidia na imani yao inawaponya.Kabla ya kuletwa kwa hizi dini (ukristo,uislamu) waafrika walikua na miungu yao ambayo iliwasaidia kutatua matatizo yao mf kukosekana kwa mvua,magonjwa n.k...kilichokuwa kinafanya kazi sio miungu yao Bali ni imani waliyojiwekea kuwa wakiomba kitu fulani basi watasikilizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujue wenzetu wazungu wanasema msemo wao fulani "Nothing is done in a vacuum".
Yaani hakuna kitu ambacho mzungu amekionyesha Ktk media zake bila kuwa na maana. Mfano: Uchawi nenda kaangalie movie kama "Drag me to hell" au "Wrong Turn" au "The Nun" hizi zote zina resemble na maisha yanayoendelea hapa duniani.
Wataalamu wengi wanakubaliana kuwa movie nyingi Both za Sci-fi pamoja na Horror movies zinabeba karibia 90% ya uhalisi wa matukio yaliyowahi kutokea.
Rejea historia ya Movie ya Child Play uone Kama haina mashiko???? Hii ni hadithi iliyotokea zaidi ya sehemu tatu tofauti.
Kwan mwaka 2000 kipindi zinatoka movies za Human Clones pamoja na Animal Cloning, sasa hivi nchi za Magharibi zinafanya nini kama sio kufanya vile vile vya kwenye media.
NB: They control your mindset at present ili Future uione ni ya kawaida tu

Sent using Infinix hot 4
 
Mi nashindwa kuelewa jambo moja! Je tunavyoomba huwa dua zetu zinapokelewa na nan?
Mfano mm miujiza ming huwa napokea endapo nitaomba kwa jna la yesu.
Mf nilijifungua mtoto ambaye nliambiwa ameshafariki, niliomba kwa sauti na kutoa nadhr kwa yesu kuwa akimpa uhai ntamlea ktk mising ya kumwabudu yey...hapo ghafla mtoto alianza kukohoa na akapata uhai,
Ni mengi tu yasiyowezekana kibinadamu yanawezekana kwang kupitia maombi
COZ NINA IMANI KALI SANA TOKA KUZALIWA KWANGU SIJAWAHI KANYAGA KWA MGANGA.
sasa kama hakuna mungu inakuaje dua zinapokelewa na kujibiwa ni nani yupo behind that?

Sent using Jamii Forums mobile app
we si unaimani kali niombee na mimi kitu kizuri kikitendeka nimjue mungu wako kuwa ananguvu.
Hlf hao madokta walimpima na ubongo.? Maana ubongo wa nyuma ukiwa kama bado unafanya kazi basi huyo kiumbe yupo hai kitu ambacho wengine wanashangaa ni kuambiwa mtu kafa Hlf baadae yupo hai! Kumbe mtu kazirahi wanaishia kipima moyo tu Kumbe moyo wenyewe unategemea ubongo!huyu ndo mfadhiri wa maisha
 
Hadi Nahisi Kichwa Kina Uma Najiulza Mambo Ambayo Majibu Yanakuwa Magumu,
Kitu Gan Kilifanya Binadamu Kumwabudu Mungu? Ama Kwanin Kizaz Kimoja Kiabudu Kingine,
Pia Kumbuka Jacob Hakushnda Alipigwa Paja Na Huyo Kiumbe ,na Je Hawa Viumbe Wana Kiongoz Wao Kama Yupo Ni Nan?
Nisaidie Haya Kwanza Alafu Uendlee

Kiongozi wao anaitwa anunaki


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji1][emoji1][emoji1]ajabu kuu ngogo ndio naiona leo hii mada tena muda huu
Duh nimesoma nikabaki kuwaza na kuwazua iwapo Le Prof mshana jr angepitia uwanja huu sijui angekuja na maoni gani maana huyu jamaa ni mtata sana mada zake nazisoma sana ila napita kimya kimya unajua uwanja wa ugenini lazima utume mbinu za ulinzi zaidi kuliko kushambulia (defensive merchanisim).

Jr[emoji769]
 
Binadamu noma mpaka kufikia kujua katokea wapi na vizazi vyake, ishu ya ujio wa binadamu na viumbe hai wengine bado ilikua mtihani kiasi kwamba hata vitabu vya dini vimeonyesha mapungufu mengi kiasi kwamba wenye uelewa mdogo wameishia kwny imani, nimekua mfuatiliaji wa hizi v2 kitambo ila hii niliyo kutana nayo leo ni classfied sijui kuna detail zaidi ya hizi nahisi kuhitaji data zaidi
 
...😂😂😂.. haya masimulizi ya kufikirika yanavutia kusoma.Hongera mtoa mada.
 
Back
Top Bottom