Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kuchanganya mambo SACCOS na unavyo taja ni vitu viwili tofauti.Kwa nn? Msitumie masoko ya mitaji kwa ajili ya kufungua izo ishu maana kule kuna watu wa kila aina na professionals katika masoko ya mitaji. Kuliko kubebana na mtu asiyejua maswala ya business kuchangishana pesa, mwisho wa siku ni kuzulumiana.
Mbona ilishafanywa ikashindikana wewe umesoma History, geography na Kiswahili na maswala ya fedha wapi na wapi?Wacha kuchanganya mambo SACCOS na unavyo taja ni vitu viwili tofauti.
Watanzania tunawaza Dhuruma, kuibiwa, kutapeliwa, Kudhurumiwa. Wakina Mengi wangekuwa na Mawazo kama haya nazani angekuwa machame anapunguzia Migimba.
Wenye nia wacha wafanye na sisi wafanyia watu kazi tuendelee kuwafanyia watu kazi tutazunduka tukisha stafu au tukifujuzwa kazi.
Kwa sasa hapana.
Post sent using JamiiForums mobile app
Wewe huna unacho jua zaidi ya kukatisha watu Tamaa, na inaonekana Jamiiforum umejiunga Juzi. SACCOS ilikuwepo na ilikufa na hakuna alie rushwa kila mtu alirudishiwa pesa yake na tatizo la kufa ilikuwa watu hawakutani ila michango ilikuwa inatumwa. Ningewawekea hadi Minute ila haina haja jwa watu like you.Cha Msingi mtu Kama Maxence Melo Mubyazi na Mwenzake Mike Mushi kama wanalo LENGO la kuanzisha ichi kitu ni simple sana wao wanaenda wanajitambulisha katika soko mitaji la CMSA na kupewa procedures zote na kuanzisha biashara lakini kwa kukusanyana watu humu humu ni kupigwa mapema. Maana kuna watu wengi hawana elimu ya FEDHA lakini ni waongeaji wazuri, sasa awo kulingana na ishu za fedha hawazijui watataka kufanya kama kazi MC( MASTER OF CEREMONY ) Mwisho ajui finance, account and mathematics. Matokeo fedha kupotea
Achana naye huyo, anadhania hacking ni swala dogo sana, pamoja na telecom yake anashindwa dadavua jambo dogo tu hili. Kila kitu humu ndanikipo emcrypted, wale msiwe na hofu kabisa.Ngoja nikuache tu utanisababishia ban bila sababu. Sikujua km nabishana na mwenye umri sawa na mwanangu. Jamii forums yenyewe umejiunga June. Kubishana na ww ni makosa makubwa sana! Maana huelewi hata unachoongea! Samahani sana....!
Post sent using JamiiForums mobile app
We endelea kufanya kazi kwa Wanaume wenzako halafu unajiona mjanja. mimi na elimu yangu ndogo sana silipwi na Mwanaume mwingine.Mbona ilishafanywa ikashindikana wewe umesoma History, geography na Kiswahili na maswala ya fedha wapi na wapi?
Tafuta watu makini ndio wafanye kazi
Lowassa alisema Elimu Elimu Elimu Elimu
Watanzania tunaangamia kwa kukosa ujuzi wa kitu fulani na wenye ujuzi wa kitu Kingine wanataka kazi zisizo zao
mbona mkoo soo negative jamani???
Am sure mkimpata mtu aliyesoma project management,hii ishu itafanikiwa vizuri tu.
kama mnaogopa kujulikana,usimwambie mtu ID yako😉😉
toa mchango kwa jina lako kwa mfano precious ukontizwe,hakuna anayejua wewe ni nani kwenye JF
Unajua sababu ya Kufa? uliza sababu acha kujifanya unajua. Uliza kwa nini ilikufa? kwa taarifa yako haikuwa shida ya Fedha bali muda wa hasa viongozi na hakuna alie poteza pesa yake wote walipata pesa zao.Mbona ilishafanywa ikashindikana wewe umesoma History, geography na Kiswahili na maswala ya fedha wapi na wapi?
Tafuta watu makini ndio wafanye kazi
Lowassa alisema Elimu Elimu Elimu Elimu
Watanzania tunaangamia kwa kukosa ujuzi wa kitu fulani na wenye ujuzi wa kitu Kingine wanataka kazi zisizo zao
Sijui hata kama unajua SACCOS ina opatiwa vipi, nazani hujui ungejuwa unajua Usingecomment hiviMbona ilishafanywa ikashindikana wewe umesoma History, geography na Kiswahili na maswala ya fedha wapi na wapi?
Tafuta watu makini ndio wafanye kazi
Lowassa alisema Elimu Elimu Elimu Elimu
Watanzania tunaangamia kwa kukosa ujuzi wa kitu fulani na wenye ujuzi wa kitu Kingine wanataka kazi zisizo zao
Na kama ilikufa ndo isiwezekane tena? so ukilima mazao yakafa inabidi uuze shamba uwe unalala masaa yote?Mbona ilishafanywa ikashindikana wewe umesoma History, geography na Kiswahili na maswala ya fedha wapi na wapi?
