Wewe unawaza ujinga tu kama hao wengine.kwani hizo sifa zinasaidia nini.watu wanachohoji ni taarifa ziwe sahihi.Historia ni historia iwe mbaya iwe nzuri.wajinga ni wale wanaotaka kuibatilisha kwa ujinga wao.
Mnagombania kuongea msibani?
Hata hivyo naona Rais akichukua point zake kwa kumpa Mbowe nafasi ya kuongea kwenye muda wake!
Yes,Nadhani wewe ni mmoja wa watu aliowataja mtoa mada, "uncivilized."
Bado una safari ndefu sana.
Ungemwelewa usingeandika hicho kituko,haijalishi ana mlengo gani.maana hata Mbowe nae kasema na hata wapo Wana CCM watasemea mioyoni..haiondoi ukweli wa mtoa mada
aiseee...Wewe unawaza ujinga tu kama hao wengine.kwani hizo sifa zinasaidia nini.watu wanachohoji ni taarifa ziwe sahihi.Historia ni historia iwe mbaya iwe nzuri.wajinga ni wale wanaotaka kuibatilisha kwa ujinga wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo sio mwongo tu bali ni mjinga.ndo hao mtoa mada anaowazungumzia kua hawajastaarabika.Mtu anashindwa ata kujua historia ya marehemu ni nini atakua na akili sasa huyo.View attachment 2906714
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu umbwa wewe
Amezikwa kama Waziri Mkuu Mstaafu, na Mbowe kapewa nafasi ya kutoa salamu kama sehemu ya familia na sio chama...... mlitaka msiba uhamishiwe Machame au azikwe na CHADEMA?Huu ni moja ya mchango wa hovyo kabisa,na hii ndio maana Halisi ya mtu kutokua mstaarabu.
Mazishi ya baba yenu yanafanyikiaJF?Msiba ni WA baba yetu
Sawa nakunywa lakini lazima ukweli uwe bayana.Tusipende kuficha au kupotosha historia hasa zile zinazohusu mambo yakitaifa.aiseee...
hebu relax kidogo kwanza,
kunywa walau tama moja la maji dah...
R.I.P Laigwanan comrade ENL
nakubali ukweli usemwe na wanao ujua pekee, wasio ujua ukweli ni busara kukaa kimya, wasilazimishwe...Sawa nakunywa lakini lazima ukweli uwe bayana.Tusipende kuficha au kupotosha historia hasa zile zinazohusu mambo yakitaifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Historia ya Marehemu ndugu ndio Huwa na uamuzi wa mwisho kipi kiwemo na kipi kisiwemo na uamuzi wao huheshimiwa mfano sehemu ya mtu kafariki Kwa ugonjwa upi ndugu waweza Kataa isiwemo kwenye historia hata kama Kila mtu anajua alikufa Kwa ugonjwa GaniUko sahihi lakini nyie nendeni msibani mshiriki na wanachama wenu kumuaga Lowasa kama wananchi WA kawaida kwani mtapungukiwa nini.
Historia ya Marehemu ndugu ndio Huwa na uamuzi wa mwisho kipi kiwemo na kipi kisiwemo na uamuzi wao huheshimiwa mfano sehemu ya mtu kafariki Kwa ugonjwa upi ndugu waweza Kataa isiwemo kwenye historia hata kama Kila mtu anajua alikufa Kwa ugonjwa GaniUko sahihi lakini nyie nendeni msibani mshiriki na wanachama wenu kumuaga Lowasa kama wananchi WA kawaida kwani mtapungukiwa nini.
Sema wachache tu ndio wanatukwamisha, CCM ni mapumbavu!Tanzania ili ifanikiwe lazima watu wake wakubali kustaarabika tofauti na hapo itapita hata miaka 100 na nchi itakua hivi hivi
Mimi sio mwanachama wa chadema au ccm sina ushabiki wa chama
Lowassa alishawahi kuwa mwanachama na mgombea wa CHADEMA kwenye kinyangiro cha urais historia inasema hivyo
Lowassa amefariki lakini kuna watu kwa makusudi kabisa hawataki ku-aknowledge kwamba alikua CHADEMA
Kukosa ustaarabu kulianza kwa askofu Malasusa alivyogoma kukubali uwepo wa viongozi wa CHADEMA kanisani.
Kuna saa unajiuliza eti Malasusa ndio kiongozi wa kanisa la pili kwa ukubwa Kuna muda unaona kabisa waumini wa KKKT wana bahati mbaya sana sababu unakuaje na kiongozi ambaye hajastaaribika vile na kila mara mnamchagua ni ajabu sana
Kule Monduli ratiba ya mazishi imetoka na CHADEMA hawapo. Unajua kuna muda tukubali uwezo wa waafrika ni mdogo sana hadi kwenye mambo ya kawaida sana na alivyo na akili fupi anadhani anawakomoa CHADEMA
Historia itabakia kwamba Lowassa alishakuwa mwanachama na mgombea wa CHADEMA hii kamwe haiwezi futika na ndio ukweli
Afriaka hakuna ustaarabu ndo maana kuchafu, viongozi wanaiba wazi wazi bila kificho in short kuna mambo ya hovyo yanafanyika ambayo huwezi yakuta kwenye jamii iliyostaarabika
Kwa kipimo gani hicho?Waafrika tuna IQ ndogo sana
Kwamba unanipangia mahali pa kuishSasa, Mkuu huo ustaarabu wako.ndio upi?
Ustaarabu na uchafu una mahusiano gani?
Mambo ya hovyo ndiyo yepi hayo?
CHADEMA kung'ang'ania Legacy ya Edward.N Lowassa kuwa ni ya kwao ni ustaarabu?
Peleka hii non sense huko utokapo.
Afrika ni ya Waafrika, wewe kama unaona hakujastaarabika sepa zako na uende uendako. This is not your place.
mila za kiafrika zinaruhusu kuzaa na mwanamke zaidi ya mmoja sio kosaHistoria ya Marehemu ndugu ndio Huwa na uamuzi wa mwisho kipi kiwemo na kipi kisiwemo na uamuzi wao huheshimiwa mfano sehemu ya mtu kafariki Kwa ugonjwa upi ndugu waweza Kataa isiwemo kwenye historia hata kama Kila mtu anajua alikufa Kwa ugonjwa Gani
Mfano historia ya wazi ambayo hata Mbowe itafutwa na familia kuwa isiwemo ni Ile ya yeye kuzaa na Joyce Mukya haitakuwepo na Joyce Mukya hatapewa nafsi kuongea au Mwanawe msibani pamoja na kuwa anajulikana wazi tu
Historia ya mtu akifariki ndugu ndio wenye uamuzi wa mwisho
Na akitajwa kua aligombea urais,wao watapungukiwa Nini??wao ndo wajinga,unafichaje historia ya marehemu??Uko sahihi lakini nyie nendeni msibani mshiriki na wanachama wenu kumuaga Lowasa kama wananchi WA kawaida kwani mtapungukiwa nini.
Kumbe wewe ni mpumbavu??hatukujua.tusamehe,tumekujibu Bure kumbe wewe ni zero [emoji3447]Uko sahihi lakini nyie nendeni msibani mshiriki na wanachama wenu kumuaga Lowasa kama wananchi WA kawaida kwani mtapungukiwa nini
Ustaarabu uanze na nyie Chadema maana haiwezekani Kiongozi wa kitaifa aliyewahi kuwa mgombea urais kupitia chama chenu amefariki na nyie mnaandaa maandamano bila kujali nchi ina msiba.....hampendi kutangamana na mna ubinafsi wa kijinga.