Jamii tusiwasakame wanawake ambao hawajaolewa na wako single

Jamii tusiwasakame wanawake ambao hawajaolewa na wako single

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Mimi binafsi yangu siwez wasakama wanawake ambao umri umeenda na hawajaolewa naamin kwa fikra na hisia zao hawajapata mwanaume ambaye sio bora tusiwasakame na kuwachukulia kama ni wakosaji wakubwa sana

Wengi wao ni victim wa hisia yaan wale ambao hawana hisia nao ndo wanaume wakufanya nao maisha, na wale ambao wenye hisia nao ndo vimeo, wanakuja kujua ni vimeo mimba na mtoto tayari ameshamzalia kwa hiyo inakua majuto ni mjukuu umeona dunia ilivyo unfair

Ndo maana nashangaa watu wanaowasakama wanawake walio single ukweli ni kwamba kila binadamu anataka kilicho bora na kama mjuavyo vitu bora ni vichache kwa muonekano wa nje ila ukweli ni kwamba kila mwanaume ni bora kama akiamua kutengenezwa same applied kwa wanaume walio oa wengi wao wameanza kupendeza baada ya kuoa au kuwa kwenye mahusiano yenye malengo.

Kwenye maisha hakuna mtu ambaye jambo zuri halijawahi kumjia kwenye maisha yake, ila kwa sababu ya utashi wetu ambao ni mdogo tulilikataa kwa sababu halijaja kama tulivyotaka, hii ni kwa sababu jambo lolote zuri haliji jinsi tunavyotaka na hapo ndo fumbo gumu liliopo, huku mwanamke akitarajia mwanaume bora ni yule mwenye gari and all attributes which define good life wengi wenye hizi sifa sio wote wanaishia kuwachezea sababu wanakuwa tayari kwenye mahusiano

Tukubali kwamba kizazi kilichopo kinataka kudandia vitu vizuri hio ndo changamoto iliyopo leo, mwanamke anataka mwanaume ready made

Wanawake wengine ni kama wana bahati mbaya kila mwanaume anayemkubalia ni kimeo na wale bora ndo anao wakataa, sio kila mwanamke ambaye yuko single na hajaolewa basi alikua anachagua wengine hawachagui ila ni victim wa wrong choice

Kama ni mwanamke na hujaolewa na uko single kubali haya ndo maisha there is no way you can reverse time usijuhukumu sana kwa mistake ulizofanya kipindi cha nyuma
 
mwanamke anakesha kumuomba Mungu ampe mume, bila hiana Mungu ana mpa ila anavyomkutanisha nae mwanamke anamkataa sababu wakati anamuomba Mungu alikua na picha ya mwanamme anayemtaka

Mungu alivyomwambia Musa vua viatu vyako alikua anamaana kubwa sana kwamba vua fikra zako zote nisikilize mimi, ukienda kumuomba Mungu kuhusu mme kuwa tayari kwa mwanaume atakayekuletea
 
mwanamke anakesha kumuomba Mungu ampe mume, bila hiana Mungu ana mpa ila anavyomkutanisha nae mwanamke anamkataa sababu wakati anamuomba Mungu alikua na picha ya mwanamme anayemtaka

Mungu alivyomwambia Musa vua viatu vyako alikua anamaana kubwa sana kwamba vua fikra zako zote nisikilize mimi, ukienda kumuomba Mungu kuhusu mme kuwa tayari kwa mwanaume atakayekuletea
Mmh,
Hata kwa sisi wanaume kuna vitu ukivikosa kwa huyo mwanamke unayekutana naye, kamwe hauwezi kuridhika maisha yote. Ni vizuri kuvuta subira kukutana na mwenye vigezo vyako ambavyo umeviweka kama "No compromise "
 
Mimi binafsi yangu siwez wasakama wanawake ambao umri umeenda na hawajaolewa naamin kwa fikra na hisia zao hawajapata mwanaume ambaye sio bora tusiwasakame na kuwachukulia kama ni wakosaji wakubwa sana

Wengi wao ni victim wa hisia yaan wale ambao hawana hisia nao ndo wanaume wakufanya nao maisha, na wale ambao wenye hisia nao ndo vimeo, wanakuja kujua ni vimeo mimba na mtoto tayari ameshamzalia kwa hiyo inakua majuto ni mjukuu umeona dunia ilivyo unfair

Ndo maana nashangaa watu wanaowasakama wanawake walio single ukweli ni kwamba kila binadamu anataka kilicho bora na kama mjuavyo vitu bora ni vichache kwa muonekano wa nje ila ukweli ni kwamba kila mwanaume ni bora kama akiamua kutengenezwa same applied kwa wanaume walio oa wengi wao wameanza kupendeza baada ya kuoa au kuwa kwenye mahusiano yenye malengo.

