Jamii ya Wayahudi wa Iran wameandamana kutaka Iran ilipize kisasi kuibonda Israel

Wamelazimishwa kwa kushikiwa mtutu.. according to news comments from user of 7 insrael national news website same day walipoandamana
 
Maandamano ya mchongo. Wangeandamana kuunga mkono Israel wangeuwawa hadharani au kuikosoa serikali ya Iran, nchi za Kidikteta maandamano ni kusifia serikali tu, tofauti na hapo unapigwa vibaya, kufungwa au kuuwawa.
 
Kwenya Biblia wanaitwa WASAMARIA Yohana 4:20-25
 
Islam ni imani ya kiarabu iliyoenezwa kwa umwagaji mkubwa wa damu kwa hiyo sio ajabu kwa wao kumsujudia muuaji Hitler kwani birds of the same feather 🪶 flock together.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…