Jamii ya watu weusi inaangamia kwa kupenda miujiza, maajabu na mazingaombwe badala ya kupenda kuwajibika kwa juhudi na maarifa

Jamii ya watu weusi inaangamia kwa kupenda miujiza, maajabu na mazingaombwe badala ya kupenda kuwajibika kwa juhudi na maarifa

Hivi unafikiri wanaosema waafrika ni wajinga unadhani ni utani.Vichwa vyetu sio vizima kabisa.Ujinga tunaoufanya uku afrika ni mkubwa zaidi kuliko unaofanyika uko walikotuletea hizi dini.Kwa mfano angalia hili jambo la mapenzi ya jinsia moja,nakuhakikishia japokua kwasasa linaonekana ni jambo dogo na liko chini chini ila kwa vichwa vyetu baada ya miaka 10 litakua kubwa sana uku kwetu kuliko uko liliko toka.Dini zilianza hivi hivi polepole ila sasa hivi kuna wanaojifanya niwadogo zake na yesu kabisa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hizi mambo ya jinsia moja tutakuja kuwazidi wazungu huku wao wakishaenda level nyingine
 
Afadhaki waislamu kidogo
Hakuna mwenye afadhali ukipewa ufahamu wewe mshukuru Mungu wako!

Mkristo akiwa brain washed anajidhuru mwenyewe (kama hivi kufunga hadi kufa au kutapanya hela kwa fake priest) lakini hao wengine wakiondolewa akili wanakuja kukudhuru hata wewe usiyejua A wala B za dini yao.
 
Longtime niliepelekagwa kwa mama rwakatare,kipengele hicho cha kutaka gari sasa ,mnakaa mkao wa kushika usukukani na kukanyaga break
Huku mnaombewa [emoji1]

Ova

Hatari😅😅😅😅😅
 
Tena huyo mchungaji tapeli alifurahi kweli maana hao pimbi wakiona hawapati magari wataamini maneno yake kwamba siku ile kuna shetani alikuwa ameingia humo kwenye banda lao akabatilisha maombi yao.
Wakati wao wakifanyiwa maombi wapate magari,waamuni wanaambiwa wamchangie nabii,mchungaji pesa anunue gari
Haha [emoji1] na waaumini wanachanga kweli
Hii nliiona morogoro waamini wanamchangia hela mchungaji wao awe nangari,mchungaji anakuambia anataka xtrail [emoji1] gari kidogo iko juu
Au vanguard Haha

Ova
 
Nishakutana nayo kwa mamarwakatare mm
Kyna kama unataka safari ya kw3nda ulaya pia,unakaa mkao wa boeing kurukaaa [emoji1] ipo nayo
Kakobe naye ana mambo yake pia

Ova

Hukucheka katikati ya zoezi?
 
Me naona ni kukosa maarifa tu....
Pepo anatolewa kwa mtu, ila siyo UPUMBAVU.

Me natamani sana nizame zangu KKKT ila sijui nianzie wapi????
Nenda Kanisa lililo karibu na ulipo wapo watakaokuelekeza.

Hata tufanyeje lazima tuutafute uso wa Mungu but inakuwa hatari sana kudondokea kwenye mikono ya hawa wahuni,nina jamaa yangu tukipiga wote winga zamani miaka ya 2006 mtu wa Mbeya ila miaka hii mitatu nyuma uchumi wake umetetereka ila toka feb nashangaa kila siku ana-post yupo mitaani kama anahubiri kumuuliza jamaa yetu mwengine ananiambia soon jamaa nae atafungua banda lake apige hela za wajinga
 
Hatari[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Na mm aliyenipeleka kwa mamarwakatare enzi hizo alikuwa baharia mmoja,mhuni tu anaitwa D.mwakisambo akatuqmbia tumeanzisha kanisa,watu tukastuka
Hyu hyu mwakisambo leo hii kaijua dini vp haha [emoji1] maana mafile yake tunayo
Yote kwa yote haya makanisa ni utapeli tu yamejaaa uwongo mtupu
Na kabla ya maombi yao wanafanya sana reheso za kuwapanga vilema, machizi ,sjui kufufua watu
Wanacheza na akili za watu

