Kuna mijitu ni mijuaji sana wao wanadhani ulimwengu unazunguka katika mawazo yao tu, kwamba kunywa mirinda, kutumia smartphone na kuitukana CCM hayo ndo maisha na wenyewe wanaita civilizationHizo ndo jamii bora na Asilia mkitaka kuwaletea usasa mtaharibu Sana.
Hiyo primitivism yao wewe inapunguza mshahara kiasi gani kwakoWako so primitive sana! Sometimes kuwepo muingiliano na watu wengine ili kuwapa kujua kinachoendelea duniani.
Angalau wawe kama Wamasai hivi ambao pamoja na muingiliano na watu wengine lakini bado wamepreserve utamaduni wao.
Tuko kwenye modern world ambapo kwa utandawazi uliopo dunia ni kijiji wanatakiwa kuinteract na wengine bila kupoteza culture yao.Hiyo primitivism yao wewe inapunguza mshahara kiasi gani kwako
Sisi tunabadirika...tunapiga pamba tunataka wao waendelee kuvaa ngozi!!Huu uzi ni wa ajabu na watu waliocomment before this ni watu anbao sijui ni wa kundi gani
Sisi sote tulikuwa uncivilised sasa tuko civilized. Hakuna sifa kuwa au kuishi kama hazabe, watoto hawasomi na wala hawapati mahitaji muhimu za kibinadamu.
Hatuwezi kufagilia au kufurahia wahazabe waishi kama wanyama
Si kweli wana haki ya utandawazi, usasa. Ni haki yao
Dunia ni kijiji sasa, tunajenga madaraja kuunganisha watu, alafu kuna watu wanataka kujenga ukuta kufunga watu
Siafiki
Huo ulazima ni nani kauweka? Mabepali, kwanini ili kuneemesha matumbo yaoTuko kwenye modern world ambapo kwa utandawazi uliopo dunia ni kijiji wanatakiwa kuinteract na wengine bila kupoteza culture yao.
"Kupiga pamba" na "kubadilika" siyo kwa hiyari yako Babu yake Babu yako Babu yake alitukanwa na wafanyabiashara za utumwa, wakampeleka kwenye zoo za maonesho kama mfugo halafu hao watwana wakamwambia maisha aliyoishi siyo maisha ndiyo maana leo tuna civilization nyingi hadi za kubadili jinsiaSisi tunabadirika...tunapiga pamba tunataka wao waendelee kuvaa ngozi!!
Acha kuishi kama nyani wewe dunia imebadilika unaweza kuona sifa kumbe watu wanakushangaa wanakuona hujakamilika kuwa binadamu miaka hii unavaa ngozi muda wote unanuka hii akili Gani yaani unaishi dunia ambayo unasubiri kifo ulikuja duniani kufanya nini sasa"Kupiga pamba" na "kubadilika" siyo kwa hiyari yako Babu yake Babu yako Babu yake alitukanwa na wafanyabiashara za utumwa, wakampeleka kwenye zoo za maonesho kama mfugo halafu hao watwana wakamwambia maisha aliyoishi siyo maisha ndiyo maana leo tuna civilization nyingi hadi za kubadili jinsia
Kipi kinachokufanyaa ujione wa pekee dhidi yao?Acha kuishi kama nyani wewe dunia imebadilika unaweza kuona sifa kumbe watu wanakushangaa wanakuona hujakamilika kuwa binadamu miak hii unavaa ngozi muda wote unanuka hii akili Gani yaani unaishi dunia ambayo unasubiri kifo ulikuja duniani kufanya nini sasa
Sababu Mimi ni binadamu wao sio binadamuKipi kinachokufanyaa ujione wa pekee dhidi yao?
Inashangaza sanaWao si binadamu pia au unataka tuwatunze kama twiga?
Endelea kuvaa ngoziKama unaishi kwenye "Dunia iliyobadilika" na fikra zako ndo kama hizi huna tofauti na dayon au Caitlin Jenner
Numbisa can I be your friend?🧡Duh aiseee sasa itakuwaje kuwaona akina akoma
Thank youuuuWelcome mkuu
Umefuatilia huu uzi toka mwanzo au unakurupuka tu?Umeiona wapi wameangamia