Kwenye maisha hakuna mtu ambaye jambo zuri halijawahi kumjia kwenye maisha yake, ila kwa sababu ya utashi wetu ambao ni mdogo tulilikataa kwa sababu halijaja kama tulivyotaka, hii ni kwa sababu jambo lolote zuri haliji jinsi tunavyotaka na hapo ndo fumbo gumu liliopo, huku mwanamke akitarajia mwanaume bora ni yule mwenye gari and all attributes which define good life wengi wenye hizi sifa sio wote wanaishia kuwachezea sababu wanakuwa tayari kwenye mahusiano

Tukubali kwamba kizazi kilichopo kinataka kudandia vitu vizuri hio ndo changamoto iliyopo leo, mwanamke anataka mwanaume ready made

Wanawake wengine ni kama wana bahati mbaya kila mwanaume anayemkubalia ni kimeo na wale bora ndo anao wakataa, sio kila mwanamke ambaye yuko single na hajaolewa basi alikua anachagua wengine hawachagui ila ni victim wa wrong choice

Kama ni mwanamke na hujaolewa na uko single kubali haya ndo maisha there is no way you can reverse time usijuhukumu sana kwa mistake ulizofanya kipindi cha nyuma
Hivi kumbe kuna watu wanasakamwa? Kwani kwenye ndoa kuna nini cha ziada?

Juzi kati hapa kuna mtu kapigwa na mmewe hadi kachakaa kisa hajamkaribisha chakula.

Kwa kifupi ndoa ni nzuri kama kuna maelewano, otherwise ni mateso tu.

Muhimu ni kuwa na watoto na kuwalea kwa upendo na amani. Sikatai ndoa, ila haiwezi kuwa sababu ya mtu kumsakama asiyekuwa na ndoa!
 
Mimi binafsi yangu siwez wasakama wanawake ambao umri umeenda na hawajaolewa naamin kwa fikra na hisia zao hawajapata mwanaume ambaye sio bora tusiwasakame na kuwachukulia kama ni wakosaji wakubwa sana

Wengi wao ni victim wa hisia yaan wale ambao hawana hisia nao ndo wanaume wakufanya nao maisha, na wale ambao wenye hisia nao ndo vimeo, wanakuja kujua ni vimeo mimba na mtoto tayari ameshamzalia kwa hiyo inakua majuto ni mjukuu umeona dunia ilivyo unfair

Ndo maana nashangaa watu wanaowasakama wanawake walio single ukweli ni kwamba kila binadamu anataka kilicho bora na kama mjuavyo vitu bora ni vichache kwa muonekano wa nje ila ukweli ni kwamba kila mwanaume ni bora kama akiamua kutengenezwa same applied kwa wanaume walio oa wengi wao wameanza kupendeza baada ya kuoa au kuwa kwenye mahusiano yenye malengo.

Kwenye maisha hakuna mtu ambaye jambo zuri halijawahi kumjia kwenye maisha yake, ila kwa sababu ya utashi wetu ambao ni mdogo tulilikataa kwa sababu halijaja kama tulivyotaka, hii ni kwa sababu jambo lolote zuri haliji jinsi tunavyotaka na hapo ndo fumbo gumu liliopo, huku mwanamke akitarajia mwanaume bora ni yule mwenye gari and all attributes which define good life wengi wenye hizi sifa sio wote wanaishia kuwachezea sababu wanakuwa tayari kwenye mahusiano

Tukubali kwamba kizazi kilichopo kinataka kudandia vitu vizuri hio ndo changamoto iliyopo leo, mwanamke anataka mwanaume ready made

Wanawake wengine ni kama wana bahati mbaya kila mwanaume anayemkubalia ni kimeo na wale bora ndo anao wakataa, sio kila mwanamke ambaye yuko single na hajaolewa basi alikua anachagua wengine hawachagui ila ni victim wa wrong choice

Kama ni mwanamke na hujaolewa na uko single kubali haya ndo maisha there is no way you can reverse time usijuhukumu sana kwa mistake ulizofanya kipindi cha nyuma
Mimi lazima nimcheke kwakweli maana madem wanajibu ujinga sana ukiwacheki uko kwa nia ya kutaka kuanzisha mahusiano [emoji23][emoji23][emoji23]na bado wataendelea kuchezewa ivyo ivyo na hao wenye pesa
 
Mimi lazima nimcheke kwakweli maana madem wanajibu ujinga sana ukiwacheki uko kwa nia ya kutaka kuanzisha mahusiano [emoji23][emoji23][emoji23]na bado wataendelea kuchezewa ivyo ivyo na hao wenye pesa
Kijana, unajiitaje labia majora?(Labium majus in singular)
 
Hivi kumbe kuna watu wanasakamwa? Kwani kwenye ndoa kuna nini cha ziada?

Juzi kati hapa kuna mtu kapigwa na mmewe hadi kachakaa kisa hajamkaribisha chakula.

Kwa kifupi ndoa ni nzuri kama kuna maelewano, otherwise ni mateso tu.

Muhimu ni kuwa na watoto na kuwalea kwa upendo na amani. Sikatai ndoa, ila haiwezi kuwa sababu ya mtu kumsakama asiyekuwa na ndoa!
Hapo kulikuwa na vitu vingine vinaendelea jamaa katafuta tu point au sehemu ya kutolea mkong'oto.
 
Back
Top Bottom