Jamii ya watu weusi inaangamia kwa kupenda miujiza, maajabu na mazingaombwe badala ya kupenda kuwajibika kwa juhudi na maarifa

Umesema jambo la muhimu sana,uchawi na ushirikina nao ndio wale wale tu,

Cha ajabu eti yule anayeeneza propaganda za kichawi na kishirikina humu JF eti nae anayasema hayo makanisa!

😀😀😀😀
 
Nishakustukia... Wewe mfuasi.. maana nimetafakari huo ujumbe wako hata hauendani na mada
 
Hebu imagine ndo anakanyaga gia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nacheka km mwehu hapa.
[emoji23][emoji23]alafu linafanya kama mdako vile huku wakisema I receive papa[emoji23][emoji23]
 
Longtime niliepelekagwa kwa mama rwakatare,kipengele hicho cha kutaka gari sasa ,mnakaa mkao wa kushika usukukani na kukanyaga break
Huku mnaombewa [emoji1]

Ova
Alikupeleka Mama? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ilikuwaje ukatoka katoliki?
Sijawahi kuwa Mkatoliki.

Hizo habari ni za wazushi tu wanaoona fahari kujifanya wananijua kuliko ninavyojijua mimi mwenyewe.

Kuhusu Ukristo, polepole niliona tu kwamba, kimantiki, habari za uwepo wa Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote zinapingana na uhalisia.

Baadaye, nikawa nasoma sana dini tofauti na falsafa, nikakutana na kitu kinaitwa "the problem of evil" hususan version ya "Epicurean Paradox", nikaona kumbe kile nilichokuwa nakifikiri wanafalsafa walishakiona na kukiandika vizuri miaka mingi sana.

Ukiangalia "the problem of evil" na "The Epicurean Paradox" kimantiki, utaona huyu Mungu hayupo, ni hadithi ya kutungwa na watu tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah [emoji23][emoji23]yaani nimewavutia picha nikajikuta nacheka mbaya kabisa. Mara mmama na mimba yake, mbaba na likitambi wanapichana kama robot.

Hawa wahubiri Mungu anawaona[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna waumini watakufa miguu inachucha maji wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Enyi wagalatia mliokoswa Akili ni Nani aliyewaroga?
Ewe unayejitoa ufahamu kwa kuhisi wagalatia wamerogwa jiulize kwanza wanaojitoa mhanga wamelogwa na nani?Usichukulie kwa ujumla ujinga wa watu wachache ukafanya kundi lote wajinga
 
Ukiwa Roma ishi kama Waroma.Kama hukuwa na sababu ya kuwasikiliza wewe kwa nn ubishane nao si ungeondoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…