The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Umesema jambo la muhimu sana,uchawi na ushirikina nao ndio wale wale tu,Wenzetu waishaachana na huu ujinga kitambo sana. Hawa manabii, mitume nk walikuwa ni watu wa kudhibitiwa, wanatumia ukosefu wa elimu na umasikini wa jamii yetu kuiangamiza kabisa.
Umewasahau imani za kishirikina, uchawi na waganga wa kienyeji wote hao ni kundi moja.
Nishakustukia... Wewe mfuasi.. maana nimetafakari huo ujumbe wako hata hauendani na madaHivi unafikiri wanaosema waafrika ni wajinga unadhani ni utani.Vichwa vyetu sio vizima kabisa.Ujinga tunaoufanya uku afrika ni mkubwa zaidi kuliko unaofanyika uko walikotuletea hizi dini.Kwa mfano angalia hili jambo la mapenzi ya jinsia moja,nakuhakikishia japokua kwasasa linaonekana ni jambo dogo na liko chini chini ila kwa vichwa vyetu baada ya miaka 10 litakua kubwa sana uku kwetu kuliko uko liliko toka.Dini zilianza hivi hivi polepole ila sasa hivi kuna wanaojifanya niwadogo zake na yesu kabisa.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Jamii yetu kuna kitu tumezinguaUpo sahihi kiongoz
[emoji23][emoji23]alafu linafanya kama mdako vile huku wakisema I receive papa[emoji23][emoji23]Hebu imagine ndo anakanyaga gia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nacheka km mwehu hapa.
Alikupeleka Mama? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Longtime niliepelekagwa kwa mama rwakatare,kipengele hicho cha kutaka gari sasa ,mnakaa mkao wa kushika usukukani na kukanyaga break
Huku mnaombewa [emoji1]
Ova
Imagine eti keki ikupe mume ....how😂😂😂Mlongo afu hawakomiiii, sahivi wanajazana Kawe hapo na cake wanalishwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utawaweza wazee wa miujiza ndugu!!Na jinsi kiwembe kilivyo halafu mtu anakitapika na kisilete madhara dah[emoji1787][emoji1787][emoji848]
Watu wa kamera wamezubaa Sana 😂Watu wa camera.... Picha mbona hatuzioni.... 🤣🤣🤣
Sijawahi kuwa Mkatoliki.Ilikuwaje ukatoka katoliki?
😂😂 watazidi kuitana kushuhudia miujiza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
Bas hapo watamuona mchungaji ana nguvu mnoo. Kumbe wanatapeliwa tyuuh.
Are u serious?Makanisa yote?Unayajua mangapi?Nafikiri wewe ni mwongo na upo nje ya mada.Makanisa yote haya fai chunguza kwa akili ilipewa na muumbaji utagundua jambo
Mwongo mkubwa huyu?Unajua Dunia Ina Makanisa mangapi Hadi useme yote?Jaribu kutumia ubongo wako kufikiriYote yako hivio chunguza kwa kina weka upenzi pembeni jali kuelewa utajifunza mambo mengi
Kuna waumini watakufa miguu inachucha maji wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah [emoji23][emoji23]yaani nimewavutia picha nikajikuta nacheka mbaya kabisa. Mara mmama na mimba yake, mbaba na likitambi wanapichana kama robot.
Hawa wahubiri Mungu anawaona[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watazidi kuitana kushuhudia miujiza
Na waislam wanaojitoa mhanga wakapewe mabikra mbinguni wao unawasemeaje?Ukitafakari vizuri utagundua Issue si Ukristo maana hata wanayoyafanya sio mafundisho ya Ukristo Bali ni kukosa maarifa tu.Wakristo wamekuwa ni watu wajinga kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mwenzio huwa nacheka hadi mbavu zinaumaa.Imagine eti keki ikupe mume ....how[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ni hatariiii[emoji23][emoji23]alafu linafanya kama mdako vile huku wakisema I receive papa[emoji23][emoji23]
Ewe unayejitoa ufahamu kwa kuhisi wagalatia wamerogwa jiulize kwanza wanaojitoa mhanga wamelogwa na nani?Usichukulie kwa ujumla ujinga wa watu wachache ukafanya kundi lote wajingaEnyi wagalatia mliokoswa Akili ni Nani aliyewaroga?
Ukiwa Roma ishi kama Waroma.Kama hukuwa na sababu ya kuwasikiliza wewe kwa nn ubishane nao si ungeondoka?Duh: kuna hawa wanaojiita wakarisimatic ndani ya kanisa letu Katoliki.kuna siku nimeenda parokiani kuonana na paroko.Baba paroko akanitonya nimsubirie kidogo kama nusu saa hivi maana alikua na issue anamalizia.
Basi nikao kwa muda ule niingie kanisani maana kulikua kumechangamka kwa kelele za hapa na pale.kuingia ndani nikakuta hao wakarisimatic wanafanya yao.nikaketi benchi la nyuma kabisa kuona kinachofanyika.ghafla akaja mmoja wao na kunihoji kwa nini nimekaa ili hali wao wanapepetana na shetani na pia nitoke pale niende mbele.nikamwambia aisee hebu niache ww kaendelee na mambo yenu.kilichofuatia alienda kuita mwenzake ambapo waliniambia nitoke nje haraka..hapo ikawa ndio mbwai sasa maana nilichowajibu ni kwamba hili kanisa amejenga nani mpaka mniambie nitoke nje?
Wakasisitiza nitoke hapo ndio ikawa tafrani mpaka baba paroko akaenda kuitwa kuamulia kimuhemuhe kile.alipokuja nilimuuliza swali lile lile ya kwamba ni nani amejenga hili kanisa.Paroko kwa ueledi wake akajibu kanisa hili limejengwa na waumini na sio mali ya mtu binafsi.Hapo wale wakulungwa wakaishiwa pozi wakaamriwa watoke nje kwa maana wanaleta fujo...Binafsi hawa watu wenye vinasaba vya miujiza nawachukkulia kama wagonjwa wa akili.