Jamiiforum nawaomba msamaha kwa swali hili, Hivi mnapataje pesa ?

Jamiiforum nawaomba msamaha kwa swali hili, Hivi mnapataje pesa ?

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Salaam

Moja kwa moja kwenye mada, Mods na max naombeni mnilinde. Inawezekana watu wengi hawajui labda tuanze kuwekana wazi ili vijana wengine wabunifu wajifunze na waache kukopy idea za watu.

Hivi ni kweli haya matangazo matangazo ya makampuni ya simu mnayoyaweka kama sponsored ads ndio yanalipa wafanyakazi wote ?

Najua hamuwezi kunipa/kutupa algorithm yenu yote lakini at least wachache wanao jua basi watanifungua na mimi.

Nawasilisha.
 
sijui kwa jamii forum.ila nachojuua kwa makampun mengine ni kwamba wewe wanauza info zako kwa companies.ujashangaa ghafla unaletewa advert ya kitu ulikua unakiwaza.uka search bas jamaa wanauza data ndio mana tikotok ikawa banned usa sabab yues wanajua info zinauzwa
 
Back
Top Bottom