Jamii ya wahadzabe ilindwe, baada ya miaka 8 hawatokuwepo tena

Jamii ya wahadzabe ilindwe, baada ya miaka 8 hawatokuwepo tena

Brasili na India Kuna jamii adhimu zinalindwa kwa nguvu zote
Unailindaje jamii na haya mapinduzi ya kijamii yanayoendelea, maeneo ya mapori yana rasimishwa, binadamu wanaondolewa na kubakiza wanyama kulinda ecologia ya wanyama pori na misitu, binadamu tumeonekana ni waharibifu wa misitu na,ecologia ya wanyama.

Hazabe wao wanahama hama kulingana na mahitaji na msimu, hawatulii, sio wafugaji siyo wakulima wanazagaa kutafuta wanyama kula, asali kula, matinda kula, hawaoteshi hawafugi, ni ngumu ila inawezekana kuwalinda, ila kwa sera za utalii kwa sasa watatoweka.

Serikali inawataka watulie iwajengee makazi, wao hawakatai chochote, ila kufanya hivyo ni kuwabadirisha kuwataka wawe tofauti na asili yao.
 
Unawalinda ili iweje ikiwa wenyewe hawataki kulindwa? Wanataka kuishi maporini na kula vya bure na hawataki kulipia LUKU.
Ndiyo waachwe kwa kuwa wenyewe wameamua kukaa porini ni maamuzi yao, msiwapelekee maambukizi yenu na mavyakula yenu inayoleta kansa
 
Yan watu hamna akili,
Kwa hio wew upo happy binadamu kuishi vile karne ya 21?
Wale inabid wafanyiwe forced civilization kabisa, wapelekewe shule, hospital, wafanyiwe forced education, mpaka waelewe, tunapoteza madaktar wengi kwa kujifanya tunatunza asili za wamasai na wahadzabe
Wewe ubongo wako huo uliojaa kamasi ndo unaamini "forced civilization" inaleta nafuu ya maisha na binadamu hupata mahitaji yake yote ya msingi?.
Taahira wewe fumbua ubongo huo hii so called "civilization" ni mfumo wa kuwaneemesha wachache na kuwakandimiza mamilioni

Kwenye hili taifa ni watu wangapi mmepats elimu lakini mnalia maisha magumu? Hata kula ni shida, Sasa hiyo civilization yenu imewasidia nini?
Watu wangapi wamesoma halafu wakajinyonga au kujiua kwa ugumu wa maisha?

Hizo shule zenu mnafundishwaga nini? Ujinga au?
 
Wewe una mawazo ya kishamba sana, kuwa civilized ndo nini?
Ndo kuishi katika ubepari? Mfumuko wa gharama za maisha na kupambana na magonjwa ya maabara?
Au kuhangaikia ajira ndo kuwa civilized?

Kuna ulazima gani kuishi katika "kuwa civilized" ikiwa wao wenyewe Wana furaha na maisha yao?
Wewe kuwa huru hakuna anayekuacha mjini
Unaweza kwenda kusihi pori lolote ukawe kivutio watu wapige faida kupitia mgongo wako na wewe hupati chochote kukusaidia

Huna haja ya kunya hata kwenye choo nenda ukanye porini chimba shimo, kunya tu kama mnyama

Wewe bado una mawazo ya kishamba, hakuna ulichoandika cha msingi
 
Kudadadeki natamani nikutukane bongesa la mtusiiiii

Wewe huyo Charles Darwin umewahi kumuona?
Amekusaidia kwenye kupunguza ugumu wa maisha?

Pumbavu zako
Pumbavu mwenyewe mtoto wa malaya usiyejuwa baba yako nani!! Unajuwa matusi tu uliyorithishwa na mama yako
 
Hoja ya KIPUMBAVU sana. Nenda kasome theory ya evolution by Charles Darwin. Binadamu siyo static kama jiwe bali ana cope ma mazingira na kubadilika.

Hata wewe pimbi tuki trace uzao wako miaka 1000 nyuma utakuta babu zako walikuwa wanaishi kama Wahadzabe. Ila nyakati zikapita kutoka early stone age hadi iron age.

Wahadzabe wako hivyo kwa sababu hawajachanganyikana. Lakini yale siyo maisha mazuri. Kutaka wabakie hivyo hivyo ni sawa na kuwafanya ni wanyama na siyo binadamu
Inashangaza. Watu wanataka kutumia wengine kama vivutio. Yaani anataka wabaki kwenye hayo maisha duni ya porini na wasipate maendeleo yoyote. Ukweli ni kwamba makabila kama haya miaka miachache ijayo yatachanganyika na kuhama porini.
 
Pumbavu mwenyewe mtoto wa malaya usiyejuwa baba yako nani!! Unajuwa matusi tu uliyorithishwa na mama yako
Elimu yetu ilimekuwa ya hovyo kiasi ambacho kila mtu aliyeko kwenye vitabu unatakiwa uwe umeonane naye ndiyo uweze kumzungumzia.
 
