Tuko kwenye modern world ambapo kwa utandawazi uliopo dunia ni kijiji wanatakiwa kuinteract na wengine bila kupoteza culture yao.
Huo ulazima ni nani kauweka? Mabepali, kwanini ili kuneemesha matumbo yao
Tanzania matajiri ( on terms of dollars) chini ya 3000
Watu wa kipato cha kati hawazidi milioni 4 na wanaobakia wote ni masikini. Yaani asilimia 76 ya watanzania ni masikini na asilimia 43 ya watanzania wanaishi kwa chini ya dola moja, wapo below poverty line, na hao wote kwa kiwango kikubwa wanaishi kwenye hiyo modern civilization.
Kwahiyo lengo lenu muwaharibie wahadzabe mfumo wao wa maisha ili wawe manpower ya kuongeza utajiri kwa mabwenyebye, sijui unanielewa?.
Lengo la maisha ni kufurahia kile unachokipata, wao wako happy na maisha yao, hawana kansa, hawana hepatitis b virus, hawana HIV, hawana gonorrhea, hawakupata uviko, hawana shida ya chanjo, wanakula, wanalala, wanaoana, Wanafanya shereehe, wanaburudika enhee unataka wawe "civilized" ili!!? Halafu iweje yani?