gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Wewe unawaza ujinga tu kama hao wengine.kwani hizo sifa zinasaidia nini.watu wanachohoji ni taarifa ziwe sahihi.Historia ni historia iwe mbaya iwe nzuri.wajinga ni wale wanaotaka kuibatilisha kwa ujinga wao.
Mnagombania kuongea msibani?
Hata hivyo naona Rais akichukua point zake kwa kumpa Mbowe nafasi ya kuongea kwenye muda wake!
Sent using Jamii Forums mobile app