Tafuta watu makini ndio wafanye kazi
Lowassa alisema Elimu Elimu Elimu Elimu
Watanzania tunaangamia kwa kukosa ujuzi wa kitu fulani na wenye ujuzi wa kitu Kingine wanataka kazi zisizo zao
Wewe ndio ujui chochote. Unaongea eti umejiunga jana Unashindwa hata kuangalia katika account ya mtu kajiunga lini? Pili watu wengi ni siasa na Uzi huu apa kama ungekuwa kwenye Uzi wa biashara kusingekuwa na uchangiaji. Watu wanawaza siasa na nani kafanya nini? Taasisi za fedha zipo na hazitumiki ipasavyo na wenye uelewa wa izo Taasisi ni wachache na wenye kujua utaka kuwaingiza watu kwa lengo la kupata CommissionWewe huna unacho jua zaidi ya kukatisha watu Tamaa, na inaonekana Jamiiforum umejiunga Juzi. SACCOS ilikuwepo na ilikufa na hakuna alie rushwa kila mtu alirudishiwa pesa yake na tatizo la kufa ilikuwa watu hawakutani ila michango ilikuwa inatumwa. Ningewawekea hadi Minute ila haina haja jwa watu like you.
Pia tambua kwamba SACCOS ni kama ilivyo Vikundi vya Hisa au VICOBA ila SACCOS ziko more advanced kwa sababu zina kaguliwa na Serikali.
SACCOS kuanisha sio lazima muwe watalaamu wa Mahesabu bali kule ni kuchangishana pesa.
Shida watu kama wewe muda wote na wakati wote ni kuwaza Negative kuwaza kuibiwa, kutapeliwa na kudhulumiwa.
Mawazo kama haya yako hutoboi milele.
Post sent using JamiiForums mobile app
Hahaha huwezi jilinganisha na mim8 tafuta Post zangu kwanza humu siko Stricty, nionyeshe ya kwako ya maana.Wewe ndio ujui chochote. Unaongea eti umejiunga jana Unashindwa hata kuangalia katika account ya mtu kajiunga lini? Pili watu wengi ni siasa na Uzi huu apa kama ungekuwa kwenye Uzi wa biashara kusingekuwa na uchangiaji. Watu wanawaza siasa na nani kafanya nini? Taasisi za fedha zipo na hazitumiki ipasavyo na wenye uelewa wa izo Taasisi ni wachache na wenye kujua utaka kuwaingiza watu kwa lengo la kupata Commission
Taja nisicho jua, Kwa taarifa yako sisi tuna SACCOS yetu. Sawa?Wewe ndio ujui chochote. Unaongea eti umejiunga jana Unashindwa hata kuangalia katika account ya mtu kajiunga lini? Pili watu wengi ni siasa na Uzi huu apa kama ungekuwa kwenye Uzi wa biashara kusingekuwa na uchangiaji. Watu wanawaza siasa na nani kafanya nini? Taasisi za fedha zipo na hazitumiki ipasavyo na wenye uelewa wa izo Taasisi ni wachache na wenye kujua utaka kuwaingiza watu kwa lengo la kupata Commission
Siwezi bishana na wewe ambae umeshindwa kujua nimejiunga Jana au Leo. Ndio wewe unataka uwashauri watu watoe pesa zaoHahaha huwezi jilinganisha na mim8 tafuta Post zangu kwanza humu siko Stricty, nionyeshe ya kwako ya maana.
Siasa unajua wewe hapo mimi siasa sijui sawa? mimi niko bise ba mambo yangu
Post sent using JamiiForums mobile app
Mimi ndo nimeleta wazo? Mimi huwa napenda Idea za watu kama hizi so nampongeza na kumtia moyo na inawezekana.Siwezi bishana na wewe ambae umeshindwa kujua nimejiunga Jana au Leo. Ndio wewe unataka uwashauri watu watoe pesa zao
Wewe Unafikiri pesa zinaokotwa???
Umekaa mtandaoni umeshituka una pesa unakuja na mawazo ya Saccos
Mimi ni Verfied unajua maana ya Verfied? hahahaa utajulia wapi?Siwezi bishana na wewe ambae umeshindwa kujua nimejiunga Jana au Leo. Ndio wewe unataka uwashauri watu watoe pesa zao
Wewe Unafikiri pesa zinaokotwa???
Umekaa mtandaoni umeshituka una pesa unakuja na mawazo ya Saccos
Halafu wazo sijatoa mimi make nyie ndo manaaza na coment kwanza then ndo mnaanza kusoma habari. Unaingua fb kwa sababu watu wame like una like then unarudi kusoma.Siwezi bishana na wewe ambae umeshindwa kujua nimejiunga Jana au Leo. Ndio wewe unataka uwashauri watu watoe pesa zao
Wewe Unafikiri pesa zinaokotwa???
Umekaa mtandaoni umeshituka una pesa unakuja na mawazo ya Saccos