Jamii ya watu weusi inaangamia kwa kupenda miujiza, maajabu na mazingaombwe badala ya kupenda kuwajibika kwa juhudi na maarifa

Neno waafrka toa au ongeza waafrka wakrisito kwenye mada yako waisilamu hauwezi ukakuta wanafanya mambo ya kijingajinga
 
Neno waafrka toa au ongeza waafrka wakrisito kwenye mada yako waisilamu hauwezi ukakuta wanafanya mambo ya kijingajinga
Niliwahi kuwaona waislamu wakiuana kwa kugombea kumpiga shetani mawe! Nilistaajabu sana! Na shetani mwenyewe alikuwa kalala pembeni anacheka hadi anainua miguu juu!
 
Hadi wee?? Ujanja wotee huu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana sitakiii kuamini,
Mweeeeh
Ah kanisani hapo nlienda kimchongo tu kuna line nlikuwa naitafuta mule

Ova
 
Umefanya vyema tu ujaafanya ukinga ule ,unajuwa ndugu mleta mada kua. Maombi ya Aina mbili Mona ya sadaka na nyingine Ni maombezi tu Wala Hakuna ubishi

Tusali Sana kwa kuegemea angle fln siyo una tatizo la cancer unaenda kuomba gari au vitu vingine vinafikirisha
 
Mimi nikiwa kiongozi mkuu wa nchi, nitatoa order yavunjwe makanisa na misikiti yote nchini na tuanze upya kuamini katika kazi na jitihada.

Wakoloni walileta dini ili kurahisisha shughuli zao za kuitawala na kuiba raslimali za Afrika. Na wizi huo wachungaji wanautumia sana kwa waumini wao. Kinachofanyika na kanisa la mwamposa hakina tofauti na kanisa katoliki na misikiti.

Dini inapumbaza sana na ina mchango mkubwa sana kuendeleza umaskini wa Afrika. Mtu anaamini akifanya maombi atapata gari na nyumba bila kufanya kazi.

Ujinga wa dini inabidi ufe tuanze upya kama waafrika.
 
Unampelekaje mwanao kusoma Sudan? Anasomea nini special? Akigeuka gaining, huyo si ni hasara kwa dunia?
 
Huwa najiuliza ni lini serikali itapiga marufuku huu upuuzi. Au mpaka yatufike kama ya Kule Kilifi, Kenya? Then it will be too late. Mbona hao wahubiri wakitaka magari hayashuki from nowhere bali wanataka michango ya wafuasi wao??
 
Kichwa cha habari kitaje wakristo weusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…