Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Wale walioenda clouds sio OG hao kina Dudukwe mpaka uwafuate kule 🤣🤣Dudukwe, qweleche, takecheatekechea, Gwandunya, niliwaona clouds fm, hahaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale walioenda clouds sio OG hao kina Dudukwe mpaka uwafuate kule 🤣🤣Dudukwe, qweleche, takecheatekechea, Gwandunya, niliwaona clouds fm, hahaa
Huyo ndo celebrity kwa wahdzabe ! Ndo ameonekana sana kwenye mitandao ya kijamii ! Yaan ukienda kuwatembelea wahadzabe usionane na Dudukwe huku uraiani tunaona kama umeigiza hukufika pori uliishia njiani ukaokoteza wahadzabeDudukwe ndiyo nini?
Ule ni uchafu, nilivyoona ile clip nilitapikaNi vile hujawahi onja ndio maana unasema hivyo
Sio uchafu, ni chakulaUle ni uchafu, nilivyoona ile clip nilitapika
a wapi "kamdomo"Tayari nishaadapt mazingira tofauti nikibadili mazingira itakuwa changamoto kwangu
Nimeshathibitisha na ndiyo maana nimesema hivyoThibitisha
Hii jamii haitakiwi kulindwa kwani wenyewe hawataki kusaidiwa, wanataka waishi maisha wakifanana na wanyama na kutooga. Waachwe tu waangamie.Ndani ya hii miaka miwili Kuna muingiliano mkubwa sana wa jamii wa watu wa hadza na watu wa ulimwengu wa kwanza kitu ambacho binafsi naona kama kitachangia sana kuharibu mfumo wa mzuri wa kiasili waliouzoea kuishi na kuondoa kabisa ule utambulishi wao kama wahadzabe
Wageni wengi wanaokuja kuwaona na hata wenyeji wanaowaongoza hao wageni kutokea mijini hutambulisha vitu visivyo vya msingi kabisa kama vinywaji vya kusindika vyenye kemikali na mivyakula yenye sumu za viwandani kadhalika na mavazi ambayo hayana tija kwa jamii hiyo. Ninachoona si kwamba jamii hii haijui chochote kuhusu ulimwengu wa kisasa maana wao pia huku manyara huonekana kwenye minada mingi sana wakiuza zana za kuwindia na wao kupata bidhaa zingine, ila ninachoamini ni kuwa waliamua kwa dhati kujitenga na ulimwengu huu wa kisasa ili waishi kwa namna watakavyopendezwa wao
Muingiliano huu wa jamii ya hadza na watu kisasa unahatarisha hata kingamwili zao na harakati zao za kawaida kwa kuwa ni kama wanabugudhiwa na hawa watu wanaowatembelea na kuwapa vitu vigeni bila utaratibu maana hawa jamaa kwa kiasi kikubwa wako huru nje ya magonjwa tunayopambana nayo huku mjini kwa hiyo Wana kingamwili zao binafsi hivyo kuruhusu watu wawatembelee kiholela kunaweza kuhatarisha ustawi wai na mtindo mzima wa maisha yao
Serikali ya Tanzania kupitia wizara ya maliasili na hata wizara ya mambo ya ndani ninaomba waweke marufuku au taratibu Kali au ikiwezekana kutoruhusu kabisa kuwasumbua wahadzabe kwa kuwa hawa jamaa ni moja ya jamii adhimu sana duniani ambazo zineamua kuishi utaratibu wao binafsi
Leo hii Afrika kusini amebakia mtu mmoja tu ambaye anatenda tamaduni za Khoisan naye ni mzee sana kwa kuwa jamii yao hao watu imeshamezwa na usasa. Hakuna faida yoyote wanayopata wahadzabe kwa kuingiliana na watu mjini au wa nje ya nchi zaidi ya hao watu kuwatumia kwa maudhui yao ya mtandaoni na kujitengenezea umaarufu na kipato huku wakiwaharibia mazingira na tamaduni zao
SERIKALI IWAPIGE MARUFUKU WATU WOTE WANAWAKARIBIA WAHADZABE
🤣🤣🤣 Naogopa wana mitwangio mikubwaaNasikia wahadzabe kwenye sita kwa sita hawashikiki yaani wanajamiiana haswa tena kwa mitindo anuwai.
BRAZA CHOGO unapaswa uende kule ili haja yako itimilizwe.
Cc Poor Brain.
Ila kweli, minyanduano ya wale jamaa haina mfano.🤣🤣🤣 Naogopa wana mitwangio mikubwaa
Hicho nilichosemaUmethibitisha kitu gani hapo
Hainipunguzii kitu na ncdiyo maana nimesema waachwe tu waangamieEeh ndo muwaache kuwashobokea we wasipooga inapunguza chakula kiasi gani nyumbani kwako
Kabisa, wanapigana miti balaaNasikia wahadzabe kwenye sita kwa sita hawashikiki yaani wanajamiiana haswa tena kwa mitindo anuwai.
BRAZA CHOGO unapaswa uende kule ili haja yako itimilizwe.
Cc Poor Brain.
Vyakula wanavyokula vinawasapoti sana, yaani wanaweza kufikishana kilekeni mara kadhaa consistently.Kabisa, wanapigana miti balaa