Ova
 
Hukucheka katikati ya zoezi?
Tisa 10,kuna hyu mgoa naye kuna siku watu wanangaliaa kwenye TV sjui kilema kapona
Kucheki kilema hyo wanaosema kapona ni mtu nayemjuwa na siku 2
Nlikuwa naye,eti jamaa anaenda na wheelchair anasimama anasema nmepona natembea [emoji1]
Wkt siku 2 kabla nlikuwa naye
Hii ni mipango tu,wanacheza na akili za watu ambao ni wajinga na mazuzu tu
Unajua haya makanisa,manabii wachungaji wanachofanya kwqnza wanakujaza hofu atakuambia mambo mengi,sjui nliota utakufa blahblah
We hyo ikikuingia basi
Ndomana siku ya kwqnza ukienda kwenye hay makanisa,nyie wageni mnaambiwa mkae sehemu moja
Huko sasa watakuja watu wanacheza na akili zenu,kabla ya kuanza kupigwa

Ova
 
Mimi ni Mkristo nisiyeamini katika makanisa na miujiza, maajabu na mazingaombwe.

Ila jana nilienda kusali kwenye kanisa moja nikiwa nimeambatana na rafiki yangu na baba mzazi wa rafiki yangu, huyu mzee anasema kila siku anawaona nduguze waliokufa siku nyingi wanamwita. Na nyakati nyingine amekuwa akiwaona hao wafu wanamuandalia party ya kula nyama mbichi za watu.

Kilichonisukuma kuandika uzi huu hili kanisa waliambiwa na kiongozi wao kila mtu aendeshe gari lake, atoe mlio wa gari, aweke gia na kupiga honi za mdogo. Elekea kulia, kushoto, mbele, nyuma, kisha nenda nje ya kanisa ukapaki gari yako.

Wakati watu wakiwa busy na ujinga ule, mimi nilikuwa nimekaa kimya nawacheka tu kimoyomoyo.

Mchungaji naye alikuwa busy akizunguka huku na huko akiwagusa watu wake vichwani na kuwaambia gari lako na likadhihirike kwenye ulimwengu wa nyama.

Akiwa kwenye kuzunguka kwake ndipo akanikuta nimekaa sifanyi utaahira ule. Akaniuliza kwanini naleta roho za upinzani kanisani kwake?

Nikamjibu sileti roho ya upinzani, ila siamini kwenye mazingaombwe. Ndipo akawaita walinzi wake, yeye anawaita protocol wanitoe ndani na nisirudi tena mle ndani.

Nikamsikia akiongea kutoka kwenye maspika kuwa shetani amejidhirisha kanisani ili kuzuia muujiza wa watu kupokea magari.

Basi akaambiwa waanze kukemea roho zote za upinzani ambazo zinasababisha wao wasipokee magari yao.

Jamaa zangu nilipotolewa nje nao wakatoka tukarudi nyumbani.

Ndugu zangu watanzania magari hayapatikani hivyo. Utalitolea sadaka na kulipandia sana mbeg u gari lako, hadi ukome.

Waza nje ya boksi, kuwa mbunifu kwenye shughuli zako, boresha huduma zako, jali muda, uwe na matumizi mazuri ya fedha. Nidhamu ya fedha ndiyo itakayokuletea mabadiliko ya tabia zako.
Ukishaamini Mungu tu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, umeshaamini muujiza.

Na unakuwa ushaingia katika matatizo uliyoyataja.
 
Umenikumbusha mama lwakatale na miujiza yake ya upepo wa kisurisuri.

Makanisa yanayojiita ya kiroho Yana mambo ya hovyo sana,ndiyo maana kagame aliyapiga marufuku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom