Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 536
90% ya wakazi WA mkoa WA pwani ni kutoka mikoa mingine sadly ni jamii ya kizaramu inapotea kabsa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazaramo bado ni wengi sana sema tu hapendi makuu, na hawana ubaguzi wengi hawasemeshane kwa ki lugha chao, neenda Chanika Mlandizi kibaha nk.90% ya wakazi WA mkoa WA pwani ni kutoka mikoa mingine sadly ni jamii ya kizaramu inapotea kabsa.
Huo ni mfano hai wa jinsi jamii ya watu weusi itakavyopotea kutokana na ujio mkubwa wa wachina, wasomali, waarabu na wahindi90% ya wakazi WA mkoa WA pwani ni kutoka mikoa mingine sadly ni jamii ya kizaramu inapotea kabsa.
Hawa wachina,wasomali waarabu na wahindi wameingia Nchini wangapi mpaka wamefanya wazaramo au watu weusi wapotee au waje wapotee katika wakati ujao?.Idadi ya watu weusi imepungua kwa ujio wa hawa uliowataja?.Huo ni mfano hai wa jinsi jamii ya watu weusi itakavyopotea kutokana na ujio mkubwa wa wachina, wasomali, waarabu na wahindi
Mauno yote yale kwenye daladala Dar hukatwa na Ke gani kama si Ke wa kizaramo? ebu watake radhi Wazaramo bhana...[emoji35]90% ya wakazi WA mkoa WA pwani ni kutoka mikoa mingine sadly ni jamii ya kizaramu inapotea kabsa.
Sijasema hao wamewadisplace wazaramo, in a long run hao watawadominate waliowakuta kama wengine tulivyojaa Dar na wazaramo kusogea pembeni au wakinga na wanyakyusa walivyodominate Mbeya mjini na wasafwa kwenda mbali na mji.Hawa wachina,wasomali waarabu na wahindi wameingia Nchini wangapi mpaka wamefanya wazaramo au watu weusi wapotee au waje wapotee katika wakati ujao?
Gradually utaelewa nilichomaanishaIdadi ya watu weusi imepungua kwa ujio wa hawa uliowataja?.
Just checking hivi wasomali sio watu weusi yaani waafrika?
Kwa akili zangu mwaka 1996..tunaamia Mwisho Yombo Vituka - Kiwalani - Kaliagogo- BomBom-Msikitini- Vingunguti... Hapo natoka Ubungo Kisiwani shule ya msingi nahamia Yombo Vituka... Mashamba tu ... Mapori.... Tumezeeka..... Nimeanza chekechea Sinza Vatican,Uwanja wa TP -Mto wa ng'ombe... Aseeee...Mi Dar nafuga Hela naenda tu kula Bata na Wana wa "kitaa"... Sili Bata nogi..Bata nogi ..ni kula Bata na Wana wa ukubwani.... Kumbekeni Wana wa kitaa...90% ya wakazi WA mkoa WA pwani ni kutoka mikoa mingine sadly ni jamii ya kizaramu inapotea kabsa.
Kihistoria Wazaramo walikuja tu kama wakuja wengine.90% ya wakazi WA mkoa WA pwani ni kutoka mikoa mingine sadly ni jamii ya kizaramu inapotea kabsa.
Aisee tuhamie Mvuti wakuu.Mvuti huku wapo kibao, ni mwendo wa mauno feni kitandani unamwaga fasta
siyo wenu hao magogo ya Tabata yaliyojaa UTI
Asili ya hao wakanaani ni wapi?Kihistoria Wazaramo walikuja tu kama wakuja wengine.
Asili ya watu wa ukanda wa pwani siyo wabantu.
Zamani kidogo pale Kilwa na Mafia kulikuwa kuna kabila linajiita Wakanaani, ndiyo wenye kwao, kwa mtazamo tu, hawakuwa wabantu kabisa.
Sifahamu wameishia wapi.