Kapepsi kalivyo katamu hivi halafu hutaki wenzio wanywe, una roho mbaya wewe.

Kama yale ni maisha mazuri kwanini wewe usiende kuungana nao, kinga mwili zako na zao zitakua sawa baada ya muda tu.
 
Ndiyo waachwe kwa kuwa wenyewe wameamua kukaa porini ni maamuzi yao, msiwapelekee maambukizi yenu na mavyakula yenu inayoleta kansa
Na wenyewe siku hizi wana kansa kutokana na kula vitu visivyoliwa, zamani walihisi ni magonjwa ya kawaida kumbe imebainika ni kansa.
 
Pumbavu mwenyewe mtoto wa malaya usiyejuwa baba yako nani!! Unajuwa matusi tu uliyorithishwa na mama yako
Kama mama yako siyo Malaya wewe ulipatikanaje?

Sio baada ya babako kumuhonga kipande cha muhogo?
 
Haa Mwaka Huu Uchaguzi Lazima Watangaze Wazi Hawapigi Kura Mpaka Nyama Iletwe Nyingi Sana
 
Huu uzi ni wa ajabu na watu waliocomment before this ni watu anbao sijui ni wa kundi gani

Sisi sote tulikuwa uncivilised sasa tuko civilized. Hakuna sifa kuwa au kuishi kama hazabe, watoto hawasomi na wala hawapati mahitaji muhimu za kibinadamu.

Hatuwezi kufagilia au kufurahia wahazabe waishi kama wanyama

Si kweli wana haki ya utandawazi, usasa. Ni haki yao

Dunia ni kijiji sasa, tunajenga madaraja kuunganisha watu, alafu kuna watu wanataka kujenga ukuta kufunga watu


Siafiki
Wahadzabe wakisema kwamba wao kuishi vile ni haki yao, utawakatalia?
 
W
Ndani ya hii miaka miwili Kuna muingiliano mkubwa sana wa jamii wa watu wa hadza na watu wa ulimwengu wa kwanza kitu ambacho binafsi naona kama kitachangia sana kuharibu mfumo wa mzuri wa kiasili waliouzoea kuishi na kuondoa kabisa ule utambulishi wao kama wahadzabe

Wageni wengi wanaokuja kuwaona na hata wenyeji wanaowaongoza hao wageni kutokea mijini hutambulisha vitu visivyo vya msingi kabisa kama vinywaji vya kusindika vyenye kemikali na mivyakula yenye sumu za viwandani kadhalika na mavazi ambayo hayana tija kwa jamii hiyo. Ninachoona si kwamba jamii hii haijui chochote kuhusu ulimwengu wa kisasa maana wao pia huku manyara huonekana kwenye minada mingi sana wakiuza zana za kuwindia na wao kupata bidhaa zingine, ila ninachoamini ni kuwa waliamua kwa dhati kujitenga na ulimwengu huu wa kisasa ili waishi kwa namna watakavyopendezwa wao

Muingiliano huu wa jamii ya hadza na watu kisasa unahatarisha hata kingamwili zao na harakati zao za kawaida kwa kuwa ni kama wanabugudhiwa na hawa watu wanaowatembelea na kuwapa vitu vigeni bila utaratibu maana hawa jamaa kwa kiasi kikubwa wako huru nje ya magonjwa tunayopambana nayo huku mjini kwa hiyo Wana kingamwili zao binafsi hivyo kuruhusu watu wawatembelee kiholela kunaweza kuhatarisha ustawi wai na mtindo mzima wa maisha yao

Serikali ya Tanzania kupitia wizara ya maliasili na hata wizara ya mambo ya ndani ninaomba waweke marufuku au taratibu Kali au ikiwezekana kutoruhusu kabisa kuwasumbua wahadzabe kwa kuwa hawa jamaa ni moja ya jamii adhimu sana duniani ambazo zineamua kuishi utaratibu wao binafsi

Leo hii Afrika kusini amebakia mtu mmoja tu ambaye anatenda tamaduni za Khoisan naye ni mzee sana kwa kuwa jamii yao hao watu imeshamezwa na usasa. Hakuna faida yoyote wanayopata wahadzabe kwa kuingiliana na watu mjini au wa nje ya nchi zaidi ya hao watu kuwatumia kwa maudhui yao ya mtandaoni na kujitengenezea umaarufu na kipato huku wakiwaharibia mazingira na tamaduni zao

SERIKALI IWAPIGE MARUFUKU WATU WOTE WANAWAKARIBIA WAHADZABE
We uko tayari ukaishi nao maisha hayo? kwa vile ni mazuri hamna magonjwa!
 
Kama mama yako siyo Malaya wewe ulipatikanaje?

Sio baada ya babako kumuhonga kipande cha muhogo?
Mama yako ni Malaya ndiyo ulivyopatikana. Baada ya banako kumhonga kipande cha muhogo
 
Back
Top Bottom