Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenya Biblia wanaitwa WASAMARIA Yohana 4:20-25Ni mojawapo ya dini ya kiyahudi ambao hata jeshi huwa hawataki kujiunga Jeshi la Israel ni wayahudi wa madhehebu ya Hasdians ambao wengi hawana damu ya kiyahud8 mia kwa mia
Waliozaliwa kama machotara kuchanganya damu na mataifa kinyume na Biblia navyoagiza agano la kale kuwa wasichanganyike na mataifa
Wao huwa hawataki vita Israel na hawaishi Israel ni ma Diaspora machotara ila yanayokomaa kuwa yenyewe mayahudi wakati Israel kutambuliwa kama myahudi lazima kizazi chako cha kike vizazi vingi lazima kiwe cha mwanamke wa kiyahudi sio Mwanaume wa kiyahudi
Hao ma hadist ni kizazi cha wanaume wa kiyahudi waliotombatomba na kuzaa hovyo hovyo na wanawake wa mataifa mbalimbali ikwemo Iran ambao Israel ilikataa kuwatambua kama wayahudi sababu Mama zao hawajawahi kuwa wayahudi japi baba zao walikuwa wayahudi ndio wakaanzisha hicho kidini Chao cha Hasdians na waki force kuwa watambuliwe kama wayahudi kupitia baba zao kitu ambacho Israel kwa sheria zao za uraia hakipo
Kama hekaya za ccmWamasai waandamana kuunga mkono kuhamishwa kutoka Ngorongoro
HahaaaInformer hao wanampumbaza ayatollah
Na show inataka kuanzaHawahawa ndio wanatumika kuibomoa Iran wakiwa ndani!