October 2 , 2018
Kaloleni Kilifi county, Kenya
Katika baadhi ya Jamii ya Mijikenda hili si geni ila kilichokigeni sasa ni kuwa kando nakuwa panya alikuwa kitoweo cha wazee, vijana pia wamechangamkia ulaji wa panya. Sababu zao wakisema kuwa ni mnyama mwenye utamu wa samaki na kuku wakiwa wameshikana. Nyama hii ya panya buku kwa kizazi chetu cha dotcom huenda kutowesha pilau na hata sima tofauti na zamani ambapo wazee wa Miji Kenda kilikwenda zaidi wakiteremshia na pombe yao maarufu ya tembo mnazi. Tobias chanji anaripoti akiwa kaloleni kaunti ya kilifi alipoandaliwa mlo huu mruwa.
Source: KTN News Kenya
Kaloleni Kilifi county, Kenya
Katika baadhi ya Jamii ya Mijikenda hili si geni ila kilichokigeni sasa ni kuwa kando nakuwa panya alikuwa kitoweo cha wazee, vijana pia wamechangamkia ulaji wa panya. Sababu zao wakisema kuwa ni mnyama mwenye utamu wa samaki na kuku wakiwa wameshikana. Nyama hii ya panya buku kwa kizazi chetu cha dotcom huenda kutowesha pilau na hata sima tofauti na zamani ambapo wazee wa Miji Kenda kilikwenda zaidi wakiteremshia na pombe yao maarufu ya tembo mnazi. Tobias chanji anaripoti akiwa kaloleni kaunti ya kilifi alipoandaliwa mlo huu mruwa.
Source: KTN News Kenya