Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Hicho kiswahili unachoongea ni sehemu ya kizaramu.Utafiti wako ni feki, Angalau ungeeleweka , ukisema Kizaramo kinapotea!
[emoji1][emoji1][emoji1]Wazaramo hawakai sinza Kaka, yamejaa huko kisarawa yanaloga
Asilie ya binaadamu ni Olduvai gorgeNnachojua asili ya wanadamu wote ni Iraq kwasababu pale ndio walipokuwa wanaishi wanadamu wakwanza Adamu na Hawa katika bustani ya edeni,baada ya hapo Mungu alitaka wanadamu watawanyike kote duniani,baadhi walikuwa wabishi wakataka wakae sehemu moja tu na kuweka himaya yao ndio wakaanza kujenga ule mnara wa babeli,Mungu akapinga mpango wao kwa kuchanganya lugha zao wasielewane na ndio mwanzo wa lugha mbalimbali duniani maana kabla ya hapo watu wote walikuwa wanazungumza lugha moja.
Moja Kati ya misingi ya Jamii au kabila furani ni pamoja na lugha Kama lugha inapotea huoni Kama ni dalili za kabila nalo kupotea ?Utafiti wako ni feki, Angalau ungeeleweka , ukisema Kizaramo kinapotea
Unapenda ujiaminishe kuwa Dar haina wenyewe.Sasa hivi wazaramo wameuza hayo yote wamehamia Kisarawe huko na pembezoni mwa Dar wakifuatwa na huko wanauza wanaelekea Mkuranga km unaelekea Rufiji huko ndio kuna ardhi tengefu IPO tu